Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Alikuwa Ana tamaa mbayaa kwani mnilimuona Apo ubungo wakt wanazindua fly over afya yake CYO kuwa mtumishi wa umma Wala kuonekana puplic alikuwa kachoka mbyaa ndio kwanza magufuli anasema anaomba mungu asife aendele kumtumia kuzanifu madaraja ya nnchi ...ila ukweli baby yule kachoka huku akiongea fatilia you tube alichangia a Sana tarakimu wakt anasoma hotuba fupi na garama zilizotumika ndio nikaingiwa na waswAsi kwa mtendaji huyo
 
Bila majungu hutoboi bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…