Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Patrick Ngowi yuko simple sana Yani hana mbwembwe kama hawa wasanii uchwara Mchaga anayejitambua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa bongo hiiKwan haiwezekan mkuu
Mark mzee wa tshirt za kahawiaAngalia Mark Zurkerbeg (sijui kama inaandikwa hivi) anaishi kawaida sana BTW kila mtu ana ugonjwa wake unaeza kuta huyo jamaa yako ni mzinzi wa kutupwa sema kwa siri kubwa sana...
Mdau kila mtu ana uhuru na utafutaji na matumizi yake,yaani huo ni uhuru mkubwa sana,sasa wote wawe kama ngowei?au wote wawe km majizzo?nopeHello guys
Kwa mnaofuatilia vizur patrick ngowi alivokuwa na miaka 27 aliingia kwenye forbes africa under 30 list huku kampuni zake za solar ikiwa na revenue ya 2million usd kwa mwaka, akaitwa kwenye interview za mboni talk show na the scoop. so he was quite a celebrity.
Pamoja na hayo jamaa sijaona akishobokea mademu wakali wa bongo movie, wala kuonesha burungu za hela au kula bata kwenye social media, jamaa yupo kiofisi ofisi zaidi.
Akina idriss walivoshinda 300,000usd walisumbua hapa mjini, majjizo baada ya kupata mafanikio kidogo keshaanza kumdate lulu, dallas baada ya kupata mabilioni ya shillingi yoote yaliishia kwa wolper na gold diggers.
Nadhani patrick ngowi ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sisi vijana.
Ww pia millionareMimi pia niko tofauti sana na vijana wenzangu
Sja mdate bongo movie star hata mmoja