Alafu tabia hii ya kuwafanyia hawa wahusika hivi siyo vizuri kimaadili ya kiafrika. Ila naona imeshika kasi kwa sasa.
Loadig....... mkuu
Alafu tabia hii ya kuwafanyia hawa wahusika hivi siyo vizuri kimaadili ya kiafrika. Ila naona imeshika kasi kwa sasa.
Kacheza muvi gani? Wala simjui.
Sorry customer care is not reachableNetwork error............call customer care.
Na wee ni m-congo nini aisee...?.
View attachment 213930Bandugu, Patcho mefumaniwa juu ya nini???
Hata kwenye ile muvi ya Anko J.J ya Kanumba yupo kama mjomba wa Jenipher.