Mributz
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 177
- 527
Rais wa Rwanda Paul Kagame amemteua tena Dr.Edouard Ngirente kuwa Waziri Mkuu katika Serikali mpya nchi humo.
Bw.Ngirente ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, siku mbili baada ya Paul Kagame kuapishwa kuwa Rais wa Rwanda kwa muhulu mwingine wa miaka mitano.
Hata hivyo alikuwa ni Waziri Mkuu tangu Julai 30,2017.
Bw.Ngirente ameteuliwa kuwa Waziri Mkuu, siku mbili baada ya Paul Kagame kuapishwa kuwa Rais wa Rwanda kwa muhulu mwingine wa miaka mitano.
Hata hivyo alikuwa ni Waziri Mkuu tangu Julai 30,2017.