Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Lakini kwa mikoa ya Njombe na Iringa, halo ni tofauti. Ni mikoa ambayo pato lao kubwa linatokana na shughuli za kipimo ambazo sehemu kubwa ya population inashughulika nazo.
 
Ni kitu gani kinaifanya Njombe iwe na takwimu hizo? Au ni FIKRA zako baada ya kuvuta Bangi ya Kibena bila kula chakula?
Population ya know wa Njombe ni ndogo na hivyo kiwango cha GDP hivyo ikigawanya kwa mtu mmoja mmoja inakuwa kubwa ikilinganisha na Mwanza au Geita.
 
Population ya know wa Njombe ni ndogo na hivyo kiwango cha GDP hivyo ikigawanya kwa mtu mmoja mmoja inakuwa kubwa ikilinganisha na Mwanza au Geita.
Je unajuwa numerator kuwa ni GDP? Kama GDP ni ndogo hata population ikiwa ndogo, per Capita itaendele kuwa ndogo. Labda ujiulize ni components gani zina make up GDP ya Njombe?

Unaweza ukahesabu yale mashamba ya chai ya Brooke Bond ukakuta kuwa pengine Pato lao linahesabiwa Wizara ya Kilimo Dar es Salaam na siyo Njombe.
 
Nani kakuambia kwamba wananchi wa maeneo hayo ni maskini sana ? Wewe kwenu wapi tuanzie hapo kwanza
Inategemea sasa na nature ya shughuli za kiuchumi katika mikoa husika. Kwa mfano mikoa ya Geita na Shinyanga inawezekana kabisa halo ya wananchi ni maskini sana lakini kutokana na uwepo wa migodi mikubwa ya dhahabu,GDP lazima iwe kubwa lakini haitaakisi halo ya wananchi
 
..Kila MTU anajua pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro Nani alipambana kulishusha..sasa hivi hayupo ...mapato ya mikoa hii yatarudi kuongoza mda si mrefu...
 
Takwimu hizo zinatafsiriwa kwa namna nyingi. Ukitaka kujua hali halisi pima kwa per capita. Population ya mkoa lazima izingatiwe sio tu namba zilizo andikwa hapo. Jaribuni kugawa hiyo thamani ya utajiri wa idadi ya watu wake utapata sura tofauti kabisa.
 
| Appointments are based purely on merit, says Samia | How airlines fared amid Covid crisis |

  1. The Citizen
  2. News

Why Njombe and Coast are regions to watch​

MONDAY OCTOBER 11 2021​



Njombe PIC

Summary

  • Njombe and Coast regions may not be the largest contributors to Tanzania’s gross domestic product, but their growth rates put them firmly on the path to becoming forces to be reckoned with in the country’s economy, according to a new report
ADVERTISEMENT

Josphine pic

By Josephine Christopher
More by this Author
Dar es Salaam. Njombe and Coast regions may not be the largest contributors to Tanzania’s gross domestic product (GDP). But, their growth rates put them on the right path to becoming forces to reckon with in Tanzania’s economy, a new study shows.
The two regions - along with Dodoma, Katavi and Mwanza - have seen their GDPs grow at a rate of over 40 percent during the past five years, thanks to the government’s focus on industrialisation and agricultural production among others.
With the main economic activities being agriculture, livestock development, forestation and small businesses, Njombe’s GDP rose by 63 percent in the period of five years from 2016 to 2020.
The regional GDP is now at Sh2.66 trillion, up from Sh1.62 trillion of 2016, according to latest figures from the National Bureau of Statistics (NBS).
Njombe was followed by the Coast Region whose economy grew by 52.9 percent to Sh2.98 trillion from Sh1.95 trillion.
The Coast Region has substantial potential for agriculture, mariculture and fisheries, tourism, small-scale mining, and manufacturing. It is also the second region with the most industry establishments behind Dar es Salaam. The Coast Region is increasingly becoming a preferred investment haven for local and domestic investors, with latest figures showing that it is now only second to Dar es Salaam in terms of attracting investments.
ADVERTISEMENT

Speaking to The Citizen, senior economist Prof Samuel Wangwe said the good performance from the main economic activities in these regions as well as their administrative advances for the past five years has pushed their regional economy.
“Njombe has done well in the agriculture sector which has significantly grown even nationwide; and in general the taxation and administrative systems in all these regions has also improved now compared to previous years,” he said.
The regional economy of Dodoma - which is currently the national capital - grew by 47.17 percent, followed by Katavi and Mwanza, which grew by 44.36 percent and 40.24 percent respectively.
Since the 5th-phase government initiated the move of administrative functions to Dodoma, the region has attracted many investment opportunities thus improving its GDP.
Prof Wangwe said that, for Katavi, its strategic location bordering Zambia and the Democratic Republic of Congo has given it a comparative advantage with respect to provision of trade and transport services to the neighboring landlocked countries.
Prof Haji Semboja of the State University of Zanzibar remarked that Njombe and Katavi’s growth can also be an impact of its establishments as new administrative regions.
“When they became regions, there was rapid developments made both in social and economic sectors such as in terms of settlements, business etc,” he said.
Prof Semboja also stated that the government through its policies and projects have pushed for more development programs to be implemented upcountry to reach large percent of the population who live there.
Moreover, according to the NBS five regions with a slow pace when it comes to GDP were, including percentage in brackets, Tabora (32.94 percent), Kagera (32.51 percent), Kigoma (31.83 percent), Rukwa (26.36 percent) and lastly was Iringa at 25.26 percent.
Commenting on this, Prof Semboja said both regions have the potential to grow at a higher pace but their GDP growth is slow as they still depend on agriculture only.
They have higher GDP, however it grows slowly as it has yet to utilize its available resources effectively, he says.
“Kagera has Lake Victoria, Kigoma has Lake Tanganyika with both regions having links with neighbouring countries, thus if they can expand their and find new economic opportunities, it may improve their GDP at a higher rate,” said Prof Semboja.

 
Mkuu nikusahihishe..

Kanda ya Ziwa Mara,Mwanza,Kagera,Geita na Shinyanga.

Kanda ya Mashariki
Dar,Pwani na Morogoro.

Kanda ya kati
Dodoma,Singida na Tabora

Kanda ya Kaskazini
Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Kanda ya kusini
Lindi,Mtwara,Ruvuma

Kanda ya Magharibi
Kigoma,Katavi, Songwe..

Nyanda za juu Kusini
Mbeya,Iringa,Njombe
..............

So obviously Kanda ya Mashariki ndio kinara.
Kwa tabora umechemka tabora ni magharibi hata mahakama yao kigoma wanaenda tabora ruvuma ni nyanda za juu kusini mtwara na lindi ndio kanda ya kusini
 
Wivu wa nini? Uchumi wa Kanda ya Ziwa ni sawa na Nigeria inavyoongoza kwa GDP kubwa Afrika but life is horrible..

High income dispaity na fedha ni za sekta ambazo sio za wananchi,sasa wangapi wako kwenye migodi ya dhahabu?

Huu ndio ukweli mchungu hata kama hutaki.Wakileta taarifa za Hali ya umaskini lazima muwe wa mwisho na Njombe iko nyuma ya Dar .
Ndio maana reli ya kisasa kupelekwa mwanza
 
Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.

Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.

Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..

Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
Sasa mwanza nayo ikiongeza geita si itasoma 17 bilion
 
Huwezi ukawa na akili timamu ukalinganisha maendeleo yaliyopo huko vijijini uhayani na usukumani hata kidogo.

Kwa Kanda ya ziwa hakuna mkoa wenye maendeleo vijijini Kama kagera . Just imagine wilaya ya muleba Ina shule zaidi ya 300 na hospital 4.

Wakati huko usukumani Kuna wilaya hazina hospital kabisa na hata lami haipo kabisa tofauti na barabara kuu[emoji23][emoji23]
Hayo majumba mazuri vijijini uhayani yanachangia pato la taifa kiasi gani ishu ni GDP sio makazi bora hao wasukuma ni wachuuzi miamala wanayofanya kwa siku tu ni mikubwa huko kwenye machimbo ya dhahabu mfano mji wa bukoba umejengeka kuliko kahama lakini pato la mji wa kahama na mzunguko wa fedha kahama inazidi bukoba japokuwa bukoba imejengeka kuliko kahama ndio ujue majengo hayaongezi pato la taifa halafu hata hayo majengo huko bukoba vijijini hamjauza ndizi ndio mkajenga ni pesa mmepata dar na mikoa mingine mkajenga nyumbani sehemu yenu ya kuzikiwa ili msije kuchekwa ila msukuma akifa anazikwa popote sio lazima kupelekwa kwao
 
Hayo majumba mazuri vijijini uhayani yanachangia pato la taifa kiasi gani ishu ni GDP sio makazi bora hao wasukuma ni wachuuzi miamala wanayofanya kwa siku tu ni mikubwa huko kwenye machimbo ya dhahabu mfano mji wa bukoba umejengeka kuliko kahama lakini pato la mji wa kahama na mzunguko wa fedha kahama inazidi bukoba japokuwa bukoba imejengeka kuliko kahama ndio ujue majengo hayaongezi pato la taifa halafu hata hayo majengo huko bukoba vijijini hamjauza ndizi ndio mkajenga ni pesa mmepata dar na mikoa mingine mkajenga nyumbani sehemu yenu ya kuzikiwa ili msije kuchekwa ila msukuma akifa anazikwa popote sio lazima kupelekwa kwao
Bukoba hii ninayoijua mimi? Kahama huijui kwa taarifa yako kahama mpaka kijijini imejengeka!
 
Back
Top Bottom