Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Hapo ndo shangaa, low minded pwaniz leo wawa suppress akili kubwa kutoka lake zone just kwa cheap politics......
Mnavyomaanisha pwani mna maana gani?

Kama mnamaanisha mikoa yote iliyopakana na bahari basi ujue Kuna Tanga na Dar es Salaam.

Ukichukua Kanda ya Mashariki pekee Bado wao ndio wanaoongoza.

Acheni dharau za kingese
 
Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk[emoji23]. Tanzania.

Kagera inazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya ndizi zote Tanzania.

Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.

Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara[emoji23].

Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.

Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Unaifahamu wilaya Chunya iliyopo mkoa wa Mbeya, unaifahamu kiwango chake Cha uzalishaji dhahabu kwa mwaka?

Hiyo asilimia mia Moja umeitoa wapi?
 
Great minds nchi hii ziko ama zinatoka lake zone.

Maendeleo ya nchi hii yameletwa ama yataletwa na lake zoners tu.

Hawa wakalia maji pwanis hawana lolote.
Ninyi hakuna mnacho leta nchi hii zaidi ya Umasikini na fikra za kimasikini.

Toka enzi mtu toka Kanda ya ziwa akiongoza, ujue uchumi wa nchi utayumba na kurudi nyuma.

Mcheki Nyerere enzi zake timu ya Taifa ilikuwa inacheza kidali wazi.
Hali ya maisha ilikuwa ngumu sana mpaka wakawa wanapewa msaada wa mahindi ya njano.

Mcheki Magunzi ndio muasisi wa vifo, mauaji, purchasing power ya raia kupungua na kuharibu uchumi.
 
mikoa na wilaya imeongezwa kusogeza huduma za haràka kwa jamii. kuna sehemu mtu ili afike wilayani atasafiri karibu km 200 na inambidi alale guest.
pengine tungetafi na njia ya lksogeza huduma bila ya kuanzisha wilaya au mkoa
 
Back
Top Bottom