Patrick Aussems: Wamiliki wa Singida Black Stars hupangia makocha vikosi vya kuchezesha

Patrick Aussems: Wamiliki wa Singida Black Stars hupangia makocha vikosi vya kuchezesha

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
0f80b254-df42-4f45-afbf-a384d19dd5fc.jpg


Mimi sio mtu wa kupangiwa unapaswa kufanya hiki kwa wakati gani kwasababu uliniajiri ili nifundishe sasa kwanini unipangie cha kufanya?

Kwasasa nafahamu sio kocha anaendaa kikosi cha kwanza hilo nafahamu wazi kwa kocha mahiri aliyeifanya kazi yake kwa muda mrefu ni ngumu kukubaliana na hiyo hali..

Niwe Mkweli mmiliki wa timu mara zote huniita kabla ya mchezo na baada ya mchezo nilikuwa nazungumza nae na mara nyingi alikuwa akihitaji kuona kikosi kinachoanza na nnamwambia hapana subiri mchezo ufike na baada ya hapo niliwambiwa napaswa kuwa makini..

Haikuchukuwa muda baada ya wiki nilifahamu michezo yote ndani ya timu kwanzia kwenye uongozi mpaka kulazimishwa kuwachezesha baadhi ya wachezaji na nikafahamu ni watu wa aina gani?

Mara nyingi walikuwa wanajaribu kuwafuata wasaidizi wangu na kufahamu nimempanga nani kwanzia madakitari wa Timu na wiki yangu ya kwanza tu kwenye kuiandaa timu nilimfukuza msaidizi wangu kwasababu nilijua anatumika na uongozi na baada ya hapo nikamchukuwa Denis Kitambi

Kuna watu wapo Singida zaidi ya miaka 6 hivyo mawazo yangu nilijua hii klabu inaenda kukua sana na niseme wazi tu kuwa Mmiliki wa timu hana watu sahihi wa kuiongoza timu yake

Aliyewahi kuwa kocha wa Singida Black Stars Patric Aussems amezungumza haya leo, Februari 19, 2025 kwenye kituo cha Crown FM.

Pia soma Kocha Aussems (Uchebe) aibua mazito: Wachezaji wa Singida hawakufurahishwa na kikosi kisicho cha ushindani dhidi ya Yanga
 
View attachment 3241700

Mimi sio mtu wa kupangiwa unapaswa kufanya hiki kwa wakati gani kwasababu uliniajiri ili nifundishe sasa kwanini unipangie cha kufanya?

Kwasasa nafahamu sio kocha anaendaa kikosi cha kwanza hilo nafahamu wazi kwa kocha mahiri aliyeifanya kazi yake kwa muda mrefu ni ngumu kukubaliana na hiyo hali..

Niwe Mkweli mmiliki wa timu mara zote huniita kabla ya mchezo na baada ya mchezo nilikuwa nazungumza nae na mara nyingi alikuwa akihitaji kuona kikosi kinachoanza na nnamwambia hapana subiri mchezo ufike na baada ya hapo niliwambiwa napaswa kuwa makini..

Haikuchukuwa muda baada ya wiki nilifahamu michezo yote ndani ya timu kwanzia kwenye uongozi mpaka kulazimishwa kuwachezesha baadhi ya wachezaji na nikafahamu ni watu wa aina gani?

Mara nyingi walikuwa wanajaribu kuwafuata wasaidizi wangu na kufahamu nimempanga nani kwanzia madakitari wa Timu na wiki yangu ya kwanza tu kwenye kuiandaa timu nilimfukuza msaidizi wangu kwasababu nilijua anatumika na uongozi na baada ya hapo nikamchukuwa Denis Kitambi

Kuna watu wapo Singida zaidi ya miaka 6 hivyo mawazo yangu nilijua hii klabu inaenda kukua sana na niseme wazi tu kuwa Mmiliki wa timu hana watu sahihi wa kuiongoza timu yake

Aliyewahi kuwa kocha wa Singida Black Stars Patric Aussems amezungumza haya leo, Februari 19, 2025 kwenye kituo cha Crown FM.

Pia soma Kocha Aussems (Uchebe) aibua mazito: Wachezaji wa Singida hawakufurahishwa na kikosi kisicho cha ushindani dhidi ya Yanga
Hivi TFF na Bodi ya Ligi kweli wanashindwa kweli kukusanya ushahidi na kulinda hadhi ya ligi yetu au muamala wa GSM umesomeka hadi TFF na Bodi ya Ligi?
 
Makolo pelekeni ushaihidi FIFA.

Wanachofanya Yanga sio kitu kizuri hata kidogo kwa maendeleo ya soka letu.
 
Bahati nzuri Mmiliki alipanga kikosi ilichotoa ushindani wa kutosha katika mechi ya kwanza dhidi ya Yanga Chini ya Uchebe.

Mpaka sasa hakuna mechi iliyochezwa kwa ushindani na kasi ya haliya juu zaidi ya Mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga iliyopelekea mpaka Makocha wapigane.

Ni bora kikosi awe anapanga mmiliki na kocha asubiri.
 
Bahati nzuri Mmiliki alipanga kikosi ilichotoa ushindani wa kutosha katika mechi ya kwanza dhidi ya Yanga Chini ya Uchebe.

Mpaka sasa hakuna mechi iliyochezwa kwa ushindani na kasi ya haliya juu zaidi ya Mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga iliyopelekea mpaka Makocha wapigane.

Ni bora kikosi awe anapanga mmiliki na kocha asubiri.
Makocha walishenyentana siku hiyo hatari🤣🤣🤣🤣
 
Makolo pelekeni ushaihidi FIFA.

Wanachofanya Yanga sio kitu kizuri hata kidogo kwa maendeleo ya soka letu.
Hili suala sio la makolo wala vyura ni suala la msimamizi wa ligi kuwa strictly bila kujali nani kakosea
Tz kuna tatizo la kujadili hoja bali huwa tunajadili nani katoa hoja ikiongozwa na wanasiasa pili mashabiki wa mpira especially hizi timu mbili kongwe
 
Bahati nzuri Mmiliki alipanga kikosi ilichotoa ushindani wa kutosha katika mechi ya kwanza dhidi ya Yanga Chini ya Uchebe.

Mpaka sasa hakuna mechi iliyochezwa kwa ushindani na kasi ya haliya juu zaidi ya Mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga iliyopelekea mpaka Makocha wapigane.

Ni bora kikosi awe anapanga mmiliki na kocha asubiri.
Kwa nini mmiliki usiwe kocha ili atoe ushindani kwenye mechi zote
 
Bahati nzuri Mmiliki alipanga kikosi ilichotoa ushindani wa kutosha katika mechi ya kwanza dhidi ya Yanga Chini ya Uchebe.

Mpaka sasa hakuna mechi iliyochezwa kwa ushindani na kasi ya haliya juu zaidi ya Mechi ya kwanza ya Singida vs Yanga iliyopelekea mpaka Makocha wapigane.

Ni bora kikosi awe anapanga mmiliki na kocha asubiri.
Ile mechi kama kweli alipanga mmiliki basi hakuna haja ya kua na kocha ile ndio ilikua mechi ya kusadifu ubora wa ligi yetu..
Ulipigwa mpira mkubwa na wa ushindani hasa..
 
Baada ya ku konekti doti leo ndo nimejua kwa nini uchebe alifukuzwa, kumbe aliwagomea mabosi wa singida kumpangia kikosi shubahamiti zao matapeli wa mpira mamlaka husika inabidi ishughulike nao.
 
Kwa mapuuza anayohusishwa nayo sijui anapata wapi muda wa kufanya kazi zake serikalini. Mimi nimetaka kumuona wiki mbili sasa napigwa tarehe tu kumbe yupo huku anafanya mambo ya hovyo.
 
Na huu ndio ukweli wenyewe. Akuna ligi Tanganyika.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom