Bei iko je na soko liko wapimkuu fuga bata bukini mkuu wanalipa sana mkuu
mimi nimewafuga for 11 years now bata mmoja analisha wenzake 20 kwa mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei iko je na soko liko wapimkuu fuga bata bukini mkuu wanalipa sana mkuu
mimi nimewafuga for 11 years now bata mmoja analisha wenzake 20 kwa mwaka mzima
sijaona hebu anzisha tena wewe! hakuna majibu kabisa kuko kimyaaShakujibu bibie! ila hapa powa tu!
Hajatisha mtu,nilicho elewa ameeleza ukweli na undani mzima wa biashara ambapo watu wengine hawaelewi au hawajui.Ahsante kwa maneno mazuri ila inakuwa vyema kutiana moyo, sio kutishiana.
Sijakusoma dada yangu wa hiariKama kuna jamii ya wa jina unayoifahamu hawa jamaa ni wala ki waziri wa bara na nguruwe
Wanapenda sana kula bata na nguruweSijakusoma dada yangu wa hiari
Nimeipenda hii.Ujasiriamali sio swala la kitoto hata siku moja na sio sehemu ya Show au sehemu ya kutafutia pesa ya kupambana na wabaya wako.
Kuna watu huingia kwa nia ya kutafuta pesa ya kuwaonyesha wabaya wao.
Watu huambiwa kitu fulani kinalipa na hii neno kinalipa ndo huwa inacost watu.
Hakuna kiti inaitwa inalipa. Kama unacho kifanya hakijatatua changamoto za jamii basi hiyo inalipa utaisikia na ndo pale ndani ya mwaka mtu anafanya biashara 10.
Leo tikikitika anaona sio baadae vitunguuu napo anakinbia anaingia kwebye Tango abapiga anaona sio anaingia kwebye kuku wa mayai anapiga anaona ngumu anaacha anaanza kuiza asali nako anapiga anakimbia.
UJASIRIANALI SIO SWALA LA KITOTO INAHITAJI COMMTMENT ISIYO YA KAWAIDA
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tunatofautiana uelewa dada! Unajua nini ...Hajatisha mtu,nilicho elewa ameeleza ukweli na undani mzima wa biashara ambapo watu wengine hawaelewi au hawajui.
Hahahahaha.Ahsante kwa maneno mazuri ila inakuwa vyema kutiana moyo, sio kutishiana.
Hata hiyo uliytolea mfano huwa inasemwa kuendana na hali ya muhusika anae ambiwa.Tunatofautiana uelewa dada! Unajua nini ...
Unamkuta mtu anamwambia mwenzake maneno kama .."Wewe chunga sana maisha sio mchezo" ... wakati hata anayeambiwa naye anaishi ... hivyo tunaviita vitisho .. tutiane moyo jamani.
Dada leo vipi? Nisamehe basi rafiki.... tuendelee na mada jamani ...Hata hiyo uliytolea mfano huwa inasemwa kuendana na hali ya muhusika anae ambiwa.
Wabongo tunapenda wepesi,hatupenfi kuambiwa ukweli kwa jambo lililopo mbele yetu.
Hata mtu akikuambia chunga sana Haya maisha,jitafakari.
Na sio kudemand kutiwa moyo.
Umepanic au kujishtukia,nimechangia mada Wala Hata sijatoka nje ya mada.Dada leo vipi? Nisamehe basi rafiki.... tuendelee na mada jamani ...
soko lipo kubwa tu mkuu ni juhudi zako kufanya research kujua nani anahitaji na ni wakati gani na je wateja wako ni wapi na je wanamudu bei.
Kuna mtu aliwahi kuniambia waitaliano wanapenda sana, kama hutojali nipe mfano wakosoko lipo kubwa tu mkuu ni juhudi zako kufanya research kujua nani anahitaji na ni wakati gani na je wateja wako ni wapi na je wanamudu bei.
kaka haya maneno yana ukweli mkubwa sana pamoja na wahispania.Ila kikubwa tambua kila biashara zina changamoto then hakuna mtu anafanya kitu bila kuwa malengo na pia market.Pili fanya utafiti na ufanye SWOT analyis then ingia kwenye gameKuna mtu aliwahi kuniambia waitaliano wanapenda sana, kama hutojali nipe mfano wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekuelewa vizuri kabisa sema hawa bata kinacho wauwa ni ungonjwa wa kupinduka pinduka(kipindupindu) kuna mtu aliniiambia kua ni degedege yani hata sijui lakini nitafanyia kazi haya ulio yasema.!!Mkuuu pole na majukumu.MImi ni mfugaji wa bata ila nafuga bukini na perkin.Nikushauri hao bata wa kawaida hasa akiwa na watoto hakikisha wanakula chakula kidogo na kisiwe kingi sana wakila sana wanaweza wakafa kkwa ulafi then hakikisha unatenga maji yao vizuri na ubadilishe kila baada ya masaa sita au kila siku.tatu hakikisha banda ni safi ili kuzuia magonjwa.Bata hawahitaji joto la ziada boss maana hawa ni ndege maji
mkuu nimekuelewa lakini ningeomba hata jina ya hizo antibiotics, obvious nikieenda kwenye duka la dawa za binadamu nikisema tu antibiotics (pink and black) itakua sieleweki.. More details + help pleasemkuu fanya hvi ,nenda duka la binadamu omba vidonge vya antibiotics rangi mbili (pink and black) ,chukua maji kidogo kama 1/1 liter (nusu ya robo) koroga unga wa hivyo vidonge kwenye maji hayo masafi, chuku sirinji jaza yale maji, chukua kifaranga kimoja kinyweshe angala matone (5drops) .Zingatia haya hiyo 1/8ltr kwa vidonge 3 na kwa vifaranga 6-8. mm nilifiwa sana na vifaranga tena wengine wanakufa wakiwa na mwezi tayari. Hii dawa pia inatibu ndui niliitumia kutibu vifaranga vyangu vya bata mzinga. All the best. Vifaranga wapewe angalau siku ya 3 baada ya kuzaliwa, kama umechelewa wape hata sasa hivi.
Floor ya banda ni ya sementi au ya vumbi?Mimi bata wangu nawatibu kwa kuwaweka katika banda safi muda wote, chakula na maji safi.
Nimepoa kaka Kwa kweli pale hamna panya ila sijui walikua wana pinduka pinduka..kipindupindu ndo wamekuta hvoAdui mkubwa wa vifaranga wa bata ni panya. Katika miezi miwili ya mwanzo jitahidi kuwaweka kwenye banda ambalo haliwezi kabisa kuingiza panya. Panya ana uwezo wa kuua vifaranga zaidi ya 10 kwa wakati mmoja akiwatoboa macho.
Ili kusaidia wakue haraka jaribu kuwapatia chakula cha kuku cha starter kwa hiyo miezi miwili ya mwanzo.
Pole kwa hasara iliyo kukumba.
Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app