Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Kaka, ninaomba link ya hiyo thread au ni-tagkuna thread niliwahi kuandika kuwa vyuo vya nje vinatumiwa na majasusi wa huko kuwaingizia fikra wanazotaka wanafunzi wanaokwenda hko, nikaishia kukejeliwa, afadhali hii mada imekuja.
walikuwa wote chuoni na walikuwa waefanana sana kiasi cha kwamba waliweza kutembea na kubadirishana wasichana wao bila kujua baada ya nafunzo Boudie alipelekwa Paris kuratibu mtandao wa ugaidi
Ninasikia Yasser Arafat aliuwawa kwa kulishwa sumu ya polonium 210Basi mimi nilichanganya, nilidhani Mohamed Budia ni undercover name la Yasir Arafat , katika pilikapilika zake na Carlos The Jackal!
[emoji56][emoji23][emoji23]......................watanzania
Mwaka gani?Yeah nmesoma hapo mkuu
Yupo ghetto analiwaYuko wapi Beautiful nkosazana?
Unaandikaga kiUVCCM ndorobooeehkuna thread niliwahi kuandika kuwa vyuo vya nje vinatumiwa na majasusi wa huko kuwaingizia fikra wanazotaka wanafunzi wanaokwenda hko, nikaishia kukejeliwa, afadhali hii mada imekuja.
[emoji56][emoji23][emoji23][emoji56][emoji23][emoji23]
Mkuu, huwa ninakufananishaga na jamaa mmoja anaitwa Denis AlphonceHuu unapaswa kupelekwa jukwaa la intelligence, duru za kimataifa
Yes ni Lumumba wa ZaireLumumba
Hongera yake, akipata smartphone tutaona michango yake.Yupo ghetto analiwa
Una maanisha nini?Yupo ghetto analiwa
Sasa hivi wanajenga metro station pale LumumbaYeah nmesoma hapo mkuu
Just google itUna maanisha nini?
YouHongera yake, akipata smartphone tutaona michango yake.
Che Guevara pia alisoma Patrice Lumumbache guevara,hakusoma huko?