Paul Kagame: I have closed over 6000 churches. I now demand for a theology degree for every religious leader

Paul Kagame: I have closed over 6000 churches. I now demand for a theology degree for every religious leader

Kagame anajiona mzungu,yeye hajui makanisa yanamsaidia kuwafanya watu kwa watiifu kwa serikali
Utiifu watautoa wapi ikiwa utamwambia hivi yeye anataka lile na defense mechanism ya waumini aliokwisha wajazia tope vichwani
 
Show ipi sasa?Huyo alishapiga marufuku adhana za misikitini na kengele za makanisani akisema hizo ni noise pollutions maana watu wanajua sehemu za ibada zilipo na hio ni zaidi ya miaka 10 sasa na anadunda tu.

Huyo sio CCM wanaowaogopa wakina Gwajima,Mzee wa Upako na watu wa dizaini hio.

PK ni zaidi ya mwendawazimu
 
Huyu mwamba namkubali sana , huu utitiri wa makanisa miujiza feki hapanaaaaaa , anaona mbali sana huyu jamaa maana aliona asipoingilia kati wananchi wanageuzwa mitaji ya manabii na mitume feki bila sababu, hata bongo hii kitu ingesaidia sana we hata masanja anajiita mchungaji, jamani loh
 
“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.

Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.
I love this move. If this can be replicated in Tanzania, maybe, we won't hear noises from the likes of Gwajima and co.
 
I love this move. If this can be replicated in Tanzania, maybe, we won't hear noises from the likes of Gwajima and co.

Tukijaribu kufanya hivyo na wanasiasa wataingilia humo humo waseme hio ni dictatorship.Maamuzi magumu kama hayo yanahitaji mtu mbabe asiye sikiliza mtu.
 
“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.

Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.


Just words of a crazy and arogant person east Africa has ever got.
 
Nakukemea rais kikwete,Wewe kardinali Pengo umekula maharage ya wapiiiiii?-Mfufuaji misukule Gwajima
 
Gwajima sisi tunamuogopa eti?hahahah yaani akiongea nchi nzima inatetemeka.Sasa hivi hadi kamati ya bunge imekaa kujadili upuuzi wake.Gwajima ni mwamba alishamkemea hadi Kikwete akiwa rais,kamkemea Pengo na ukadinali wake,ameshasikika akihamasisha Usukuma kwny mitandao ya kijamii na yuko tu anadunda.CCM wanamuogopa kisa watakosa kura za waumini wake na ile misukale yake anayoifufuaga.
kwa waumini wangapi pale kwake? Vipi kuhusu cardinal mwenye kuweza kumobilize waumini nchi nzima?
 
Kagame kawaweza Hawa nyumbu na watamuombea laana nyingi Hawa Wayahudi weusi na hakuna Mungu wao atamfanya kitu jamaa,wataishia kupiga kelele Kama mbwa Koko tu kelele na maombi Yao uchwara yataishia hewani
Hata maandiko ya kiyahudi kwenye bible yanasema tiini mamlaka na serikali zenu,
Huyo Mungu karuhusu hivyo kutii sauti ya serikali ni kumtii Mungu

Wayahudi weusi watanipa povu la buku jero!


Karibuni!
 
Back
Top Bottom