love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Thread huwez kuitumia kama reference point yakoKahama inatuzidi nini? Mil.400? Mwaka huu tunawachapa ..
Watu wenyewe mumerundikana kama sisimizi afu mnatuzidi mil.400 ndio unajipiga kifua?🤭🤭
Your popn is twice ours afu mnajipiga kifua? 🤣🤣
View attachment 1969898
Hiyo sedimentary farming tunataka tuione kwenye data za NBS au hawakuitizama hiyo?Kajifunzeni sedentary farming huko bukoba vijijini.
Watu wanafuga ng'ombe wa maziwa huko vijijini kisasa. Sio kumiliki ng'ombe wengi na kuharibu mazingira.
We huoni bukoba kulivyo na uoto mzr na hali ya hewa nzr kuliko sehemu yoyote kwa sababu ya utunzaji wa mazingiraView attachment 1969896View attachment 1969897
Wewe usiwe mjinga,kuna reference kibao humu ndani,hiyo thread ina Takwimu sahihi kutoka Tamisemi..Thread huwez kuitumia kama reference point yako
Hapo kweny data mbona hatuwaoni wana njombe jmn mmesahaulika au vip?
Kama mkoani kwenu hakuna wasukuma wa kutosha ni tatizo hilo, nchi yote hii sehemu zote productive tumejaa na tunajaa kwa kasi kweri kweriKahama inatuzidi nini? Mil.400? Mwaka huu tunawachapa ..
Watu wenyewe mumerundikana kama sisimizi afu mnatuzidi mil.400 ndio unajipiga kifua?🤭🤭
Your popn is twice ours afu mnajipiga kifua? 🤣🤣
View attachment 1969898
We unaweza amini takwimu za nchi hii zilizojaa siasa.Hiyo sedimentary farming tunataka tuione kwenye data za NBS au hawakuitizama hiyo?
umeuaTuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.
Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.
Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.
Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.
Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.
Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk😂. Tanzania.
Kagera inazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya ndizi zote Tanzania.
Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.
Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara😂.
Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.
Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Sawa unaweza ukawa umezunguka lakini akili bado imeganda.Wadanganye wajinga na mashoga wenzako huko ambao hawaijui kagera. Muleba na misenyi nazijua kila kijiji hunidanganyi kitu. Kote huko ni choka mbaya, ni migomba tu.
Ngara na Biharamulo hakuna wasukuma, ngara ni warudi na wanyarwanda na hata Biharamulo pia, Misenyi.
Kwa kukusaidia ili usije kudhani nina exposure ndogo kama yako ni kwamba, Tanzania nzima nimefika kila wilaya na karibu 80% ya vijiji vyote kwa muda wa zaidi ya miaka 10 ambayo imenifanya nizunguke nchi mzima.
Uvutaji wa goso(ukulima wa tumbaku) na madini kule Bukene.😝😝😝😝😝Iringa inazidiwa nini na Tabora?
Umempiga na kitu chenye ncha kali matterconeUkiondoa takwimu hizi za mapato kimkoa ambazo bado Pwanis wanaongoza, takwimu za umaskini wa kimapato kwa mtu mmoja mmoja kimkoa mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kuwa na maskini wengi huku huku mikoa ya Pwani na Dar ikiingia tatu Bora kwa mikoa yenye unafuu. Kwa hiyo mkuu mnahitaji kupigania ili mfikie kwenye uhalisia wa kuwa na akili.
Wasukuma si waenda.hapo kwenu sikonge wabadili hizo tembe mnazoita nyumba si Wana pesa hai 🤣🤣Kama mkoani kwenu hakuna wasukuma wa kutosha ni tatizo hilo, nchi yote hii sehemu zote productive tumejaa na tunajaa kwa kasi kweri kweri
Mpotezee , ana argument za kitotoSasa mkuu bas na ninyi bila ziwa na madini mwanza Ingekuwaje umejaribu kuwaza hayo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unapenda ligi za kitotoTunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.
GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..
Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.
Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.
Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
Usikasirike sio mimi nilie leta data ni NBS.Wewe usiwe mjinga,kuna reference kibao humu ndani,hiyo thread ina Takwimu sahihi kutoka Tamisemi..
Kwa taarifa yako mwaka huu tunawakalisha na hizo mil.400 zenu hapo ndio mtajua kwamba Madini wanayochukua wazungu sio mali yenu
Watu wa kuja kutoka wapi ?Kwa hiyo ubuyu wa mia mia na vitumbua ndo vifanye watu wa Dar na Pwani wawe matajiri, unajivunia utajiri wa watu wa kuja.....
Una akili mbovuKwa kuongezea Kuna yule mwanamke wa Mara alimnyang'anya jambazi smg kabisa ikiwa na risasi zimejaa kwa magazine.
Yaani ulivyoipamba lake zone.
Wangekuwa ndugu zetu ukanda Fulani wangekomaa wajitenge Mana wananyonywa na wakanda wengine.
Na ndo Mana wanataka kuleta Sera ya ukanda.
Jana nacheki itv Siro Mara,mabeyo simiyu wote walikuwa wanaongea sijui Nini.
Lake zone Askari wengi ndio wametokea huku ,tukidai nchi yetu nadhani wengine mtakufa njaa Mana chakula kingi kinatokea huku
Sasa mbona unalia lia.We unaweza amini takwimu za nchi hii zilizojaa siasa.
Achana na matakwimu. Tafuta hela zako wee na ukoo wako hayo Mambo ya mikoa iachie serikali na siasa zao
Sikonge nimesoma, home Shinyanga region. Sukuma ni jamii kubwa isiyo na njaa njaaWasukuma si waenda.hapo kwenu sikonge wabadili hizo tembe mnazoita nyumba si Wana pesa hai 🤣🤣
Data gani,hao hao NBS ndio wanasema mnaongoza kwa umaskini. 😝😝Usikasirike sio mimi nilie leta data ni NBS.
Mko wap kwenye data za NBS?