Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi kama Naibu Waziri

Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi kama Naibu Waziri

Wasalaam,

Ndugu zangu nimekua nikifuatilia sana utendaji wa Mawaziri na manaibu waziri, kiukweli nachelea kusema Patrobas Katambi anaitendea haki sana nafasi take pamoja na kwamba kuna changamoto nyingi ila he does his best.
Kweli, nakuunga mkono 100% so far anafanya vizuri sana.
 
hana kitu huyu jamaa ni mpuuzi tupu aliyekuwa akichukua malaya pale CDA Club kwa buku 3
kwao kalazimishwa kura kwani alianguka vibaya, safari hii akaombe tena km ataambulia
 
Nikiangalia nyuso zao hao maafisa waliongozana na waziri ni njaa tu zinawasumbua, hili ni la ngazi ya mkoa sio Waziri. Why PANONI?
 
Back
Top Bottom