Patrice Émery Lumumba - Maisha, Kukamatwa na kuuwawa kwake

Patrice Émery Lumumba - Maisha, Kukamatwa na kuuwawa kwake

Wanaharakati wa JF,

Ninamusudu sana kiongozi Patrice Lumumba ambaye anaishi mioyoni mwetu sisi waafrika kwa ujumla mpaka sasa.
Patrice Lumumba alikufa kwa ajili ya wananchi wake wa Republic of Congo, alikataa mabepari kutoka nchi za nje kwa maneno na vitendo.
Huwa ninajiuliza sana kuhusu jengo la ccm ambalo lipo pale mtaa wa lumumba. Hivi huo mtaa wa lumumba ni heshima kwa nani? Kwani hilo jengo limeficha ufisadi kupitia viongozi wake, hivyo ni unafki wa hali ya juu sana huo mtaa kuitwa jina la lumumba ambao jengo la ccm lipo pale hadi sasa.
Ndiyo maana Tanzania hatutaendelea kama tutaendelea na unafki kiasi hiki. Labda lile jengo siku moja libomolewe au mtaa ubadilishwe jina uitwe jina lingine la mafisadi.
 
Lengo lilikuwa jema ila wasimamizi wa lengo ndio walikuja kupotosha lengo...mfano ukizaa mtoto mzima kisha akaja kuwa shoga haibadilishi maana kwamba ulizaa! R.I.P Lumumba,kuna wanaolinajisi jina lako
 
220px-PatricelumumbaIISG.jpg


Patrice Lumumba enzi za uhai wake; huyu alikuwa rais kwanza aliyechaguliwa ki demokrasia wa watu wa Kongo ambaye ndiye aliyepewa lile jina na Jengo letu pale makao makuu.
 
220px-PatricelumumbaIISG.jpg


Patrice Lumumba enzi za uhai wake; huyu alikuwa rais kwanza aliyechaguliwa ki demokrasia wa watu wa Kongo ambaye ndiye aliyepewa lile jina na Jengo letu pale makao makuu.

Thatha hayo makao makuu yanaogopa kufukuza viongozi mafisadi, kisa wanahofia kupoteza madaraka. Mfano mzuri kule Kagera.
 
Niliangalia documentary moja you tube juu ya mauaji ya Patrice Lumumba nilitamani kulia. Nchi za mabeberu ni hatari sana. Yale mauaji ni kama laana kwenye ardhi ya Congo haijawahi kuwa na amani na hawafaidi utajiri wao.
 
Niliangalia documentary moja you tube juu ya mauaji ya Patrice Lumumba nilitamani kulia. Nchi za mabeberu ni hatari sana. Yale mauaji ni kama laana kwenye ardhi ya Congo haijawahi kuwa na amani na hawafaidi utajiri wao.

Halafu hapo unasikia Tanzania kupitia UN inaenda kulinda amani huko Congo. Amani ambayo hao mabeberu wanaitaka ili waweze kuvuna dhahabu.
 
Niliangalia documentary moja you tube juu ya mauaji ya Patrice Lumumba nilitamani kulia. Nchi za mabeberu ni hatari sana. Yale mauaji ni kama laana kwenye ardhi ya Congo haijawahi kuwa na amani na hawafaidi utajiri wao.
hakuna nchi tajiri hapa africa itabakia salama, hata sisi sasa tujiangalie sana na hii gesi yetu na urani, isije ikawa kitanzi tukaanza kubokoana wenyewe kwa wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: ilu
Halafu hapo unasikia Tanzania kupitia UN inaenda kulinda amani huko Congo. Amani ambayo hao mabeberu wanaitaka ili waweze kuvuna dhahabu.
tukakataa kwenda huko hiyo misaada tungepataje? hawa mabeberu bado wana rule Afrika kwa ujanja ujanja zaidi ya ule tuliousoma those days ukoloni mamboleo.
 
tukakataa kwenda huko hiyo misaada tungepataje? hawa mabeberu bado wana rule Afrika kwa ujanja ujanja zaidi ya ule tuliousoma those days ukoloni mamboleo.

Namfeel Robert Mugabe kwa thatha, jinsi anavyopambana na mabeberu. Anatumia akili, maarifa na nguvu kuhakikisha anapambana na mabeberu. Hawa ma------ wa hapa Tz ndiyo kwanza wanajipendekeza kila kukicha, badala kukaa k-wenye kiti na kufikiria namna ipi ya kusimamia rasilimali zetu ili tuweze kuepuka misaada.
 
tukakataa kwenda huko hiyo misaada tungepataje? hawa mabeberu bado wana rule Afrika kwa ujanja ujanja zaidi ya ule tuliousoma those days ukoloni mamboleo.

Tena nchi zetu za Africa tume consent kabisa kutawaliwa na haya mabeberu. Sidhani kama kuna kiongozi wa Africa sasa anaweza kusimama na kusema NOO kwa hawa watu kama alivyokataa Lumumba. Ndo wamemalizikia kwa kizazi cha Mugabe.
 
Namfeel Robert Mugabe kwa thatha, jinsi anavyopambana na mabeberu. Anatumia akili, maarifa na nguvu kuhakikisha anapambana na mabeberu. Hawa ma------ wa hapa Tz ndiyo kwanza wanajipendekeza kila kukicha, badala kukaa k-wenye kiti na kufikiria namna ipi ya kusimamia rasilimali zetu ili tuweze kuepuka misaada.
huyu mzee anajua kila kitu, na ndiyo maana alikubali wananchi wapate shida lakini wasiwe watumwa ndani ya nchi yao; nchi zetu hizi tunafuata kile mabeberu wanatuambia.

Mzee huyu anabeba dhana nzima ya ukombozi wa bara la afrika waliokuwa nao kina Kwame Nkrumah, Patrice Lumumba; Jk.Nyerere, Mongistu Haile Mariam na wengineo....wapigania uhuru barani Africa - Sasa kimebakia kisiki cha mabeberu Mugabe.
 
hii nayo ni kitu cha kujadili. poor thinkers. nadhani huyu jamaa kaanzisha hii kisha anachangia mwenyewe kwa majina tofauti. kweli mtaweza kusimama mahali kwenye mdahalo?
 
Thomas Sankara, Kwame Nkrumah, Patrice Lumumba hawa viongozi elelezi wa Africa my Africa. Walisimama kidete kutetea heshima ya mwafarika na kuhimiza umoja wetu. Times are a changing , with very few notable exceptions, tumebakia na wachumia matumbo for leaders who are not worth mentioning. Our leader are our greatest shame.
 
Jengo la lumumba lina ofisi ndogo ndani ambayo ni special kwa mganga wa kienyeji. Yaani ni sheeeder
 
Comrade nakukumbuka daima, afrika kuna siku mungu atatukumbuka kwa kuwaapa viongozi kama nyie sio vicheche na wasanii kama kikwete/lowassa na ndoto zao za alinacha.
Mungu aikumbuke familia yako daima.
hahahahaaaa mkuu uliwaza nini kuandika hivi
 
Back
Top Bottom