Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi kama Naibu Waziri

Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi kama Naibu Waziri

Wasalaam,

Ndugu zangu nimekuwa nikifuatilia sana utendaji wa Mawaziri na Manaibu Waziri, kiukweli nachelea kusema Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi take pamoja na kwamba kuna changamoto nyingi ila he does his best.

 
Wasalaam,

Ndugu zangu nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Mawaziri na manaibu waziri, kiukweli nachelea kusema Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi take pamoja na kwamba kuna changamoto nyingi ila he does his best.

Chawa kazini
 
Wasalaam,

Ndugu zangu nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Mawaziri na manaibu waziri, kiukweli nachelea kusema Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi take pamoja na kwamba kuna changamoto nyingi ila he does his best.
Huyo ni mmoja wa watumishi wa diallo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam,

Ndugu zangu nimekuwa nikifuatilia sana utendaji wa Mawaziri na Manaibu Waziri, kiukweli nachelea kusema Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi take pamoja na kwamba kuna changamoto nyingi ila he does his best.

Amefanya nini? Huyo si mchumia tumbo tu! Si walionunuliwa mapema kabisa na mwenndazake. Yeye na Mwita Waitara. Njaa tu hakuna lolote.
 
Nimeshtuka sana

Kwani kafanya maajabu Gani Bwana Naibu Waziri??
 
Jina lenyewe la mleta mada ni kama limelenga kuleta habari zamhusika, maana yake habari za mhusika, Kat, Petr.
NEWSINKP : ngoja tuidadavue hapa.

news in Patro.... Kat... Ila hiyo KP imegeuzwa kuchukua nafasi ya PK.

Sawa.
 
Back
Top Bottom