Paul Makonda adai kutopata hati ya wito Mahakamani zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari

Paul Makonda adai kutopata hati ya wito Mahakamani zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414
Wakili wa mjibu maombi Paul Makonda, ameieleza Mahakama ya wilaya ya Kinondoni kuwa mteja wake bado hajapokea hati yoyote ya wito wa Mahakama dhidi yake, zaidi ya kuzipata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari.


Wakili huyo aliyejitambulisha kama Goodchance Regnald ameyasema hayo leo mbele ya Hakimu Aron Ryamuya katika kesi ya maombi ya kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda, DPP na DCI katika mahakama hiyo.


Wakili Goodchance ameongeza kwa kusema kuwa Makonda hakupata hati rasmi ya wito zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari, na hivyo akaamua kumtuma wakili wake kuja mahakamani.

Baada ya Wakili Goodchance kueleza hayo akaiomba Mahakama kumpa hati hiyo ya wito ambayo mteja wake ataijibu, jambo ambalo Hakimu Ryamuya aliamuru kufanyika leo.
Source Makonda amtuma wakili wake mahakamani
 
Wakili wa mjibu maombi Paul Makonda, ameieleza Mahakama ya wilaya ya Kinondoni kuwa mteja wake bado hajapokea hati yoyote ya wito wa Mahakama dhidi yake, zaidi ya kuzipata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari.


Wakili huyo aliyejitambulisha kama Goodchance Regnald ameyasema hayo leo mbele ya Hakimu Aron Ryamuya katika kesi ya maombi ya kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda, DPP na DCI katika mahakama hiyo.


Wakili Goodchance ameongeza kwa kusema kuwa Makonda hakupata hati rasmi ya wito zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari, na hivyo akaamua kumtuma wakili wake kuja mahakamani.

Baada ya Wakili Goodchance kueleza hayo akaiomba Mahakama kumpa hati hiyo ya wito ambayo mteja wake ataijibu, jambo ambali Hakimu Ryamuya aliamuru kufanyika leo.
Umeandika kinyampo?
 
Wakili wa mjibu maombi Paul Makonda, ameieleza Mahakama ya wilaya ya Kinondoni kuwa mteja wake bado hajapokea hati yoyote ya wito wa Mahakama dhidi yake, zaidi ya kuzipata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari.


Wakili huyo aliyejitambulisha kama Goodchance Regnald ameyasema hayo leo mbele ya Hakimu Aron Ryamuya katika kesi ya maombi ya kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda, DPP na DCI katika mahakama hiyo.


Wakili Goodchance ameongeza kwa kusema kuwa Makonda hakupata hati rasmi ya wito zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari, na hivyo akaamua kumtuma wakili wake kuja mahakamani.

Baada ya Wakili Goodchance kueleza hayo akaiomba Mahakama kumpa hati hiyo ya wito ambayo mteja wake ataijibu, jambo ambalo Hakimu Ryamuya aliamuru kufanyika leo.
Source Makonda amtuma wakili wake mahakamani
Hatua nzuri!!
 
Drama tu hizi.

Nothing serious..
 
Wakili wa mjibu maombi Paul Makonda, ameieleza Mahakama ya wilaya ya Kinondoni kuwa mteja wake bado hajapokea hati yoyote ya wito wa Mahakama dhidi yake, zaidi ya kuzipata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari.


Wakili huyo aliyejitambulisha kama Goodchance Regnald ameyasema hayo leo mbele ya Hakimu Aron Ryamuya katika kesi ya maombi ya kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda, DPP na DCI katika mahakama hiyo.


Wakili Goodchance ameongeza kwa kusema kuwa Makonda hakupata hati rasmi ya wito zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari, na hivyo akaamua kumtuma wakili wake kuja mahakamani.

Baada ya Wakili Goodchance kueleza hayo akaiomba Mahakama kumpa hati hiyo ya wito ambayo mteja wake ataijibu, jambo ambalo Hakimu Ryamuya aliamuru kufanyika leo.
Source Makonda amtuma wakili wake mahakamani

Kwa kifupi huyu jamaa ni fala, anguko lake tayari, Yani unamtuma wakili wako? Huyo ni wewe, angetokeza tu
 
Makonda Hana strategies an
Wakili wa mjibu maombi Paul Makonda, ameieleza Mahakama ya wilaya ya Kinondoni kuwa mteja wake bado hajapokea hati yoyote ya wito wa Mahakama dhidi yake, zaidi ya kuzipata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari.


Wakili huyo aliyejitambulisha kama Goodchance Regnald ameyasema hayo leo mbele ya Hakimu Aron Ryamuya katika kesi ya maombi ya kufunguliwa kwa kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda, DPP na DCI katika mahakama hiyo.


Wakili Goodchance ameongeza kwa kusema kuwa Makonda hakupata hati rasmi ya wito zaidi ya kusikia kwenye vyombo vya habari, na hivyo akaamua kumtuma wakili wake kuja mahakamani.

Baada ya Wakili Goodchance kueleza hayo akaiomba Mahakama kumpa hati hiyo ya wito ambayo mteja wake ataijibu, jambo ambalo Hakimu Ryamuya aliamuru kufanyika leo.
Source Makonda amtuma wakili wake mahakamani


Makonda Hana strategies, nilitegemea angeendelea kuwa low profile hii kuanza kujionesha kwa umma kutamletea matatizo. Ukizingatia ana maadui wengi, aendelee kuwa low profile. Akubali kutulia kwa Sasa akisubiri upepo wa kisiasa.
 
Makonda Hana strategies an


Makonda Hana strategies, nilitegemea angeendelea kuwa low profile hii kuanza kujionesha kwa umma kutamletea matatizo. Ukizingatia ana maadui wengi, aendelee kuwa low profile. Akubali kutulia kwa Sasa akisubiri upepo wa kisiasa.
Akisubiri upepo wa kisiasa kufanyaje?
 
Drama tu hizi.
Nothing serious..
Alafu zinachezwa kipindi watu ako na discussing ya vitu vingine as picha kwenye mnara and SSH na viongozi wa madhehebu, 😄😂😂 very funny!.
 
Back
Top Bottom