πππ πππTimu yenu bado inaitwa Dar Es Salaam Yanga Africa?
Au ni Young Africans sports club?
Au Manyani fc?
Haaπππ
Saa Hivi Utaona Yanga Na Kasheshe Ya Kugombana
Wenyewe Wanasema Mwaka Wa Tabu
Wimbo Huo Aliimba Ally Choki
HaaππHahaaaaaaaaaaa,hawa jamaa wana maajabu mengi sana,wakiwa hawana pesa wanajiita timu ya wananchi,wakiwa na pesa wanajiita wa Kimataifa,hii mijamaa ni Utopolo mibobezi sana Mkuu
NN WIFI NA SHEMEJI TUTAMPAAWaulize kama watampa gari, dstv na WiFi kama hawataweza wamsahau
Ausems simkubali kama kocha mzuri, aheri tumrudishe Hans Pluijm. Hata kocha wa sasa wa Simba ana shauku kubwa kuifundisha Yanga.Za chini chini zinasema kuwa aliekuwa kocha wa Simba Bwana Patrick Ausems yupo katika mazungumzo na Dar Es Salaam Young Africans kwa ajili ya kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda wa nchi zote za Afrika ya Mashariki, Kusini na Kati na nchi zote zinazo patikana katika upande wa kaskazini wa River Limpopo.
Hans Pluijm, Marcio Maximo na Mwinyi Zahera ni miongoni mwa wanao tajwa kutua Jangwani
Let's wait and see
Kama kuuza ukwaju unaweza kuwa mfadhili wa simba, sioni shida ya kuuza matikiti maji.Wanadhani watamlipa kwa kuuza matikiti maji [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alichokosea mleta uzi kwani ni kipi eti Mtani?Hivi Dada Shadeeya nawe una mawazo mgando kama utopolo huyu?
Au wewe una mawazo mtambuka.
Ila Dada kuna mtu hapa ananisumbua sana kwa swali lake.
Ukiondoa ushabiki "hivi kati ya Feisal Salum (Fei toto) na Cleatous Chota Chama, ni yupi kiungo bora yaani fundi haswa wa mpira .?
Uwezo wa kumlipa mnao! Na je mnahisi huyo Patrick ana mapenzi nanyi.?Alichokosea mleta uzi kwani ni kipi eti Mtani?
Hamna hela ya kulipa wife ya kocha,sikwambii malazi na gari pamoja na mshahara.Timu ya wananchi inapendwa sana, makocha wote hao wanagombania kujiunga na timu wananchi
Za chini chini zinasema kuwa aliekuwa kocha wa Simba Bwana Patrick Ausems yupo katika mazungumzo na Dar Es Salaam Young Africans kwa ajili ya kui-coach timu hiyo inayopendwa sana katika ukanda wa nchi zote za Afrika ya Mashariki, Kusini na Kati na nchi zote zinazo patikana katika upande wa kaskazini wa River Limpopo.
Hans Pluijm, Marcio Maximo na Mwinyi Zahera ni miongoni mwa wanao tajwa kutua Jangwani
Let's wait and see
MY Scientific proof that whites are closer to monkeys than blacksTimu yenu bado inaitwa Dar Es Salaam Yanga Africa?
Au ni Young Africans sports club?
Au Manyani fc?
Kwa hiyo Yanga sio manyani fc?MY Scientific proof that whites are closer to monkeys than blacks
View attachment 1526871
Timu ya wananchi inapendwa sana, makocha wote hao wanagombania kujiunga na timu wananchi
πππππππππππBaada ya kipindi cha mpito, sasa ile timu ya wananchi inarejea ikiwa full, mwendo ni kugawa vipigo vya paka mwizi. Tahadhari kwa simba, hii tabia ya kupita mbele yetu na kanga moko mwaka huu tunaenda kuizika rasmi.