TANZIA Patrick Mbozu(CCM) Diwani wa Kata ya Isanzu Wilayani Nzega, afariki Dunia

TANZIA Patrick Mbozu(CCM) Diwani wa Kata ya Isanzu Wilayani Nzega, afariki Dunia

Mungu anatukumbusha kuwa sisi sote ni tunathamani sawa mbele zake bila kujali nguvu za kifedha au za kimamlaka tulizonazo

Pia,hapa Mungu Mwenye-enzi anakuwa amewakumbusha watu wa upande fulani maumivu waliyonayo watu wa upande mmoja,kumbuka kupigwa risasi kwa Acquilina,Lissu,Kukatwa kwa mapanga kwa Alphonce Mawazo,na wengineo wengi na wengine issues zao haziripotiwi,pia kumbuka watumishi kutokupanda madaraja,kufungiwa kwa biashara mbalimbli na anguko la uchumi plus kukosekana kwa ajira,watumishi kukatwa na board huku wakiwa hawajapanda madaraja wala kupata increments

Mnaweza kuona kama nilichoandka hakina uhusiano na msiba huu lkn kumbuka amekufa m2 ambaye yupo kwenye system anayoleta maumivu yote haya kwa wananchi na tunapoumia wao huwa hawayahisi maumivu ye2 lakn namshukur Mungu kwa kutukumbusha sisi site ni sawa mbele zake...,kama ambavyo sote tutakufa basi vivyo hivyo sote tuna mahtaji sawa kama vile Uhuru wa kuongea,Uhuru wa kupata habar (kumbuka issue ya Bunge live),Uhuru wa kuishi (kumbuka kifo cha Acquilina,kupigwa risasi kwa Lissu and others)

Kwa mapenzi yake Mungu amuweke pale anapoona kuwa ni sahihi!
 
Hizi RIP zenu za hapa JF hazisaidii chochote,
Kama Mungu ashampangia akawe Kuni huko motoni kwa aliyowafanyia wengne bas haitobadilika,
Kata yake imekosa uwakilishi muda mrefu sana,
Uko sahihi mkuu.

Sisi tuna jukumu la kumuombea yaliyo mazuri bila kujali matendo yake, ila hukumu inayostahili ndio inatoka kwa muumba wake.
 
Uko sahihi mkuu.

Sisi tuna jukumu la kumuombea yaliyo mazuri bila kujali matendo yake, ila hukumu inayostahili ndio inatoka kwa muumba wake.
Hapo ni Kumungilia Mungu majukumu yake Mkuu,
 
Utabakia na hayohayo wakati ukifika ndiyo utajua kua ulikua ukipiga mbwa rangi

Kutetea udhalimu ni kazi ngumu sana ambayo hata shetani mwenyewe anaiogopa, ndio maana hata wewe unababaika sana kwenye kujaribu kutetea udhalimu na ukatili wenu.. Unabaki unazunguka tu ati "utabakia na hayohayo wakati ukifika ndio utajua kua ulikua ukipiga mbwa rangi".. Nahau za kuokoteza..
 
Hapo ni Kumungilia Mungu majukumu yake Mkuu,
Endapo nikisema ataenda motoni/peponi ndio nitakuwa nimeingilia jukumu la Mungu kwani Mungu pekee ndiye anayehukumu.

Kumbuka kila nafsi ni shahidi ya matendo yake.
 
Ndio maana nmesema sitaki unafki.... Moyo wangu ndio unawaza hivyo so sio lazima uafiki. kiukweli nna chuki sana na yeyote anayejihusisha na CCM awamu hii tokea nshuhudie kwa macho yangu mwili wa alphonce mawazo uliobondwa kwa mashoka na mapanga so usinipangie cha kusema
Sikupangii na wewe usinipangie.
Ila unachokiongea ni upumbavu.
Nimehudhuria msiba wa ndugu yangu aliyepigwa risasi kichwani huko Kibiti kisa tu alikuwa kiongozi wa ccm.
Kwa hiyo huu ushenzi sio wa kushabikia.
Tena uwe na adabu kabisaa.
 
zitto junior: CCM imetutesa sana watanzania na kutufanya tuwe hoi kwa nyanja zote za maisha. Imetufanya taifa la wategemezi kwa 92%. CCM inapaswa kutuomba radhi watanzania kwa kutuumiza namna hii.
 
Huko kuwashwa washwa kwako.. kaa nako huko huko.. huoni hata aibu kuandika hayo.. acha wivu hata kwa marehemu.. duh!!!
Nmuonee Wivu alikua na nini hasa,
Namsikitikia tu amekufa akiwa yuko CCM
 
Mkuu huyu Mzee ni baba wa JOHN PATRICK MBOZU. ??
yule jamaa aliyegombeaga ubunge wakati yuko second year Pale udsm
Ndio John Partric Mbozu kwa sasa ni katibu wa mambo ya nje wa ACT Wazalendo.
 
Hata nawewe kama upo CCM ufetu ....mungu aliwagomea kuondoa uhai wa great Lissu....
Haya Asante kwa Maoni Yako, My fellow human being,this is how I see you.whether you are a Chadema,CCM,ACT,Democrat,Republican You are all organisms who will shut down forever and left to decay,And no one will remember you,even your own grand grand children will not know you.This generation will disappear the other will come and undergo the same scenario. Its shame to talk non sense like this of yours.
 
Are we talking non sense? So gunning lissu was plausible and sensible? The opinions u see is the verbal revenge to subversive ploys done to our lovely opposition icons! U may be be joy to these but others not! U want to affirm to us that those who attempted to kill lissu, those who kidnaped Saa 8 wont die and wont decompose? My friend to my side if our enemies and their co. dies let them go to hell including you
 
Back
Top Bottom