Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kazi ya kuutumikia umma upate maendeleo ni networking/kushirikiana na kushirikisha.Siyo kazi ya mjinga mmoja.Haiwezekani.Mbona mnaweweseka sana Jamani kwani Makonda anachofanya si ndio kazi zenyewe za chama cha siasa? Mlitaka akae tuu ndani kule lumumba? Wacha atembee asaidie kuonesha shida zilizopo!
Shida wengi mnaona kama Makonda anachukua point kwa wananchi ndio maana mnajikuta mna mjadili yeye tuu na CCM yake na ndilo walilotakaโฆ.
Hajatumwa, ila ameona waliotumwa wanaishia vilabuni hawafiki walikotumwa, akaamua aende mwenyewe kuokoa jahaziKimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa. [emoji419][emoji375]Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Just branding huyo mtu kwenye uso wa shida za watu wasiokuwa na uelewaKumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Heri ya Mmoja asaidiae ,kuliko kukosea kabisa.Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Wise !!Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Ngoja Tusubiri tuone anavyowasulubu hao wanaoishia Vilabuni ๐!Hajatumwa, ila ameona waliotumwa wanaishia vilabuni hawafiki walikotumwa, akaamua aende mwenyewe kuokoa jahazi
DaahKumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Yeye mwenye msingi wa uongozi alifanya kipi cha maana zaidi ya ufisadi tuMheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa. [emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
NI UPIGAJI TU BASHITE KAKAA BENCHI MUDA MREFU KAAMBIWA AKATAFUTE PER DIEM
Mafisadi na wabadhirifu tumbo joto !Yesu ni Mmoja ila aliponya, alifundisha, alileta Amani, alitoa wokovu, alizunguka Kila Mahali alipotaka kufika.
Nadhani hujamuelewa mtoa Mada, yeye ajamlaumu Makonda na utaratibu anao ufanya ila alichosema siyo suruhisho la kutatua matatizo ktk nchi. Kinachotakiwa ni serkali ikishirikiana na chama tawala kujenga misingi imara ya mifumo yote ya utoaji haki.kama ,Mahakam, Polisi, Idara za Ardhi, Tra, halmashauri, Mifumo ya kodi, mifumo ya biashara, kilimo, ufugaji nakadhalika. Ila mtu mmoja kupanda jukwaani nakuanza kuwaita mtendaji mmoja mmoja wa serikali, mfumo huo hauwezi kutatua hata kiduchu matatizo ya wananchi, kwamfano ukienda magerezani kuna maelfu ya watu wanamiaka zaidi ya kumi wapo mahabusu wanasubiri kesi zao zisikilizwe au zinaendelea bila kujulikana zitakwisha lini, wizara ya Ardhi inaongoza kusababisha migogoro ya Ardhi kila kukicha, maafisa TRA wanashutumiwa na wafanya biashara kwa kuwabambikia kesi, Tume ya uchagizi inalaumiwa kwa kuwaweka watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Hivi ndivyo vitu vinatakiwa kufanyiwa kazi, Makonda ni mtu leo yupo kesho hayupo, ila kukiwa na taasisi imara zinazoweza kujisimamia na kusimamiwa, wala hakuna mtu atakaye kwenda kwa makonda maswala yote yataishia ktk vyombo vinavyohusika.Mbona mnaweweseka sana Jamani kwani Makonda anachofanya si ndio kazi zenyewe za chama cha siasa? Mlitaka akae tuu ndani kule lumumba? Wacha atembee asaidie kuonesha shida zilizopo!
Shida wengi mnaona kama Makonda anachukua point kwa wananchi ndio maana mnajikuta mna mjadili yeye tuu na CCM yake na ndilo walilotakaโฆ.
Watanzania walio wapumbavu ndiyo wanajidanganya kwamba wana imani naye kwa kukumbatia upepo wa ushuzi.Heri ya Mmoja asaidiae ,kuliko kukosea kabisa.
Watanzania tuna Imani na MAKONDA C PAUL
Binafsi nimekuelewa na nimemuelewa mtoa hoja Paul Kimiti pia anachokifanya makonda Kwa nafasi yake kama mwenezi yupo sahahihi tatizo la kinakimiti na watu wengi wanatakiwa kuelewa kwamba hao watatua matatizo ya wananchi wapo huko ila hawawajibiki na wananchi hawatatuliwi shida zao na mishahara wanachukua Kila mwezi Sasa wangekuwa responsible hayo matatizo ya wananchi yasingefika Kwa Makonda .Watumishi wa Umma wamekuwa miungu watu huko walipo na hawamsaidii mh Rais maana amewapa wafanye Kwa niaba yake hawafanyi matokea yake mpaka wananchi walalamike na jambo limfikie yeye kutatua TenaNadhani hujamuelewa mtoa Mada, yeye ajamlaumu Makonda na utaratibu anao ufanya ila alichosema siyo suruhisho la kutatua matatizo ktk nchi. Kinachotakiwa ni serkali ikishirikiana na chama tawala kujenga misingi imara ya mifumo yote ya utoaji haki.kama ,Mahakam, Polisi, Idara za Ardhi, Tra, halmashauri, Mifumo ya kodi, mifumo ya biashara, kilimo, ufugaji nakadhalika. Ila mtu mmoja kupanda jukwaani nakuanza kuwaita mtendaji mmoja mmoja wa serikali, mfumo huo hauwezi kutatua hata kiduchu matatizo ya wananchi, kwamfano ukienda magerezani kuna maelfu ya watu wanamiaka zaidi ya kumi wapo mahabusu wanasubiri kesi zao zisikilizwe au zinaendelea bila kujulikana zitakwisha lini, wizara ya Ardhi inaongoza kusababisha migogoro ya Ardhi kila kukicha, maafisa TRA wanashutumiwa na wafanya biashara kwa kuwabambikia kesi, Tume ya uchagizi inalaumiwa kwa kuwaweka watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Hivi ndivyo vitu vinatakiwa kufanyiwa kazi, Makonda ni mtu leo yupo kesho hayupo, ila kukiwa na taasisi imara zinazoweza kujisimamia na kusimamiwa, wala hakuna mtu atakaye kwenda kwa makonda maswala yote yataishia ktk vyombo vinavyohusika.
"Makonda amesaidia kuonesha uozoo wa serikali hii ya samia"Angeulizwa utaratibu upi unaofaha ambao uataza matunda
Makonda amesadia kuonesha uozoo wa serekali hi ya samia
Sasa hapo ana msema Nani , aliyemtuma au aliyetumwa.Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.
Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.
Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Enzi zao kulikuwa na mifumo thabiti ya kutatua matatizo ya wanaichi.Wakuu wa wilaya na Mikoa walikuwa na muda wa kushughulikia matatizo ya watu.Hivi Sasa muda wa kuwepo ofisini hawana tokana na mfumo ulivyo.Inaonyesha wewe haukuwepo zama hizo ndiyo maana unamtukana Mzee huyu.Huyo ni miongoni mwa failed leaders enzi zake nothing was done. Mifumo mmeiua halafu unakuja na hoja mfu. Hii nchi kuna siku wengine mtafukuliwa hata mifupa yenu ishtakiwe