Patrick Ngowi ndani ya Mboni Show- Mfano ya interview nzuri na mapungufu ya Mboni

Patrick Ngowi ndani ya Mboni Show- Mfano ya interview nzuri na mapungufu ya Mboni

Selwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
583
Reaction score
590
Kweli huyu dada vipindi vyake havinogi na hajui kuvinogesha na hata audience wanaboa..kuna maswali mengi zaidi angeweza kunogesha he's inspiring guy lakini Mboni ameshindwa kumtoa guest wake kutoka kwenye ile hali ya kazi na kuja hali ya u-talk show sijui kama umeona hilo.. Na unamsalimiaje mtu kwenye show 'Mambo' Inabidi aangalie show nyingi sana za Africa na za nje ila Kijana kajitahidi kukeep focus ya show.Angefanya research zaidi ya huyu jamaa na kumpiga maswali ya ukweli .

lakini Jamaa kaongea vizuri ndio tafauti na msomi na typical mbongo ambaye angeongeza you know you know nyingi kama dada yetu hapo chini...


Na mfano mwingine wa interview mbovu ni huyu mwanamuziki mashahuri ambaye alishindwa kujipanga
 
Last edited by a moderator:
Mfanyabiashara anasema kaanza kufanya biashara si kwa kutaka utajiri, bali kwa kutaka kuwapa watu huduma wanayohitaji.

Huyu mfanyabiashara au mtawa? Hata sound za PR self promo zinataka usi overdo the benevolence card kiasi cha kuifanya hadhira yako kama ya wajinga.

Ningeelewa kama angesema hakufanya biashara kutafuta utajiri tu, bali kutoa huduma pia, which is standard boilerplate. Lakini huyu mtawa hakuona hata haja ya kuweka "tu".

Which comes across phoney and dishonest.

Wabongo wengi kujieleza bado.

Hii ndiyo interview inayosifiwa. On the outset tu kauli mzigo.
 
Mboni si professional katika kufanya interview na she doesnt know what, when and where to speak and not speak certain things.
Kuna vitu uwa anaongea hadi nabaki najiuliza hivi inakuaje amesema hivyo.
Mfano uwa anapenda kujisifia kuwa alikuwa mkorofi ashikiki, kamsumbua sana mama yake na si mara moja mara nyingi tu anapenda kujisifia huo ujinga.
Utaskia yule hajanifikia mimi, mimi nilikuwa mkorofi naruka ukuta. What for?

Kwa upande wa pili anajitahidi atleast she is doing something kinachoonekana na anasaidia kutuhabarisha in one way or another aki earn a living kuliko wanaobebeshwa sembe na kuuza papuchi.....
 
bora hata show ya mboni kuliko ile ya ongea na janeth yaan wanajitahidi kumuiga lakini hawawezi kabisa. mboni anamapunguvu ndio but she iz tying.
 
Mfanyabiashara anasema kaanza kufanya biashara si kwa kutaka utajiri, bali kwa kutaka kuwapa watu huduma wanayohitaji.

Huyu mfanyabiashara au mtawa? Hata sound za PR self promo zinataka usi overdo the benevolence card kiasi cha kuifanya hadhira yako kama ya wajinga.

Ningeelewa kama angesema hakufanya biashara kutafuta utajiri tu, bali kutoa huduma pia, which is standard boilerplate. Lakini huyu mtawa hakuona hata haja ya kuweka "tu".

Which comes across phoney and dishonest.

Wabongo wengi kujieleza bado.

Hii ndiyo interview inayosifiwa. On the outset tu kauli mzigo.

Ulichosema ni kweli. Very true amejifanya hapo...hata alivoingia akaulizwa hajachangamka akasema labda mnichangamshe naona kama arrogance fulani. Lakini ukiangalia interview nyingi za watu wetu ni mbovu huyu kijana kajitahidi
 
kuna siku alikua anamhoji shilole.shlole akasema niliwah kubakwa naye mboni akamuuliza,vp ulifurahia?

Duuuh. Halafu hakukuwa na outrage wala nini?

Sasa mtu kama huyo usikute hata mabosi wake na "Program Director" chances are kawaweka kiganjani, au hata kiunoni. Anajisemea ovyo tu.

Na public inasema "hewalla".
 
Duuuh. Halafu hakukuwa na outrage wala nini?

Sasa mtu kama huyo usikute hata mabosi wake na "Program Director" chances are kawaweka kiganjani, au hata kiunoni. Anajisemea ovyo tu.

Na public inasema "hewalla".

i doubt kama anae!!!a very good idea lakini namna inavyotekelezwa ni ----- mtupu!

nakubali.......kuna vitu vingine hufundishwi,ni kipaji tu.lakini msasa wa angalau miezi miwili mitatu utang'arisha kipaji jamani!mi nachoka sana kutazama talk show zetu na ndio hazina hata miaka mitano!
 
kuna siku alikua anamhoji shilole.shlole akasema niliwah kubakwa naye mboni akamuuliza,vp ulifurahia?

mmmmhhhh, mkuu is it true au umeongeza chumvi.
Au she meant it in a good way!!!!!!!
Ngoja niitafute hii interview kwanza
 
Nyie mnaojua vipindi vyenu viko wapi?


Mkuu hata Tyra Banks alikuwa anakosolewa na kipindi chake kwahiyo usipanic. Suala sio kuwa na show suala ni waaangaliaji ni nani na wanataka nini...fanya ujuavyo wewe na utaona kama utalipa utaishia kufa kifo cha mende...ni mawazo tu, kama umetosheleka na kipindi basi kalale
 
sio kila kipindi ukianzisha lazima ww uwe presenter kama unaona ufit ni bora uwe nyuma ya camera halafu utafute m2 anaefit kwa position hiyo kwa mfano ay angesimama yy kwny mkasi leo kingekuwa pale yy anataka kuuza sura ndo matokeo yake kipindi kinapwaya
 
Wanaparamia tu mambo ooh Tv talk show...wanadhani kila anayeweza kusema anaweza kuwa mtangazaji...kibaya zaidi hawataki kujifunza.,
 
sio kila kipindi ukianzisha lazima ww uwe presenter kama unaona ufit ni bora uwe nyuma ya camera halafu utafute m2 anaefit kwa position hiyo kwa mfano ay angesimama yy kwny mkasi leo kingekuwa pale yy anataka kuuza sura ndo matokeo yake kipindi kinapwaya

true facts.
 
Mfanyabiashara anasema kaanza kufanya biashara si kwa kutaka utajiri, bali kwa kutaka kuwapa watu huduma wanayohitaji.

Huyu mfanyabiashara au mtawa? Hata sound za PR self promo zinataka usi overdo the benevolence card kiasi cha kuifanya hadhira yako kama ya wajinga.

Ningeelewa kama angesema hakufanya biashara kutafuta utajiri tu, bali kutoa huduma pia, which is standard boilerplate. Lakini huyu mtawa hakuona hata haja ya kuweka "tu".

Which comes across phoney and dishonest.

Wabongo wengi kujieleza bado.

Hii ndiyo interview inayosifiwa. On the outset tu kauli mzigo.
Kweli maana wa Finland wamekuja kuangalia huduma anayotoa kwa Wananchi.
 
Back
Top Bottom