Tetesi: Paul Kimiti aliukosa Uwaziri Mkuu kwa kutokua na kifua

Tetesi: Paul Kimiti aliukosa Uwaziri Mkuu kwa kutokua na kifua

1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon kwa mashosti zake. Mashosti wakaanza kuyasambaza kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.

FUNZO: Usimshirikishe mtu yeyote ishu kabla haijatiki
Hawakutaka tu Kumpa
 
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon kwa mashosti zake. Mashosti wakaanza kuyasambaza kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.

FUNZO: Usimshirikishe mtu yeyote ishu kabla haijatiki
Bibi anaonekana mzee zaidi ya babu yetu mzee Kimiti....

#Maisha safari ndefu

#Komredi Kimiti at 84 years still in shape [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke nae bila kutulia akayamwaga saloon kwa mashosti zake. Mashosti wakaanza kuyasambaza kitaa. Mteuzi akabadili mawazo.

FUNZO: Usimshirikishe mtu yeyote ishu kabla haijatiki
Ni uwongo tu huo jambo kama hilo halipo ni uzushi tu tumesikia wengi kwamba atakuwa waziri na wakawa sembuse mzee Kimiti hakuna kitu kama hicho.
 
Happy birthday mhe Dr Kimiti
 
Back
Top Bottom