Patricia binti wa Pfunk Majani

Patricia binti wa Pfunk Majani

Uingereza mwingi sana.
Inst-image-27.jpeg
 
Leo Hii, Producer Mkongwe wa Bongoflava Pfunk Majani ametutambulisha mtoto wake wa Kwanza Aitwaye Patricia.. Binti huyu Ndio Dada yake Paula wa Kajala anasoma Chuo Cha sheria huko UK Uingereza..View attachment 1305505

God doesn't require us to succeed,he only requires that you try
Hadi uyo anafunguliwa mada watanzania tunakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twin naongea ukweli eti mtoto ni mkali!!
Mweupe kote(sio kama wenu ule wa usoni tu[emoji849][emoji849])
Ana urefu wa kutosha sio kifupi nyundo,
Nyuma mashallah sio sana maana sana inaboa
Pua ndefu iliyochongoka,sio kama hizi za vibungo wa jf unakuta mtu anapua kubwa kama ngumi[emoji57]
In short inatosha kusema kwamba huyu @pat_aika ni mwanamke tena ni mwanamke haswaa[emoji7][emoji7][emoji7]!!

Nb;nshatupia maombi yangu dm yaiikubaliwa soon naenda kuweka chatta[emoji41]View attachment 1305655

[emoji23][emoji23][emoji23] unatuchamba sanaa jamani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom