Utiifu watautoa wapi ikiwa utamwambia hivi yeye anataka lile na defense mechanism ya waumini aliokwisha wajazia tope vichwaniKagame anajiona mzungu,yeye hajui makanisa yanamsaidia kuwafanya watu kwa watiifu kwa serikali
[emoji23][emoji23][emoji23]Juzi nimemuona nabii mmoja yeye anakalia waumini wake usoni anawajambia then anawaambia ndio anawapa baraka.
Show ipi sasa?Huyo alishapiga marufuku adhana za misikitini na kengele za makanisani akisema hizo ni noise pollutions maana watu wanajua sehemu za ibada zilipo na hio ni zaidi ya miaka 10 sasa na anadunda tu.
Huyo sio CCM wanaowaogopa wakina Gwajima,Mzee wa Upako na watu wa dizaini hio.
PK ni zaidi ya mwendawazimu
Matapeli wengi watatoka kwenye ramani.
Walete na Huku iwaondoe:-
1.Mc pilipili
2.Masanja
3.Muyamba
I love this move. If this can be replicated in Tanzania, maybe, we won't hear noises from the likes of Gwajima and co.“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.
Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.
Bht mbaya wanaosema hivyo hata cha kumfanya hawana.
I love this move. If this can be replicated in Tanzania, maybe, we won't hear noises from the likes of Gwajima and co.
sina shida nae mimi sio mnyaruanda
“I have closed over 6000 churches and mosques in my country and I am now demanding for a theology degree for every religious leader.
Stop playing with people's faith and making it a business. Rwanda is already a blessed country, ”Rwandan President Paul Kagame said.
kwa waumini wangapi pale kwake? Vipi kuhusu cardinal mwenye kuweza kumobilize waumini nchi nzima?Gwajima sisi tunamuogopa eti?hahahah yaani akiongea nchi nzima inatetemeka.Sasa hivi hadi kamati ya bunge imekaa kujadili upuuzi wake.Gwajima ni mwamba alishamkemea hadi Kikwete akiwa rais,kamkemea Pengo na ukadinali wake,ameshasikika akihamasisha Usukuma kwny mitandao ya kijamii na yuko tu anadunda.CCM wanamuogopa kisa watakosa kura za waumini wake na ile misukale yake anayoifufuaga.
Kwa maelfu ya misukule aliyonayo hapo nyuma yake.kwa waumini wangapi pale kwake? Vipi kuhusu cardinal mwenye kuweza kumobilize waumini nchi nzima?
Gwajima kasomea ana PhD ya theologyHapa bila shaka anawasema akina Gwajima![emoji1787][emoji1787][emoji1787]