Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Hiyo sedimentary farming tunataka tuione kwenye data za NBS au hawakuitizama hiyo?
 
Thread huwez kuitumia kama reference point yako
Hapo kweny data mbona hatuwaoni wana njombe jmn mmesahaulika au vip?
Wewe usiwe mjinga,kuna reference kibao humu ndani,hiyo thread ina Takwimu sahihi kutoka Tamisemi..

Kwa taarifa yako mwaka huu tunawakalisha na hizo mil.400 zenu hapo ndio mtajua kwamba Madini wanayochukua wazungu sio mali yenu
 
Kahama inatuzidi nini? Mil.400? Mwaka huu tunawachapa ..

Watu wenyewe mumerundikana kama sisimizi afu mnatuzidi mil.400 ndio unajipiga kifua?🤭🤭

Your popn is twice ours afu mnajipiga kifua? 🤣🤣

View attachment 1969898
Kama mkoani kwenu hakuna wasukuma wa kutosha ni tatizo hilo, nchi yote hii sehemu zote productive tumejaa na tunajaa kwa kasi kweri kweri
 
Hiyo sedimentary farming tunataka tuione kwenye data za NBS au hawakuitizama hiyo?
We unaweza amini takwimu za nchi hii zilizojaa siasa.


Achana na matakwimu. Tafuta hela zako wee na ukoo wako hayo Mambo ya mikoa iachie serikali na siasa zao
 
umeua
 
Sawa unaweza ukawa umezunguka lakini akili bado imeganda.
1. Ushoga Bukoba uliukuta sehemu gani??
2. Biharamulo unasema eti wasukuma hawajajazana kule?? Hujui unachokiandika hapa
3. Zaidi ya asilimia 90 Wahaya Bukoba wanaishi vijijini so huo utajiri wa Bukoba ni kutoka vijijini
4. Huko kwenu mlikopafanya jangwa mtakufa na njaa wakati wazungu wanchota dhahabu wanaondoka
 
Umempiga na kitu chenye ncha kali mattercone
 
Kama mkoani kwenu hakuna wasukuma wa kutosha ni tatizo hilo, nchi yote hii sehemu zote productive tumejaa na tunajaa kwa kasi kweri kweri
Wasukuma si waenda.hapo kwenu sikonge wabadili hizo tembe mnazoita nyumba si Wana pesa hai 🤣🤣
 
Unapenda ligi za kitoto
 
Wewe usiwe mjinga,kuna reference kibao humu ndani,hiyo thread ina Takwimu sahihi kutoka Tamisemi..

Kwa taarifa yako mwaka huu tunawakalisha na hizo mil.400 zenu hapo ndio mtajua kwamba Madini wanayochukua wazungu sio mali yenu
Usikasirike sio mimi nilie leta data ni NBS.
Mko wap kwenye data za NBS?
 
Kwa hiyo ubuyu wa mia mia na vitumbua ndo vifanye watu wa Dar na Pwani wawe matajiri, unajivunia utajiri wa watu wa kuja.....
Watu wa kuja kutoka wapi ?

Hao wote ni watanzania, mtanzania anaweza kuishi mkoa wowote kulingana na uwezo wake wa kujikimu

Kemea mentality za kipumbavu za kibaguzi na kikanda kama zako
 
zaramo land yaani Dar es salaam ndio inaongoza kila siku. sukuma land nao wapo poa
 
Una akili mbovu
 
We unaweza amini takwimu za nchi hii zilizojaa siasa.


Achana na matakwimu. Tafuta hela zako wee na ukoo wako hayo Mambo ya mikoa iachie serikali na siasa zao
Sasa mbona unalia lia.
Umejuaj kama mimi ndio serikali?
kagera haiingii hata kwa kahama kwa kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…