INAUZWA Pata suti kali kwa bei ofa

INAUZWA Pata suti kali kwa bei ofa

Suti_mikoani ni wauzaji wa suti za kiume Kwa ajili ya sherehe za harusi, ofisini, vikao na matukio maalumu.

Tunatuma mikoani kwa uhakika na haraka zaidi na wateja wetu wa Dar es Salaam tunafanya free delivery...
Bei?
 
Happy valentine's day wapendanao;

Kwenye msimu huu wa wapendanao SUTI_MIKOANI tunawaletea ofa ya valentine Kwa wapendanao Kwa bei ya punguzo kubwa;

Suti- Tsh.170,000/= (koti,kizibao na suruali)
Shati-Tsh.25,000/=
Pocket square &tie-Tsh.15,000/=
Cheni-Tsh.10,000/=
Ua-free

Call/WhatsApp/sms: 0712878245

Tunapatikana kariakoo congo na Muhonda street Dar es salaam.

Mikoani tunatuma Kwa haraka na uhakika zaidi na wateja wetu wa Dar es salaam tunafanya free delivery au unaweza kuja dukani kwetu.
markup_1000133788.jpg
IMG-20230212-WA0030.jpg
IMG_20230211_105550_793.jpg
IMG_20230211_105550_888.jpg
IMG_20230211_105550_953.jpg
markup_1000132190.jpg
Screenshot_20230211-081654.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230211_111358_212.jpg
    IMG_20230211_111358_212.jpg
    74.3 KB · Views: 15
  • IMG_20230211_111358_855.jpg
    IMG_20230211_111358_855.jpg
    77 KB · Views: 15
  • IMG_20230211_111359_605.jpg
    IMG_20230211_111359_605.jpg
    55.5 KB · Views: 14
  • IMG_20230211_111359_635.jpg
    IMG_20230211_111359_635.jpg
    157.4 KB · Views: 15
AGIZA SUTI DAR [emoji776] MKOANI.

Tunajali muonekano wako wa ofisini, sherehe, mahafali, vikao na kwenye matukio maalumu Kwa kukupatia suti Kali Kwa bei mseleleko.

Bei [emoji116][emoji116]

Suti - Tsh.180,000/= (3 piece suits)
Shati-Tsh. 30,000/=
Pocket square & tie- Tsh.15,000/=
Cheni - Tsh.10,000/=

Complete suit- Tsh.235,000/=

Mikoani tunatuma Kwa haraka na uhakika zaidi na wateja wetu wa Dar es salaam tunafanya free delivery au unaweza kuja dukani kwetu.

Call/WhatsApp/sms: 0712878245.

[emoji294] KUMBUKA SIZE UNAYOVAA[emoji294]

IMG-20230313-WA0019.jpg

View attachment 2570554View attachment 2570556View attachment 2570557View attachment 2570558View attachment 2570559
 
Anza mwaka 2023 na SUTI MIKOANI

Suti mikoani ni wauzaji wa suti za kiume aina zote Kwa bei mseleleko. Tuna aina zote za suti kuanzia suti za harusi, ofisini na kwenye matukio maalumu.

Bei ya suti ni;
Tsh.120,000/= (Kaunda suit)
Tsh.150,000/= (plain suit &six button suits )
Tsh.180,000/=(fashion suit)

Call/SMS/ WhatsApp: 0712878245.
Tucheki kupitia WhatsApp au piga simu au tuma sms Kwa namba hapo juu kuwasiliana na sisi Moja Kwa Moja.

Tunapatikana kariakoo congo na Muhonda Street Dar es salaam. Ukifika msimbazi B kituo Cha mwendokasi nipigie simu nitakufuata nakupeleka mpaka dukani kwetu.

Tunafanya Free delivery Kwa wateja wa Dar es salaam. Mikoani tunatuma Kwa bus au ndege Kwa haraka na uhakika zaidi.

Baada ya kulipa ada na watoto kwenda shule ni muda wa kupendeza wazee wa kazi.

NB: Picha utakazotazama ni chache kati ya nyingi zilizopo, nicheki WhatsApp Kwa picha zaidi Ili uweze kuchagua suti unayopenda. #0712878245

View attachment 2475696View attachment 2475702View attachment 2475701View attachment 2475703View attachment 2475704View attachment 2475705View attachment 2475706View attachment 2475707
Mkuu kati ya Marshalino na Fernando ipi ni nzuri ...nataka nije ss kabla sijagika nataka nijue kati ya izo brand 2
 
KAUNDA/SAFARI SUITS AVAILABLE [emoji817]
Pure 100% cotton material. Made in Turkey.

Bei[emoji116]

Tsh.150,000/=✓

Tunatuma mzigo kutoka Dar mpaka mkoani kwako Kwa haraka na uhakika zaidi. Wateja wetu wa Dar es salaam tunakuletea mpaka nyumbani kwako au unaweza kuja dukani kwetu.

WhatsApp/sms/call: 0712878245

Tunapatikana kariakoo congo na Muhonda street Dar es salaam karibu na makao makuu ya simba sports.

[emoji92] KUMBUKA SIZE YAKO

IMG_20230407_171226_069.jpg
IMG_20230518_003723_444.jpg
IMG_20230518_003724_169.jpg
IMG_20230518_003723_819.jpg
IMG_20230407_171226_125.jpg
IMG_20230407_171225_645.jpg
IMG-20230522-WA0027.jpg
IMG-20230422-WA0038.jpg
 

Attachments

  • IMG_20230407_171226_069.jpg
    IMG_20230407_171226_069.jpg
    60.8 KB · Views: 14
Zipo haina nyingi au maana me sio mpenzi wa mifuko fuko mingi
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Zipo haina nyingi au maana me sio mpenzi wa mifuko fuko mingi
Na mi nakazia hapo unakuwa kama kada wa chadema.
Halafu atume na sample zingine ambazo hazina marinda hayo kifuani tuone.
 
Back
Top Bottom