Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo kijana unaona kunakitu hajafanya?Sasa kijana kwa akili zako unaona kuna kitu amefanya?
🫢🫢🫢Rwanda inasifika kwa usalama kuliko nchi yoyote Africa kwa sasa.
Ndugu yangu, hiz sio akil za kikubwa hata kidogo mzee wangu. Ji check vizuriRwanda imeanza kuitwa new Singapore ya Africa. We baki na ujinga na kuwaonea wivu wafrica wenzako badala kufurahi hatua aliyo piga Rwanda.
Nenda naye taratibu huyu anaonekana ana hoja za mihemko ile ya kitoto totoHuna akili taira ww!Singapore of africa😂😂 kweli wewe kiaz! Maendeleo tu yaliopo Mwanza au Dodoma, Rwanda nzima hamna! Hiyo kigali city hata kwa Arusha haifurukuti! umesikia ww kubwa jinga
Rwanda tumeizidi kila kitu ww mshamba uliyejifungia kwenye shimo.
Pesa tu iliyojenga SGR Dar to dom plus JNHPP ni sawa na budget ya Rwanda miaka 10..
Kwa hio wewe na mwenzako mnabisha haitwi Singapore ya Afrika basi hata hawa wana akili kama zangu, nyie wenye akili za kitoto ndio mko tofouti na sisi 😀🫢🫢🫢
Ndugu yangu, hiz sio akil za kikubwa hata kidogo mzee wangu. Ji check vizuri
Bora ni baki mtoto kwenye akili za kitoto kubwa kuzidi zako, kwanza kuwa na multiple users hio ni dalili ya utoto. Ondoeni chuki Rwanda wamepiga hatua we nenda kauze madafu tu.Huu ni utoto kabusa unaongea, mbona anatawala Kivu huko kaweka na majeshi ya kuiba madini ila Rwanda utaishia kuisikia Kigali tu kana kwamba hakuna mikoa mingine??
zinapelekwa wapi zote hiz mbina wakimbiz hawakauki Uganda??
Zitaje hizo nchi mkuu, ulimwengu wa ukwel na uwazi huu
Acha utoto
Why do u think so?, kwanza kuwa na multiple users hio ni dalili ya utoto.
Usilinganishe Tanzania na huo mkoa.Nimefatilia mjadala wenu na huyo jamaa anjiita ikulu T naona umemzidi maarifa sana,kikubwa usijibizane na mpumbavu usije ukafanana naye...Inaonekana anajibu kwa mihemuko bila facts..Ni zero brain achana naye
Mfano wa Israel. America na NATO wasipochochea,hakuna vita.Mataifa Makubwa yakiamua Vita havitakuwepo!
Alimaanisha nin?
Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu mudaSi kweli unacho ongea Rwanda GDP per capita ni 1060 USD wakati Tanzania ni 1148.00 USD tofouti ni 88 USD, wakati wao miaka walikuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kupiga hatua kama hio sio mchezo. Wakati kagame anaingia madarakani barabara zilizo kuwa nzuri ni 539 KM sasa wapo kwenye 2652 km hio significant growth kwenye transportation infrastructure.
Kwa nchi kama Rwanda ambayo ni ndogo ni hatua kubwa sana. Nyie inawauma nini wenyewe Rwanda wamekubali kutawaliwa na Kagame. Mpelekeni basi Samia akatawale huko 😄Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km
2113/30 yrs=70km kila mwaka
Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
Japo sio 30 kamili,lakini hata ukihesabu hivo, CCM ilitakiwa iwe imejenga km ngapi? Hata kwa mapato. Nani anapata pakubwa?Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km
2113/30 yrs=70km kila mwaka
Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
Km 70 za lami,unahisi ni pesa ndogo eh? Hivi,kwa lami ya kiwango cha kimataifa,unajua km 1 haipungui bilioni moja?Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km
2113/30 yrs=70km kila mwaka
Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
acha upumbavu ww!! nchi nzima itengeneze lami km 70 mwaka mzima useme imepga hatua na kinchi kama mkoa wa taboraKm 70 za lami,unahisi ni pesa ndogo eh? Hivi,kwa lami ya kiwango cha kimataifa,unajua km 1 haipungui bilioni moja?
rwandwa wanaiba madini wanauza kwq wazungu kivu nzima ulinganishe na ccm inayokusanya kwa wajasirilia maliJapo sio 30 kamili,lakini hata ukihesabu hivo, CCM ilitakiwa iwe imejenga km ngapi? Hata kwa mapato. Nani anapata pakubwa?
Ifike hatua mkubali kitu kimoja. Anachowazidi ni uzalendo. TZ ingekuwa (viongozi)na uchungu wa maendeleo,hata hizo kina South Africa zingekuwa zinaisikia kwenye media. Ila, hizo nchi zote zinazodai kuendelea, zinatoa wapi? Wanakuja kuiba huku,wanapeleka kwao. Mpaka wakujengee laki km 10, kwao zimeshajengwa km 10,000.
Nadhani alieongelea kuwa mbali, amelinganisha miaka ya vyama viwili madarakani.
Japo pia kuna kitu uelewe,wameongelea usalama. Mfano, gari la mzigo lipinduke Tanzania. Utapata nini? La petrol tu likianguka,moto huku unawaka,wanakimbilia kuchota na kufia hapo hapo. Rwanda gari lako lianguke,ni jukumu la serikali kulinda mali ya mgeni.
Factors za sifa ni nyingi.
Mtu alieoa sura mbaya,mwabie mkeo kimeo uone 🤣🤣🤣
Swali zuri sana, lakini huyo sijui kama hajakuambia Tanzania tajiri 😄Hivi mkuu Ikulu T , mfano, DRC na Tanzania, kwa mtazamo wako,nchi ipi ina kila aina ya raslimali? Nchi tajiri ni ipi?
Baada ya mda mrefu madarakani,akiiongoza nchi ya Rwanda kama raisi, leo tarehe 11 Agosti 2024, majira ya saa tisa na dakika 42, mbele ya jaji mkuu wa mahakama kuu ya Rwanda, Dr. Iyamuremye, Paul Kagame amekula kihapo cha kuiongoza Rwanda tena,kwa kipindi cha miaka 5.
Ni sherehe iliyohudhuliwa na wakuu wa nchi za kiafrika,zaido ya 24, mawazili wakuu na waheshimiwa wengine kutoka ncho mbali mbali za Afrika.
Birundi na Jamhuri ya kidemoklasia ya Congo, hakukua na viongozi waliohudhulia.
Katika uwanja wa mpira,Rwanda National Stadium,iliyokuwa imefulikwa na maelfu ya raia; katika hotuba yake,ameonyesha kufurahia safari nzima ya kampeni na uchaguzi,uliomuacha akichaguliwa yeye kuendelea kuwa madarakani.
Akiongelea mambo mbali mbali yanayohusu majukumu yake,ambaho si mapya,bali kuendeleza,amezungumzia swala la usalama ukanda wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Amegusia tatizo la mashariki mwa DRC, na kudai kwamba,mataifa makubwa,yakiamua,hili swala
ukitoa vibaraka na sisi wa mataifa mengine hakuna rai wa Rwanda asiyemuhitaji kagame.Baada ya mda mrefu madarakani,akiiongoza nchi ya Rwanda kama raisi, leo tarehe 11 Agosti 2024, majira ya saa tisa na dakika 42, mbele ya jaji mkuu wa mahakama kuu ya Rwanda, Dr. Iyamuremye, Paul Kagame amekula kihapo cha kuiongoza Rwanda tena,kwa kipindi cha miaka 5.
Ni sherehe iliyohudhuliwa na wakuu wa nchi za kiafrika,zaido ya 24, mawazili wakuu na waheshimiwa wengine kutoka ncho mbali mbali za Afrika.
Birundi na Jamhuri ya kidemoklasia ya Congo, hakukua na viongozi waliohudhulia.
Katika uwanja wa mpira,Rwanda National Stadium,iliyokuwa imefulikwa na maelfu ya raia; katika hotuba yake,ameonyesha kufurahia safari nzima ya kampeni na uchaguzi,uliomuacha akichaguliwa yeye kuendelea kuwa madarakani.
Akiongelea mambo mbali mbali yanayohusu majukumu yake,ambaho si mapya,bali kuendeleza,amezungumzia swala la usalama ukanda wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Amegusia tatizo la mashariki mwa DRC, na kudai kwamba,mataifa makubwa,yakiamua,hili swala halitakuwepo.
Tatizo lako wewe unatazama quantity sio quality 😄acha upumbavu ww!! nchi nzima itengeneze lami km 70 mwaka mzima useme imepga hatua na kinchi kama mkoa wa tabora