Timu ya wananchi inapendwa sana, makocha wote hao wanagombania kujiunga na timu wananchi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hawa jamaa wanachekesha sana hawana pesa za kumlipa Dante watapata wapi pesa za kumlipa Patrick Aussems ???Nani anagombania kuja kula Matikiti na Vitumbua? [emoji23][emoji23]
Munapendwa wakati Eymael aliwakataa huku akiwaita Manyani na Mambwa! [emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hawa jamaa wanachekesha sana hawana pesa za kumlipa Dante watapata wapi pesa za kumlipa Patrick Aussems ???
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hawa jamaa wanachekesha sana hawana pesa za kumlipa Dante watapata wapi pesa za kumlipa Patrick Aussems ???
Wanadhani watamlipa kwa kuuza matikiti maji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanaringia Milioni 70 alizorudisha Tshitshimbi [emoji3][emoji3][emoji3]
Na yeye kawakimbia sasa hivi wanakusanya vibarua wapya wa kumwagilia matikiti maji yaoLevel zao ni za kumwajiri Mkwasa kwa kuwa ni utopolo
Na yeye kawakimbia sasa hivi wanakusanya vibarua wapya wa kumwagilia matikiti maji yao
Umasikini Mbaya SanaHahaaaaa,usiombee umasikini kabisa hasa kama wa hawa utopolo
Umasikini Mbaya Sana
Wanahaha Bila Kujua Wanakwenda Ama Wanarudi
Kila Unayemuona Mbele Yako Unaona TajiriHahaaaaaa,usiuombee kabisa mkuu
Kila Unayemuona Mbele Yako Unaona Tajiri
Ukiwaza Unajiona Magumu Yanakuandama
Viongozi Wa Yanga Ndiyo Wanahaha Eti Kuzoa Vifusi Mtaani Kupeleka Jangwani Kujenga Uwanja
Mengine Yanatia Kinyaa!!πππ
HaaπππWanakuwa kama wakenya,kila wakiisikia Tz mavi yanagonga Pichu
Yanga A.k.a TASAF Yaani Kaya MasikiniYOUNG AFRICAN SPORTIO CLUB ijitahidi kuwalipa vyema na kwa wakati kutuepusha na aibu na fedhea wana yanga
Timu yenu bado inaitwa Dar Es Salaam Yanga Africa?Timu ya wananchi inapendwa sana, makocha wote hao wanagombania kujiunga na timu wananchi