Patrobas Katambi akumbana na aibu nzito, wananchi washindwa kujitokeza mkutanoni

Patrobas Katambi akumbana na aibu nzito, wananchi washindwa kujitokeza mkutanoni

Bundilya2023

New Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
1
Reaction score
8
Patrobas Katambi naibu waziri na mbunge wa Shinyanga Mjini amejikuta hivi karibuni katika aibu kubwa baada ya kuitisha mkutano wa hadhara na watu kutotokea.

Katambi ambaye inafahamika aliingia kwenye ubunge huo kimagumashi baada ya mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni za CCM, Stephen Masele kukatwa ma kisha kuchaguliwa Katambi.

Mbeleko ya Hayati Rais John Magufuli kwa katambi kwenye ubunge wa Shinyanga Mjini ndio ulimbeba Katambi lakini inafahamika kipenzi na chaguo la wana Shinyanga alikuwa ni Stephen Masele.

Hivi karibuni Katambi aliitisha mkutano wa kumfagilia Rais Samia kama njia mojawapo ya kujipendekeza asipigwe chini kwenye nafasi ya uwaziri na mbeleko ya ubunve 2025 lakini turn out ya watu imedhihirisha kuwa hatakiwi na wakazi wa Shinyanga Mjini.

Katambi pamoja na kutumia vibaya jina la Rais Samia ili apate watu kwenye mkutano ameishia kutia aibu kwa kukosa watu kabisa . Eti “Samia day” Katambi aambiwe aache kudhalilisha jina la Mheshimiwa Rais wetu kipenzi.

Katambi aelezwe kuwa Shinyanga Mjini hatakiwi ukiangalia hizi picha ni kama mkutano wa mwenyekiti wa kitongoji Hii na bado asubiri 2025 atakapoondolewa kwa aibu.

Mwisho..
Angalia picha chini mkutano ulioitishwa na Katambi hivi karibuni ili kujipendekeza kwa Rais Samia.

IMG-20221215-WA0005.jpg
IMG-20221215-WA0004.jpg
Screenshot_20221213-100718.png
 
Shinyanga Mjini ni baadhi ya majimbo yaliyotakiwa kwenda Chadema 2020, kama isingekuwa zile rafu za makusudi walizocheza CCM.

Naamini 2025 wapo wabunge wa CCM watakaolia kilio kile kile walicholia wapinzani 2020, labda mama yao awabebe, ni suala la muda tu.
 
Patrobas Katambi naibu waziri na mbunge wa Shinyanga Mjini amejikuta hivi karibuni katika aibu kubwa baada ya kuitisha mkutano wa hadhara na watu kutotokea.

Katambi ambaye inafahamika aliingia kwenye ubunge huo kimagumashi baada ya mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni za CCM, Stephen Masele kukatwa ma kisha kuchaguliwa Katambi.

Mbeleko ya Hayati Rais John Magufuli kwa katambi kwenye ubunge wa Shinyanga Mjini ndio ulimbeba Katambi lakini inafahamika kipenzi na chaguo la wana Shinyanga alikuwa ni Stephen Masele.

Hivi karibuni Katambi aliitisha mkutano wa kumfagilia Rais Samia kama njia mojawapo ya kujipendekeza asipigwe chini kwenye nafasi ya uwaziri na mbeleko ya ubunve 2025 lakini turn out ya watu imedhihirisha kuwa hatakiwi na wakazi wa Shinyanga Mjini.

Katambi pamoja na kutumia vibaya jina la Rais Samia ili apate watu kwenye mkutano ameishia kutia aibu kwa kukosa watu kabisa . Eti “Samia day” Katambi aambiwe aache kudhalilisha jina la Mheshimiwa Rais wetu kipenzi.

Katambi aelezwe kuwa Shinyanga Mjini hatakiwi ukiangalia hizi picha ni kama mkutano wa mwenyekiti wa kitongoji Hii na bado asubiri 2025 atakapoondolewa kwa aibu.

Mwisho..
Angalia picha chini mkutano ulioitishwa na Katambi hivi karibuni ili kujipendekeza kwa Rais Samia.

View attachment 2448473View attachment 2448474View attachment 2448476View attachment 2448477View attachment 2448480
Masisiemu 2025 yataumbuana mpaka yatauana
 
Hivi karibuni Katambi aliitisha mkutano wa kumfagilia Rais Samia kama njia mojawapo ya kujipendekeza asipigwe chini kwenye nafasi ya uwaziri na mbeleko ya ubunve 2025 lakini turn out ya watu imedhihirisha kuwa hatakiwi na wakazi wa Shinyanga Mjini.
🤣🤣🤣🤣daah
 
Patrobas Katambi naibu waziri na mbunge wa Shinyanga Mjini amejikuta hivi karibuni katika aibu kubwa baada ya kuitisha mkutano wa hadhara na watu kutotokea.

Katambi ambaye inafahamika aliingia kwenye ubunge huo kimagumashi baada ya mshindi wa kwanza kwenye kura za maoni za CCM, Stephen Masele kukatwa ma kisha kuchaguliwa Katambi.

Mbeleko ya Hayati Rais John Magufuli kwa katambi kwenye ubunge wa Shinyanga Mjini ndio ulimbeba Katambi lakini inafahamika kipenzi na chaguo la wana Shinyanga alikuwa ni Stephen Masele.

Hivi karibuni Katambi aliitisha mkutano wa kumfagilia Rais Samia kama njia mojawapo ya kujipendekeza asipigwe chini kwenye nafasi ya uwaziri na mbeleko ya ubunve 2025 lakini turn out ya watu imedhihirisha kuwa hatakiwi na wakazi wa Shinyanga Mjini.

Katambi pamoja na kutumia vibaya jina la Rais Samia ili apate watu kwenye mkutano ameishia kutia aibu kwa kukosa watu kabisa . Eti “Samia day” Katambi aambiwe aache kudhalilisha jina la Mheshimiwa Rais wetu kipenzi.

Katambi aelezwe kuwa Shinyanga Mjini hatakiwi ukiangalia hizi picha ni kama mkutano wa mwenyekiti wa kitongoji Hii na bado asubiri 2025 atakapoondolewa kwa aibu.

Mwisho..
Angalia picha chini mkutano ulioitishwa na Katambi hivi karibuni ili kujipendekeza kwa Rais Samia.

View attachment 2448473View attachment 2448474View attachment 2448476View attachment 2448477View attachment 2448480
Alikosea mbinu ni kukodi mabasi na malori unakwenda kukokota wananchi hata wa Kishapu na Kahama unajaza. Shida nini Katambi?
 
Shinyanga Mjini ni baadhi ya majimbo yaliyotakiwa kwenda Chadema 2020, kama isingekuwa zile rafu za makusudi walizocheza CCM.

Naamini 2025 wapo wabunge wa CCM watakaolia kilio kile kile walicholia wapinzani 2020, labda mama yao awabebe, ni suala la muda tu.
CCM haitawapitisha kwenye kura za maoni
 
Tatizo jina la samia ndiyo maana watu hawajajitokeza.watu wamemchoka samia kwa sababu ya kuendesha nchi kifisadi na kuua uchumi wa tz
 
Back
Top Bottom