Mwana kinyonga
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 377
- 224
Nilisoma sehemu baada ya mauaji ya PL ndo chuo kikaanza kuitwa hivyo. Kilianzishwa mwaka 60 , 61 PL akauawa na chuo kikaanza kuitwa hvyo.Muendelezo lini??
Ilikuwaje chuo hicho kikapewa jina la Lumumba???
Alikuwa mu Algeria alikuwa Waziri ktk serikali ya rais Boumedienne.Mkuu, Mohammed Boudia hakuwa Libyan yule jamaa?
ThanksAlikuwa mu Algeria alikuwa Waziri ktk serikali ya rais Boumedienne.
Boumedienne alipopinduliwa Boudia akakimbilia Ufaransa huko ndio akaingia rasmi ktk shughuli za kigaidi.
HahaaMust be utopian ideas
BANED again acha utunduMwaka gani?
Magufuli alisoma huko piaChe Guevara pia alisoma Patrice Lumumba
Acha masihara mkuu. You can't be seriousMagufuli alisoma huko pia
Kwanini unafikiri hivyo?Wasomi wa chuo hk watakua vzr sana
A.K.A anajiita Dizoh, mtoto wa Mara, kakulia dar kijichi sio?Mkuu, huwa ninakufananishaga na jamaa mmoja anaitwa Denis Alphonce
ArgeriaMkuu, Mohammed Boudia hakuwa Libyan yule jamaa?
Utakua FSB tu wewe .Nimesoma hapo,pako pazuri
Dhana ya Ujamaa ilivyo kwa dumia ya leo unategemea nn?Kwanini unafikiri hivyo?
Mzee poa sana yule .... 2006 - 2009 kanifundisha hapo SAUT BAEC....Hata mwalimu wangu mzee wa Development Economics pale SAUT naye kapiga Patrice Lumumba, I enjoyed his lectures.
Must be utopian ideas
Babu Lyakurwa ni mjamaa halisi kabisa .... Ana maisha flani ya tofauti kabisa...Hata mwalimu wangu mzee wa Development Economics pale SAUT naye kapiga Patrice Lumumba, I enjoyed his lectures.
Hapana .... Huyo wa I ring a/Morogoro ni Professa Mlambiti ..anayemuongelea ni Dr.LyakurwaAlafu huyo mzee mimi pia kama ninamjua. Ni mtu wa Iringa?
ThanksHapana .... Huyo wa I ring a/Morogoro ni Professa Mlambiti ..anayemuongelea ni Dr.Lyakurwa
Just stay tuned ndugu yanguMuendelezo lini??
Dr Shika,Maalim Seif.Baadhi ya watanzania waliosoma pale ni akina nani?