Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Huyu dikteta naye ni hatari sn“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.
Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.
Chenge kichwa.Hivi mtu akiwa na degree hawezi kuwa tapeli na muongo? Chenge, Bashite, Mwigulu n.k
Huyu kashepotea keep cool mtaona show huko Rwanda. Hajengi institute anajenga jina lake tafakari what next...“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.
Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.
Wakati akidhani yuko sahihi kumbe ndo anaharibikiwa, Yeye ni nani awe kwenye nafasi ya MUNGU?
Kwani Mungu alifundishwa shule na yeye?
Huyu kashepotea keep cool mtaona show huko Rwanda. Hajengi institute anajenga jina lake tafakari what next...
Hapa bila shaka anawasema akina Gwajima![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gwajima sisi tunamuogopa eti?hahahah yaani akiongea nchi nzima inatetemeka.Sasa hivi hadi kamati ya bunge imekaa kujadili upuuzi wake.Gwajima ni mwamba alishamkemea hadi Kikwete akiwa rais,kamkemea Pengo na ukadinali wake,ameshasikika akihamasisha Usukuma kwny mitandao ya kijamii na yuko tu anadunda.CCM wanamuogopa kisa watakosa kura za waumini wake na ile misukale yake anayoifufuaga.
Kuna kuchanganyikiwa nafikiri. CCM huwa hawategemei kura. Hata huyo Gwajima mwenyewe walimshindisha ubunge wa Kawe kwa kura za kutengeneza na kauli ya kibabe tu.
Labda iwe ni hofu ya ushirikina kama ilivyo ada ya siasa za chama hicho. Kwa CCM kuhofia kukosa kura za wafuasi wa Gwajima si rahisi kueleweka.
Kagame anajiona mzungu,yeye hajui makanisa yanamsaidia kuwafanya watu kwa watiifu kwa serikali
Juzi nimemuona nabii mmoja yeye anakalia waumini wake usoni anawajambia then anawaambia ndio anawapa baraka.
Wapi huko Mkuu?huyo Nabii aje kunijambia na mimi usoniJuzi nimemuona nabii mmoja yeye anakalia waumini wake usoni anawajambia then anawaambia ndio anawapa baraka.
Alitumia mstari gani kwenye wa biblia kuwakalia[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wapi huko Mkuu?huyo Nabii aje kunijambia na mimi usoni
SOUTH AFRICAN PASTOR FARTS ON PEOPLE’S FACE TO HEAL THEM.
South African pastor Christ Penelope farts on congregants claiming that it's a process to heal people.
South African pastor reportedly farts on people's faces as a healing process to cure all spiritual and physical problems. Pastor Christ Penelope, of SevenFold Holy Spirit Ministries in Siyandani Village, Limpopo, South Africa has created a buzz online for his unorthodox method of healing people after a photo of him sittin on the heads of people, apparently farting on them, went viral.
An attendee visiting the church complained, "When we come to church it's because we need prayers, not to be farted on." However, Pastor Penelope has defended his methods, insisting that he is simply demonstrating the power of God.
Ingia kweny hio link uone jamaa linavyokalia usoni mkuu.
South African pastor farts on people's faces 'to heal them'
South African pastor Christ Penelope farts on congregants claiming that it's a process to heal people.www.google.co.uk
HahahahaaaaaJuzi nimemuona nabii mmoja yeye anakalia waumini wake usoni anawajambia then anawaambia ndio anawapa baraka.