Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
- Thread starter
- #21
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1) Mikoani mnafanya kazi?Makuu, habari za leo?
Kwa Sasa Kuna njia mbili za kukamilisha project.
1. Njia ya mkataba ambapo fundi anasuply material.
2. Ambapo client anasuply material fundi analipwa labour.
Nitajitahidi nikupe quotation zote mbili.
Ahsante
Karibu, mikoani tunafika.1) Mikoani mnafanya kazi?
2) Gharama za ujenzi (Labour) mnachaji asilimia ngapi ya gharama za vifaa kwa ujenzi wa hatua ya Msingi hadi Lenta?
Mnaweza kujenga nyumba kwa kutumia vyumaPaul building agency tunafanya shughuli zifuatazo:-
Tuna design...
I doubtWeka na Extract, TIN, CRB na Leseni tuone kwanza .......
Kwa hiyo nikinunua choo cha million 3 ina maana utakifix kwa 1.2?Karibu, mikoani tunafika.
Kuhusu kucharge labour inategemeana na nature ya kazi mara nyingi inakuwa negotiable. Charge zetu za kawaida ni 40% ya gharama ya materials.
Inategemeana na nature ya kazi. Nadhani hukuielewa vizuri hiyo statement. KaribuKwa hiyo nikinunua choo cha million 3 ina maana utakifix kwa 1.2?
eeh sema nature ya kazi lakini sio percentage ya price ya materials maana wengine wanaweza taka weka choo cha dhahabu cha million 20 alafu vipo vitatu sii mzee unatajirika fasta 😂😂😂😂😂😂Inategemeana na nature ya kazi. Nadhani hukuielewa vizuri hiyo statement. Karibu
eeh sema nature ya kazi lakini sio percentage ya price ya materials maana wengine wanaweza taka weka choo cha dhahabu cha million 20 alafu vipo vitatu sii mzee unatajirika fasta 😂😂😂😂😂😂
una sample zozote za two bedroom house?