Tetesi: Paul Kimiti aliukosa Uwaziri Mkuu kwa kutokua na kifua

Tetesi: Paul Kimiti aliukosa Uwaziri Mkuu kwa kutokua na kifua

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon kwa mashosti zake. Mashosti wakaanza kuyasambaza kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.

FUNZO: Usimshirikishe mtu yeyote ishu kabla haijatiki
 

Attachments

  • c3a43fe32d494a89be0312f61316cb9b_2A4F1E3CB12498982B2FBE298A416287_video_dashinit.mp4
    14.1 MB
20240908_151114.jpg
 
Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon. Habari ikaenea kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.
Daaaaa niliwahi sikia ila mmmm......basi sawa
 
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon kwa mashosti zake. Mashosti wakaanza kuyasambaza kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.

FUNZO: Usimshirikishe mtu yeyote ishu kabla haijatiki
Hatutaki habari zenu tuna msiba tunaomboleza
 
Back
Top Bottom