Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
Habari zenu.
Nimekuwa nikipata maombi mbalimbali ya ushauri wa mambo ya biashara kutokana na posts zangu ambazo nimekuwa nikiweka humu JF. Na ambayo ilisababisha meseji nyingi zaidi ni ile post ya kuhusu mafunzo ya utengenezaji wa mkaa.
Maombi mengi yamekuwa ni simu ambazo zinahusu biashara na ujasiriamali kwa ujumla. Watu wengi huko nje wanapatwa na changamoto mbalimbali katika biashara zao. Nimeona kwa kuwa mimi naendesha biashara kwa sasa nione umuhimu wa ku share uzoeufu wangu wa kibiashara na watu watakaohitaji ili nao uwasaidie kupambana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika biashara zao. Mimi sio tajiri ila ninauzoefu wa biashara kwa zaidi ya mwaka na nusu na nimepambana na changamoto nyingi sana wakati naanzisha na kuendesha biashara yangu na ushauri naotoa sio theory bali ni actual uzoefu wangu wa kufanya biashara. Mimi naendesha biashara ya kutengeneza na kuuza mkaa mjini Kibaha.
Ushauri ninaotoa ni katika sehemu zifuatazo:
1. Jinsi ya kuendesha biashara kwa mafanikio
2. Jinsi ya kupambana na changamoto za ujasiriamali na biashara
3. Ushauri utakaokusaidia kutoka kuwa mjasiriamali hadi mfanyabiashara
4. Jinsi ya kuongeza mauzo katika biashara yako
5. Mambo ya management kwa ujumla
6. Na kadhalika
Ushauri unaohusu mambo ya kisheria sitoi kwa kuwa mimi sio mwanasheria. Unaweza tafuta mwanasheria akusaidie katika hilo.
Ushauri huu nautoa kwa njia ya simu. Unanitumia ada ya ushauri ya shilingi 5,000 tu kwa M-PESA kwenye 0758 308193 halafu unanipigia tunaongea mpaka tatizo lako lipate ushauri wa kupata suluhisho. Watakaopenda kuchukua nafasi hii kuondoa matatizo katika biashara zao mnakaribishwa. Kama unapatwa na tatizo la kibiashara hata Bill Gates alisema inabidi uombe usaidiwe. Watoa ushauri wa ujasiriamali hapa mjini wanatoa ushauri based on theory tu. Mimi natoa based on experience. Wajasiriamali wengi nchini wanabaki tu kuwa wajasiriamali na si wafanyabiashara kwa kuwa wanachukua ushauri na mafunzo kutoka kwa walimu wa ujasiriamali wanaotoa tips kutoka kwenye internet na kuwamezesha. Matokeo yake wamama wa watu wanabaki kuwa pale pale katika maisha hawasongi mbele.
0758 308193
Karibuni.
Nimekuwa nikipata maombi mbalimbali ya ushauri wa mambo ya biashara kutokana na posts zangu ambazo nimekuwa nikiweka humu JF. Na ambayo ilisababisha meseji nyingi zaidi ni ile post ya kuhusu mafunzo ya utengenezaji wa mkaa.
Maombi mengi yamekuwa ni simu ambazo zinahusu biashara na ujasiriamali kwa ujumla. Watu wengi huko nje wanapatwa na changamoto mbalimbali katika biashara zao. Nimeona kwa kuwa mimi naendesha biashara kwa sasa nione umuhimu wa ku share uzoeufu wangu wa kibiashara na watu watakaohitaji ili nao uwasaidie kupambana na changamoto mbalimbali zinazowakabili katika biashara zao. Mimi sio tajiri ila ninauzoefu wa biashara kwa zaidi ya mwaka na nusu na nimepambana na changamoto nyingi sana wakati naanzisha na kuendesha biashara yangu na ushauri naotoa sio theory bali ni actual uzoefu wangu wa kufanya biashara. Mimi naendesha biashara ya kutengeneza na kuuza mkaa mjini Kibaha.
Ushauri ninaotoa ni katika sehemu zifuatazo:
1. Jinsi ya kuendesha biashara kwa mafanikio
2. Jinsi ya kupambana na changamoto za ujasiriamali na biashara
3. Ushauri utakaokusaidia kutoka kuwa mjasiriamali hadi mfanyabiashara
4. Jinsi ya kuongeza mauzo katika biashara yako
5. Mambo ya management kwa ujumla
6. Na kadhalika
Ushauri unaohusu mambo ya kisheria sitoi kwa kuwa mimi sio mwanasheria. Unaweza tafuta mwanasheria akusaidie katika hilo.
Ushauri huu nautoa kwa njia ya simu. Unanitumia ada ya ushauri ya shilingi 5,000 tu kwa M-PESA kwenye 0758 308193 halafu unanipigia tunaongea mpaka tatizo lako lipate ushauri wa kupata suluhisho. Watakaopenda kuchukua nafasi hii kuondoa matatizo katika biashara zao mnakaribishwa. Kama unapatwa na tatizo la kibiashara hata Bill Gates alisema inabidi uombe usaidiwe. Watoa ushauri wa ujasiriamali hapa mjini wanatoa ushauri based on theory tu. Mimi natoa based on experience. Wajasiriamali wengi nchini wanabaki tu kuwa wajasiriamali na si wafanyabiashara kwa kuwa wanachukua ushauri na mafunzo kutoka kwa walimu wa ujasiriamali wanaotoa tips kutoka kwenye internet na kuwamezesha. Matokeo yake wamama wa watu wanabaki kuwa pale pale katika maisha hawasongi mbele.
0758 308193
Karibuni.