Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
!
!
Aiseee. Weka Mbali Na Platnumz
Kwa hyo unataka kunambia kwamba huyo binti mpaka Leo bado ni kigori?Siku atakayo jaribu ndo itakuwa mwisho wake wa kusumbua hapa mjini. P sio mtu wa mchezo...
Ndiyo mkuu ndiye anaejiita Paula PaulHivi huyo paula kajala si yupo humu JF? [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi uyo anafunguliwa mada watanzania tunakwama wapi?Leo Hii, Producer Mkongwe wa Bongoflava Pfunk Majani ametutambulisha mtoto wake wa Kwanza Aitwaye Patricia.. Binti huyu Ndio Dada yake Paula wa Kajala anasoma Chuo Cha sheria huko UK Uingereza..View attachment 1305505
God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
amuue kajalaMajani ataua mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
P ye nani kwani?Siku atakayo jaribu ndo itakuwa mwisho wake wa kusumbua hapa mjini. P sio mtu wa mchezo...
Analiwa na waingereza wenzake kuna tofauti kubwa. Role model wako Domo akigusa pale lazma aisome namba. Nawasilisha.Kwa hyo unataka kunambia kwamba huyo binti mpaka Leo bado ni kigori?
Ni PP ye nani kwani?
Nenda huko kwenye uzi wa kubeti
Ushasahau kwamba na wewe unayegonga ipo siku utapata watoto wakike VYOMBO pia .Yaani wanaume vitombi woote Mwenyezi Mungu huwa ’anawajalia’ watoto wa kike ili na sisi tuwagongee kwa jani au nyagi!
Domo sio role model wangu...ni role model wa Numbisa ndio maana Leo kesho anataka avuliwe chup madale ili apewe child support Pamoja na rav 4 na laki 5 kila mwezAnaliwa na waingereza wenzake kuna tofauti kubwa. Role model wako Domo akigusa pale lazma aisome namba. Nawasilisha.
Twin naongea ukweli eti mtoto ni mkali!!
Mweupe kote(sio kama wenu ule wa usoni tu[emoji849][emoji849])
Ana urefu wa kutosha sio kifupi nyundo,
Nyuma mashallah sio sana maana sana inaboa
Pua ndefu iliyochongoka,sio kama hizi za vibungo wa jf unakuta mtu anapua kubwa kama ngumi[emoji57]
In short inatosha kusema kwamba huyu @pat_aika ni mwanamke tena ni mwanamke haswaa[emoji7][emoji7][emoji7]!!
Nb;nshatupia maombi yangu dm yaiikubaliwa soon naenda kuweka chatta[emoji41]View attachment 1305655
Halafu hapo si kempinski jaman[emoji848][emoji848]Uingereza mwingi sana. View attachment 1305734
Nyie wa jf mnaringa Sana'a halafu mvuto F wakat kuna watoto bhana wanajua kuoga na wakatakata haswa!!
Ndiyo mkuu ndiye anaejiita Paula Paul
Nyie wa jf mnaringa Sana'a halafu mvuto F wakat kuna watoto bhana wanajua kuoga na wakatakata haswa!!
Halafu ujue D we ni twin wangu;usitumie makalio kufikiri..