Paul Kagame, aapa kuiongoza Rwanda kwa mhula wa miaka 5

Paul Kagame, aapa kuiongoza Rwanda kwa mhula wa miaka 5

Huna akili taira ww!Singapore of africa😂😂 kweli wewe kiaz! Maendeleo tu yaliopo Mwanza au Dodoma, Rwanda nzima hamna! Hiyo kigali city hata kwa Arusha haifurukuti! umesikia ww kubwa jinga
Rwanda tumeizidi kila kitu ww mshamba uliyejifungia kwenye shimo.
Pesa tu iliyojenga SGR Dar to dom plus JNHPP ni sawa na budget ya Rwanda miaka 10..
Nenda naye taratibu huyu anaonekana ana hoja za mihemko ile ya kitoto toto
 
Huu ni utoto kabusa unaongea, mbona anatawala Kivu huko kaweka na majeshi ya kuiba madini ila Rwanda utaishia kuisikia Kigali tu kana kwamba hakuna mikoa mingine??

zinapelekwa wapi zote hiz mbina wakimbiz hawakauki Uganda??

Zitaje hizo nchi mkuu, ulimwengu wa ukwel na uwazi huu

Acha utoto
Bora ni baki mtoto kwenye akili za kitoto kubwa kuzidi zako, kwanza kuwa na multiple users hio ni dalili ya utoto. Ondoeni chuki Rwanda wamepiga hatua we nenda kauze madafu tu.
 
Nimefatilia mjadala wenu na huyo jamaa anjiita ikulu T naona umemzidi maarifa sana,kikubwa usijibizane na mpumbavu usije ukafanana naye...Inaonekana anajibu kwa mihemuko bila facts..Ni zero brain achana naye
Usilinganishe Tanzania na huo mkoa.
 
Mataifa Makubwa yakiamua Vita havitakuwepo!
Alimaanisha nin?
Mfano wa Israel. America na NATO wasipochochea,hakuna vita.

Ukiona vita sehemu furani,tambua nyuma yake kuna makundi ya watu wasiotaka waonekane wao ndo chanzo.
 
Si kweli unacho ongea Rwanda GDP per capita ni 1060 USD wakati Tanzania ni 1148.00 USD tofouti ni 88 USD, wakati wao miaka walikuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kupiga hatua kama hio sio mchezo. Wakati kagame anaingia madarakani barabara zilizo kuwa nzuri ni 539 KM sasa wapo kwenye 2652 km hio significant growth kwenye transportation infrastructure.
Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km

2113/30 yrs=70km kila mwaka

Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
 
Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km

2113/30 yrs=70km kila mwaka

Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
Kwa nchi kama Rwanda ambayo ni ndogo ni hatua kubwa sana. Nyie inawauma nini wenyewe Rwanda wamekubali kutawaliwa na Kagame. Mpelekeni basi Samia akatawale huko 😄
 
Kwa miaka 30😂😂au huwa hauhesabu muda
Ebu tupige hesabu
2652-539=2113km

2113/30 yrs=70km kila mwaka

Kwaiyo kila mwaka alikua anatengeneza km70???
Japo sio 30 kamili,lakini hata ukihesabu hivo, CCM ilitakiwa iwe imejenga km ngapi? Hata kwa mapato. Nani anapata pakubwa?

Ifike hatua mkubali kitu kimoja. Anachowazidi ni uzalendo. TZ ingekuwa (viongozi)na uchungu wa maendeleo,hata hizo kina South Africa zingekuwa zinaisikia kwenye media. Ila, hizo nchi zote zinazodai kuendelea, zinatoa wapi? Wanakuja kuiba huku,wanapeleka kwao. Mpaka wakujengee laki km 10, kwao zimeshajengwa km 10,000.

Nadhani alieongelea kuwa mbali, amelinganisha miaka ya vyama viwili madarakani.
Japo pia kuna kitu uelewe,wameongelea usalama. Mfano, gari la mzigo lipinduke Tanzania. Utapata nini? La petrol tu likianguka,moto huku unawaka,wanakimbilia kuchota na kufia hapo hapo. Rwanda gari lako lianguke,ni jukumu la serikali kulinda mali ya mgeni.
Factors za sifa ni nyingi.
Mtu alieoa sura mbaya,mwabie mkeo kimeo uone 🤣🤣🤣
 
Km 70 za lami,unahisi ni pesa ndogo eh? Hivi,kwa lami ya kiwango cha kimataifa,unajua km 1 haipungui bilioni moja?
acha upumbavu ww!! nchi nzima itengeneze lami km 70 mwaka mzima useme imepga hatua na kinchi kama mkoa wa tabora
 
Japo sio 30 kamili,lakini hata ukihesabu hivo, CCM ilitakiwa iwe imejenga km ngapi? Hata kwa mapato. Nani anapata pakubwa?

Ifike hatua mkubali kitu kimoja. Anachowazidi ni uzalendo. TZ ingekuwa (viongozi)na uchungu wa maendeleo,hata hizo kina South Africa zingekuwa zinaisikia kwenye media. Ila, hizo nchi zote zinazodai kuendelea, zinatoa wapi? Wanakuja kuiba huku,wanapeleka kwao. Mpaka wakujengee laki km 10, kwao zimeshajengwa km 10,000.

Nadhani alieongelea kuwa mbali, amelinganisha miaka ya vyama viwili madarakani.
Japo pia kuna kitu uelewe,wameongelea usalama. Mfano, gari la mzigo lipinduke Tanzania. Utapata nini? La petrol tu likianguka,moto huku unawaka,wanakimbilia kuchota na kufia hapo hapo. Rwanda gari lako lianguke,ni jukumu la serikali kulinda mali ya mgeni.
Factors za sifa ni nyingi.
Mtu alieoa sura mbaya,mwabie mkeo kimeo uone 🤣🤣🤣
rwandwa wanaiba madini wanauza kwq wazungu kivu nzima ulinganishe na ccm inayokusanya kwa wajasirilia mali
 
Baada ya mda mrefu madarakani,akiiongoza nchi ya Rwanda kama raisi, leo tarehe 11 Agosti 2024, majira ya saa tisa na dakika 42, mbele ya jaji mkuu wa mahakama kuu ya Rwanda, Dr. Iyamuremye, Paul Kagame amekula kihapo cha kuiongoza Rwanda tena,kwa kipindi cha miaka 5.
Ni sherehe iliyohudhuliwa na wakuu wa nchi za kiafrika,zaido ya 24, mawazili wakuu na waheshimiwa wengine kutoka ncho mbali mbali za Afrika.
Birundi na Jamhuri ya kidemoklasia ya Congo, hakukua na viongozi waliohudhulia.

Katika uwanja wa mpira,Rwanda National Stadium,iliyokuwa imefulikwa na maelfu ya raia; katika hotuba yake,ameonyesha kufurahia safari nzima ya kampeni na uchaguzi,uliomuacha akichaguliwa yeye kuendelea kuwa madarakani.
Akiongelea mambo mbali mbali yanayohusu majukumu yake,ambaho si mapya,bali kuendeleza,amezungumzia swala la usalama ukanda wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Amegusia tatizo la mashariki mwa DRC, na kudai kwamba,mataifa makubwa,yakiamua,hili swala

Baada ya mda mrefu madarakani,akiiongoza nchi ya Rwanda kama raisi, leo tarehe 11 Agosti 2024, majira ya saa tisa na dakika 42, mbele ya jaji mkuu wa mahakama kuu ya Rwanda, Dr. Iyamuremye, Paul Kagame amekula kihapo cha kuiongoza Rwanda tena,kwa kipindi cha miaka 5.
Ni sherehe iliyohudhuliwa na wakuu wa nchi za kiafrika,zaido ya 24, mawazili wakuu na waheshimiwa wengine kutoka ncho mbali mbali za Afrika.
Birundi na Jamhuri ya kidemoklasia ya Congo, hakukua na viongozi waliohudhulia.

Katika uwanja wa mpira,Rwanda National Stadium,iliyokuwa imefulikwa na maelfu ya raia; katika hotuba yake,ameonyesha kufurahia safari nzima ya kampeni na uchaguzi,uliomuacha akichaguliwa yeye kuendelea kuwa madarakani.
Akiongelea mambo mbali mbali yanayohusu majukumu yake,ambaho si mapya,bali kuendeleza,amezungumzia swala la usalama ukanda wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Amegusia tatizo la mashariki mwa DRC, na kudai kwamba,mataifa makubwa,yakiamua,hili swala halitakuwepo.
ukitoa vibaraka na sisi wa mataifa mengine hakuna rai wa Rwanda asiyemuhitaji kagame.
 
Back
Top Bottom