TANZIA Patrick Mbozu(CCM) Diwani wa Kata ya Isanzu Wilayani Nzega, afariki Dunia

TANZIA Patrick Mbozu(CCM) Diwani wa Kata ya Isanzu Wilayani Nzega, afariki Dunia

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
mbo.jpg

Patrick Gululi Mbozu

Tanzia: Patrick Mbozu Diwani wa Isanzu (CCM), afariki Dunia

Mzee Patrick ametutoka usiku wa leo. Alikuwa anasumbiwa na Maradhi kwa mda mrefu, alilazwa Hospitali ya Bugando Mwanza, ni diwani kutoka CCM pia alikuwa ni mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Nzega katika Uongozi wa awamu ya nne.

Amefia Hospitali ya Wilaya ya Nzega.

Apumzike mahali pema peponi

NB: Kwa leo mvua ni nyingi inanyesha, habari zaidi mtazipata kesho kukikucha.

Marehemu ni Baba Mzazi wa John Patrick Mbozu ambaye ni Katibu wa Mambo ya Nje wa chama cha ACT Wazalendo.
 
Tanzia: Patrick Mbozu Diwani wa Isanzu (CCM), afariki Dunia

Mzee Patrick ametutoka usiku wa leo. Alikuwa anasumbiwa na Maradhi kwa mda mrefu, alilazwa Hospitali ya Bugando Mwanza, ni diwani kutoka CCM pia alikuwa ni mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Nzega msimu katika Uongozi wa awamu ya nne.

Apumzike mahali pema peponi

NB: Kwa leo mvua ni nyingi inanyesha, habari zaidi mtazipata kesho kukikucha.
Kwa leo mvua inanyesha, sasa mvua inahusiana nini na msiba hadi useme taarifa kamili tutazipata kesho?? Pole familia, pole wananchi na ccm kwa ujumla wake.
 
Mkuu huyu Mzee ni baba wa JOHN PATRICK MBOZU. ??
yule jamaa aliyegombeaga ubunge wakati yuko second year Pale udsm
 
Back
Top Bottom