Patrick Vieira atimuliwa Crystal Palace

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008



Klabu ya Soka ya CrystalPalace imemfuta kazi Patrick Vieira baada ya kuhudumu kwa miezi 20 kufuatia kipigo chao cha 1-0 dhidi ya Timu ya Brighton

Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Steve Parish amesema matokeo ya Miezi ya hivi karibuni yamewaweka katika nafasi mbaya ya ligi kuu ya England, EPL, hivyo mabadiliko ni muhimu ili kuwapa nafasi nzuri zaidi ya kubaki na hadhi ya Ligi Kuu
 
Coaches are hired to be fired
 
Duh ..Vieira alikua mwamba sana ni vile tu upepo haujamwendea sawa, alikua anatusumbua sana City huyu jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…