tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 536
hivi kina umuhimu gani wa hiyo pati,?kama kuna kitu wanajifunza ni nini na kwani nilazima wafanye kwenye ukumbi na watu wengi?uswahilini utakuta kuna watoto na vitu vinavyo onyeshwa si sahihi.je zamani hii kitu ilikuwepo,na kama ilikuwepo kunatofauti na sasa?