Patrick Ausems huyo Jangwani

Patrick Ausems huyo Jangwani

Uliangalia balance sheet ya Simba ukaona pesa zote ni za Mo?
ndio MO ndio kila kitu simba, hukumbuki alivyolalamika kutumia bilion 4 kuhudumia timu ikabidi viongoz wa simba wampigie magoti? MO akiondoka na timu imekufa
 
ndio MO ndio kila kitu simba, hukumbuki alivyolalamika kutumia bilion 4 kuhudumia timu ikabidi viongoz wa simba wampigie magoti? MO akiondoka na timu imekufa

Simba ni brand kubwa weweee,sisi tutasonga mbele hata akijiachia leo,matajiri wa Simba tupo wengi tu na tutapeana majukumu ya kuisimamia timu yetu kama zamani
 
Simba ni brand kubwa weweee,sisi tutasonga mbele hata akijiachia leo,matajiri wa Simba tupo wengi tu na tutapeana majukumu ya kuisimamia timu yetu kama zamani
hivi unajua simba kabla ya mo hajaingia ilivyokuwa?
 
Nani anagombania kuja kula Matikiti na Vitumbua? [emoji23][emoji23]
Munapendwa wakati Eymael aliwakataa huku akiwaita Manyani na Mambwa! [emoji16][emoji16]
mkuu ushabiki sio matusi!ila ile canter ya wazi mliotoka nayo airport mmetia aibu bora mngewaomba ata clods lilie gari lao la matangazo
 
Juzi kwenye daladala kuna shabiki mmoja wa Utopolo fc akawa analopoka eti Simba wa mme wao MO, mmoja akamuuliza mbona na nyie mlikua na Manji akawaacha saizi mnaye GSM. Akaanza kulopoka tena namnukuu, ( sisi Utopolo fc hatuna Mme ka ma MO, wa kwetu sisi hana hela ka wenu). Mwisho wa kumnukuu.
Badae akauulizwa tena ko unamkataa GSM kua mme wenu kisa hana hela ka MO? Lakini si anakuhudumia kila kitu?
Badala kujibu hoja akaendelea kuropoka tena , nyie Simba mmeolewa.
Mi kwa sababu nilikua msikilizaji nikakumbuka kauli ya Luc kua mashabiki wa Utopolo fc yanabweka tu ka mbwa na kuropoka ka Manyani.
 
mkuu ushabiki sio matusi!ila ile canter ya wazi mliotoka nayo airport mmetia aibu bora mngewaomba ata clods lilie gari lao la matangazo

Cha kushangaza Aibu wanayoiona ni Mambwa FC, Lakini sisi Simba SC haikuwa aibu kwetu bali tunajivunia na kukifurahia kitendo kile kuwa ni cha kishujaa.
Mashabiki wa Manyani FC kama mleta Uzi ndiyo wanajifanya eti ni Simba na kulalamika! Narudia tena hakuna Mshabiki wa Simba anayelalamika! Sote tunafuraha.
 
Back
Top Bottom