Rwanda hamna furaha raia wanaishi kwa hofu kubwa sanaa jamaa kawaweka kiganjani wote.Rais wa Rwanda Paul Kagame amemteua tena Dr.Edouard Ngirente kuwa Waziri Mkuu katika Serikali mpya nchi humo.
Bw.Ngirente ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, siku mbili baada ya Paul Kagame kuapishwa kuwa Rais wa Rwanda kwa muhulu mwingine wa miaka mitano.
Hata hivyo alikuwa ni Waziri Mkuu tangu Julai 30,2017.
View attachment 3069813
Pole sana mkuu vipi ulikuwepo kwenye yale masuala ya afu mia tisini na 4?mimi nikisikia jina la kagame NACHEFUKWA MNOOO
Subiri nawe uteuliwe kuwa naibu waziri mkuuRais wa Rwanda Paul Kagame amemteua tena Dr.Edouard Ngirente kuwa Waziri Mkuu katika Serikali mpya nchi humo.
Bw.Ngirente ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, siku mbili baada ya Paul Kagame kuapishwa kuwa Rais wa Rwanda kwa muhulu mwingine wa miaka mitano.
Hata hivyo alikuwa ni Waziri Mkuu tangu Julai 30,2017.
Huyu Mhutu atakuwa kibaraka tu maamuzi yote ni ya Kagame. Yupo kama pazia tu.Rais wa Rwanda Paul Kagame amemteua tena Dr.Edouard Ngirente kuwa Waziri Mkuu katika Serikali mpya nchi humo.
Bw.Ngirente ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, siku mbili baada ya Paul Kagame kuapishwa kuwa Rais wa Rwanda kwa muhulu mwingine wa miaka mitano.
Hata hivyo alikuwa ni Waziri Mkuu tangu Julai 30,2017.