Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Ujasiriamali sio swala la kitoto hata siku moja na sio sehemu ya Show au sehemu ya kutafutia pesa ya kupambana na wabaya wako.

Kuna watu huingia kwa nia ya kutafuta pesa ya kuwaonyesha wabaya wao.

Watu huambiwa kitu fulani kinalipa na hii neno kinalipa ndo huwa inacost watu.

Hakuna kiti inaitwa inalipa. Kama unacho kifanya hakijatatua changamoto za jamii basi hiyo inalipa utaisikia na ndo pale ndani ya mwaka mtu anafanya biashara 10.

Leo tikikitika anaona sio baadae vitunguuu napo anakinbia anaingia kwebye Tango abapiga anaona sio anaingia kwebye kuku wa mayai anapiga anaona ngumu anaacha anaanza kuiza asali nako anapiga anakimbia.

UJASIRIANALI SIO SWALA LA KITOTO INAHITAJI COMMTMENT ISIYO YA KAWAIDA

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nimeipenda hii.
Watu huogopa na kukimbia changamoto,hivi kuna biashara isiyo na chanagamoto kweli??
Wengi neno inalipa imewaingiza chaka nakubaliana na hii swala 100%.
 
Hajatisha mtu,nilicho elewa ameeleza ukweli na undani mzima wa biashara ambapo watu wengine hawaelewi au hawajui.
Tunatofautiana uelewa dada! Unajua nini ...
Unamkuta mtu anamwambia mwenzake maneno kama .."Wewe chunga sana maisha sio mchezo" ... wakati hata anayeambiwa naye anaishi ... hivyo tunaviita vitisho .. tutiane moyo jamani.
 
Tunatofautiana uelewa dada! Unajua nini ...
Unamkuta mtu anamwambia mwenzake maneno kama .."Wewe chunga sana maisha sio mchezo" ... wakati hata anayeambiwa naye anaishi ... hivyo tunaviita vitisho .. tutiane moyo jamani.
Hata hiyo uliytolea mfano huwa inasemwa kuendana na hali ya muhusika anae ambiwa.
Wabongo tunapenda wepesi,hatupenfi kuambiwa ukweli kwa jambo lililopo mbele yetu.

Hata mtu akikuambia chunga sana Haya maisha,jitafakari.
Na sio kudemand kutiwa moyo.
 
Hata hiyo uliytolea mfano huwa inasemwa kuendana na hali ya muhusika anae ambiwa.
Wabongo tunapenda wepesi,hatupenfi kuambiwa ukweli kwa jambo lililopo mbele yetu.

Hata mtu akikuambia chunga sana Haya maisha,jitafakari.
Na sio kudemand kutiwa moyo.
Dada leo vipi? Nisamehe basi rafiki.... tuendelee na mada jamani ...
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia waitaliano wanapenda sana, kama hutojali nipe mfano wako

Sent using Jamii Forums mobile app
kaka haya maneno yana ukweli mkubwa sana pamoja na wahispania.Ila kikubwa tambua kila biashara zina changamoto then hakuna mtu anafanya kitu bila kuwa malengo na pia market.Pili fanya utafiti na ufanye SWOT analyis then ingia kwenye game
 
@Sethashalom ...mkuu nimekuelewa lakini ningeomba hata jina ya hizo antibiotics, obvious nikieenda kwenye duka la dawa za binadamu nikisema tu antibiotics (pink and black) itakua sieleweki.. More details + help please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu pole na majukumu.MImi ni mfugaji wa bata ila nafuga bukini na perkin.Nikushauri hao bata wa kawaida hasa akiwa na watoto hakikisha wanakula chakula kidogo na kisiwe kingi sana wakila sana wanaweza wakafa kkwa ulafi then hakikisha unatenga maji yao vizuri na ubadilishe kila baada ya masaa sita au kila siku.tatu hakikisha banda ni safi ili kuzuia magonjwa.Bata hawahitaji joto la ziada boss maana hawa ni ndege maji
Mkuu nimekuelewa vizuri kabisa sema hawa bata kinacho wauwa ni ungonjwa wa kupinduka pinduka(kipindupindu) kuna mtu aliniiambia kua ni degedege yani hata sijui lakini nitafanyia kazi haya ulio yasema.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu fanya hvi ,nenda duka la binadamu omba vidonge vya antibiotics rangi mbili (pink and black) ,chukua maji kidogo kama 1/1 liter (nusu ya robo) koroga unga wa hivyo vidonge kwenye maji hayo masafi, chuku sirinji jaza yale maji, chukua kifaranga kimoja kinyweshe angala matone (5drops) .Zingatia haya hiyo 1/8ltr kwa vidonge 3 na kwa vifaranga 6-8. mm nilifiwa sana na vifaranga tena wengine wanakufa wakiwa na mwezi tayari. Hii dawa pia inatibu ndui niliitumia kutibu vifaranga vyangu vya bata mzinga. All the best. Vifaranga wapewe angalau siku ya 3 baada ya kuzaliwa, kama umechelewa wape hata sasa hivi.
mkuu nimekuelewa lakini ningeomba hata jina ya hizo antibiotics, obvious nikieenda kwenye duka la dawa za binadamu nikisema tu antibiotics (pink and black) itakua sieleweki.. More details + help please

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Adui mkubwa wa vifaranga wa bata ni panya. Katika miezi miwili ya mwanzo jitahidi kuwaweka kwenye banda ambalo haliwezi kabisa kuingiza panya. Panya ana uwezo wa kuua vifaranga zaidi ya 10 kwa wakati mmoja akiwatoboa macho.
Ili kusaidia wakue haraka jaribu kuwapatia chakula cha kuku cha starter kwa hiyo miezi miwili ya mwanzo.
Pole kwa hasara iliyo kukumba.

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Nimepoa kaka Kwa kweli pale hamna panya ila sijui walikua wana pinduka pinduka..kipindupindu ndo wamekuta hvo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom