Paul Makonda amkabidhi Prof Jay millioni 20 ,Atoa ahadi nzitoo ya kumtafutia nyumba upanga ili kuwa karibu na hospitali.

Paul Makonda amkabidhi Prof Jay millioni 20 ,Atoa ahadi nzitoo ya kumtafutia nyumba upanga ili kuwa karibu na hospitali.

CHADEMA wamechangia nini ulichokiona? Tangia lini CHADEMA ikaguswa na shida za watu? Tangia lini CHADEMA ikawa na huruma na wenye kuhitaji msaada?
Kwani wakichangia lazima wakwambie? Wewe ni nani katika Familia ya Jay. Please hii nyuzi ni dhalili sana.

Tunauliza, siku ile Dodoma alikwenda kukamilisha mradi gani? Vipi Coco Beach na Viroba vya mto Ruvu
Anaweza kutusaidia kujua walipo akina Ben na Azory kama alivyotusaidia kwa Roma
 
chadema wanachakujifunza walah

Kujifunza kuchukua pesa za serikali kumpatia mtu? Ninaona kula lawama kwa Chadema, au kwa kuwa hawatangazi wanachofanya kwa Jay?? Ni kweli unataka Chadema ichangie taasisi binafsi ya Jay? Vipi na taasisi nyingine za watu wengine? Nazo pia wachangie? Watafute nyumba upanga halafu walipoe pango kwa mbunge wa zamani, je wabunge wote wa zamani wanafanyiwa hivo? Au kwa kuwa CCM inaweza kuwapa wabunge waliopita ukuu wa wilaya, mkoa, DAS na RAS?? Je CCM inawapangishia nyumba wabunge wa zamani?

Tuna vijana wengi wa hovyo wasio na hata mambo ya maana zaidi ya fitna! Kujipendekeza na kuwaza mambo rahisi rahisi wakitaka yaonekane hadharani. Ninadhani una la kujifunza zaidi ya Chadema. And you are hearing this from an apolitical person!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa leo ametimiza ahadi yake ya kumpatia prof Jay million 20 kwa ajili ya Taasisi yake ya prof Jay Foundation,Ambayo imeamua kutafuta na kukusanya pesa kwa kuwashirikisha na kuwaomba watanzania kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya Figo.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda ametoa ahadi nzito iliyo Gusa moyo wa prof Jay na kumpa tabasamu na furaha katika moyo wake ,baada ya mheshimiwa Makonda kumwambia kuwa atamtafutia nyumba maeneo ya upanga ili iwe rahisi na kumpunguzia safari au umbali mrefu prof Jay wa kufika hospitalini kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu mbalimbali kulingana na namna alivyopangiwa na madaktari wake.

Hatua hii na ahadi hii imekuwa ni kama nuru katikati ya Giza, Tumaini katikati ya kukata Tamaa na faraja katikati ya huzuni. Mh Paul Makonda ambaye ni mpambanaji na jasiri aliyepindukia na asiye ogopa kuwapigania wanyonge amewataka wale wote waliotoa ahadi zao wahakikishe kuwa wanatimiza ahadi hizo.

Wakati haya yakifanywa na Mheshimiwa Makonda pamoja na CCM na Serikali yake kwa ujumla hali imekuwa ya kusikitishaa ,kuumiza ,kutia hasira ,kuleta maswali kwa chama cha prof Jay yaani CHADEMA chama ambacho amekuwa mbunge wake kwa miaka mitano mfululizo.watu wanashangaa na kusikitika kwa namna chama kilivyo mtelekeza mwanachama wake na mbunge wake wa zamani .hakina msaada kwake wala kumpa faraja wala nguvu wala kumtia moyo walau hata kuweka hata harambee ya siku moja kwa ajili ya kumchangia katika taasisi yake, zaidi ya kutoa ahadi ambazo mpaka leo hii wahusika walishajikausha kama majani yaliyopigwa na jua.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA itakujali na kukupenda kinafiki pale itakapoona unaiingizia Ruzuku na kuipa michango kutunisha mfuko kwa ajili ya viongozi wake kuzitafuna. Jiulize prof Jay ambaye alikuwa anakipa chama Ruzuku kupitia ubunge wake,kukatwa pesa kila mwezi kwa ajili ya CHADEMA lakini leo huoni mchango wala msaada wa aina yoyote ile kutoka kwa chama. Leo prof Jay ameachwa na chama chake ili ajipambanie mwenyewe na Mungu wake. Hivi prof Jay Ndio wakufanyiwa haya na CHADEMA kweli? Ndio wakutelekezwa na chama kweli?

Kama wameutendea hivi mti mbichi vipi kwa mti mkavu? Vipi kwa wale wasio na majina? Hivi mliopo huko CHADEMA mnasubiri nini huko? Hamuoni chama hakina habari na nyie mkipatwa na matatizo? Hamuoni kinawatelekeza? Humuoni thamani yenu inakoma pale mnapoacha kukipa chama Ruzuku na michango?

Sasa leo msaada wa prof Jay unatoka na kupewa na CCM na Wana CCM na Serikali yake kwa ujumla wake.leo CCM Ndio yenye uchungu mkubwa na prof Jay na kumpatia faraja na tabasamu.leo CCM na Serikali yake ndio inayomshika mkono na kuwa karibu naye na inayoendelea kupambana kwa hali na mali na kwa uweza wa Mwenyezi Mungu ili prof Jay Aendelea kuimarika kiafya kila uchwao kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Huku wao CHADEMA wakiwa Bize kutafuta michango ili wapige na kutafuna kama walivyofanya kwenye pesa za join the chain ambazo mpaka leo hii ni kiza kinene juu ya pesa hizo.

Namuomba Mungu aendelee kumsaidia Prof Jay katika yote apitiayo,Amjalie nguvu na moyo wa kuendelea kugusa maisha ya watanzania wengine wenye uhitaji wa matibabu ya Figo kupitia taasisi yake hiyo.

Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa moyo wako wa jua wa kuwapa watu matumaini, furaha, faraja na tabasamu katika nyuso zao.ndio maana Mungu amekuwa akikuinua katika namna ya kipekee kabisa.watu wakikutangazia mwisho lakini wanashangaa Mungu wako anautangaza mwanzo wako kwa kishindo .wakikutangazia kushindwa Mungu wako anakuweka katika kilele cha ushindi.

wewe ni mshindi kwa kuwa Mungu amekuwa upande wako muda wote. Mungu anasema ukiwasaidia maskini na wenye shida unakuwa unamkopesha Mungu mwenyewe na atakulipa kwa mema makubwa .Mungu Anaendelea kukulipa mema mengi kwa kuwa umegusa mioyo ya wengi na kuipa tabasamu.umesaidia wenye matatizo ya moyo wakapata tumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo yao.

ndio maana Mungu hakuachi uwapo vitani. Hakuachi maadui wakuzingilapo na wakushambuliapo .ndio maana amekuwa akikupatia ushindi wakati wote na kuwaduwaza maadui zako ambao wanakuwa wanahisi wamekumaliza na huwezi kuinuka tena.lakini wanashangaa ukiibukia mbele yao kishujaa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.

Naunga mkono hoja
 
Sasa mbona hekima hizo hazipo ndani ya CHADEMA? Mbona moyo huo wa kusaidia huukuti ndani ya mioyo ya viongozi wa CHADEMA? Mbona hisia hizo za huruma huwezi kuziona ndani ya vifua na nyuso za wana CHADEMA zaidi ya janja janja tu?
Wewe chawa hii foundation ya Prof. Jay haifungamani na Chama chochote ni nyinyi wanasiasa ndio mnataka kuitumia kama mtaji; kumbuka kuwa Prof. Jay ni mwanachama wa Chadema na sio ccm na alikuwa mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chadema!
 
Yeye anakupa 20 M kwenye nchi isiyokuwa na huduma bora ya afya, yeye akiumwa India chap na ndugai wanakwena kutibiwa,


Swali ni je 20M ina thamani mahali ambapo hakuna huduma bora za afya?
 
Ili uonekane wewe sio chawa Ila upo Ku-raise awareness usijikite katika Kutoa taarifa zenye kejeli , kumbuka unapojitofautisha na WATU thamani yako ndo inapanda ZAIDI.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa leo ametimiza ahadi yake ya kumpatia prof Jay million 20 kwa ajili ya Taasisi yake ya prof Jay Foundation,Ambayo imeamua kutafuta na kukusanya pesa kwa kuwashirikisha na kuwaomba watanzania kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya Figo.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda ametoa ahadi nzito iliyo Gusa moyo wa prof Jay na kumpa tabasamu na furaha katika moyo wake ,baada ya mheshimiwa Makonda kumwambia kuwa atamtafutia nyumba maeneo ya upanga ili iwe rahisi na kumpunguzia safari au umbali mrefu prof Jay wa kufika hospitalini kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu mbalimbali kulingana na namna alivyopangiwa na madaktari wake.

Hatua hii na ahadi hii imekuwa ni kama nuru katikati ya Giza, Tumaini katikati ya kukata Tamaa na faraja katikati ya huzuni. Mh Paul Makonda ambaye ni mpambanaji na jasiri aliyepindukia na asiye ogopa kuwapigania wanyonge amewataka wale wote waliotoa ahadi zao wahakikishe kuwa wanatimiza ahadi hizo.

Wakati haya yakifanywa na Mheshimiwa Makonda pamoja na CCM na Serikali yake kwa ujumla hali imekuwa ya kusikitishaa ,kuumiza ,kutia hasira ,kuleta maswali kwa chama cha prof Jay yaani CHADEMA chama ambacho amekuwa mbunge wake kwa miaka mitano mfululizo.watu wanashangaa na kusikitika kwa namna chama kilivyo mtelekeza mwanachama wake na mbunge wake wa zamani .hakina msaada kwake wala kumpa faraja wala nguvu wala kumtia moyo walau hata kuweka hata harambee ya siku moja kwa ajili ya kumchangia katika taasisi yake, zaidi ya kutoa ahadi ambazo mpaka leo hii wahusika walishajikausha kama majani yaliyopigwa na jua.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA itakujali na kukupenda kinafiki pale itakapoona unaiingizia Ruzuku na kuipa michango kutunisha mfuko kwa ajili ya viongozi wake kuzitafuna. Jiulize prof Jay ambaye alikuwa anakipa chama Ruzuku kupitia ubunge wake,kukatwa pesa kila mwezi kwa ajili ya CHADEMA lakini leo huoni mchango wala msaada wa aina yoyote ile kutoka kwa chama. Leo prof Jay ameachwa na chama chake ili ajipambanie mwenyewe na Mungu wake. Hivi prof Jay Ndio wakufanyiwa haya na CHADEMA kweli? Ndio wakutelekezwa na chama kweli?

Kama wameutendea hivi mti mbichi vipi kwa mti mkavu? Vipi kwa wale wasio na majina? Hivi mliopo huko CHADEMA mnasubiri nini huko? Hamuoni chama hakina habari na nyie mkipatwa na matatizo? Hamuoni kinawatelekeza? Humuoni thamani yenu inakoma pale mnapoacha kukipa chama Ruzuku na michango?

Sasa leo msaada wa prof Jay unatoka na kupewa na CCM na Wana CCM na Serikali yake kwa ujumla wake.leo CCM Ndio yenye uchungu mkubwa na prof Jay na kumpatia faraja na tabasamu.leo CCM na Serikali yake ndio inayomshika mkono na kuwa karibu naye na inayoendelea kupambana kwa hali na mali na kwa uweza wa Mwenyezi Mungu ili prof Jay Aendelea kuimarika kiafya kila uchwao kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Huku wao CHADEMA wakiwa Bize kutafuta michango ili wapige na kutafuna kama walivyofanya kwenye pesa za join the chain ambazo mpaka leo hii ni kiza kinene juu ya pesa hizo.

Namuomba Mungu aendelee kumsaidia Prof Jay katika yote apitiayo,Amjalie nguvu na moyo wa kuendelea kugusa maisha ya watanzania wengine wenye uhitaji wa matibabu ya Figo kupitia taasisi yake hiyo.

Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa moyo wako wa jua wa kuwapa watu matumaini, furaha, faraja na tabasamu katika nyuso zao.ndio maana Mungu amekuwa akikuinua katika namna ya kipekee kabisa.watu wakikutangazia mwisho lakini wanashangaa Mungu wako anautangaza mwanzo wako kwa kishindo .wakikutangazia kushindwa Mungu wako anakuweka katika kilele cha ushindi.

wewe ni mshindi kwa kuwa Mungu amekuwa upande wako muda wote. Mungu anasema ukiwasaidia maskini na wenye shida unakuwa unamkopesha Mungu mwenyewe na atakulipa kwa mema makubwa .Mungu Anaendelea kukulipa mema mengi kwa kuwa umegusa mioyo ya wengi na kuipa tabasamu.umesaidia wenye matatizo ya moyo wakapata tumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo yao.

ndio maana Mungu hakuachi uwapo vitani. Hakuachi maadui wakuzingilapo na wakushambuliapo .ndio maana amekuwa akikupatia ushindi wakati wote na kuwaduwaza maadui zako ambao wanakuwa wanahisi wamekumaliza na huwezi kuinuka tena.lakini wanashangaa ukiibukia mbele yao kishujaa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Bandiko zuri, ulichokosea kuweka namba, mwisho wa mwaka huu, chadema wanakusoma tu, usijekukaribishwa kinnywaji au chochote kwa kupitia namba yako, na ukashobokea kwenda.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa leo ametimiza ahadi yake ya kumpatia prof Jay million 20 kwa ajili ya Taasisi yake ya prof Jay Foundation,Ambayo imeamua kutafuta na kukusanya pesa kwa kuwashirikisha na kuwaomba watanzania kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya Figo.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda ametoa ahadi nzito iliyo Gusa moyo wa prof Jay na kumpa tabasamu na furaha katika moyo wake ,baada ya mheshimiwa Makonda kumwambia kuwa atamtafutia nyumba maeneo ya upanga ili iwe rahisi na kumpunguzia safari au umbali mrefu prof Jay wa kufika hospitalini kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu mbalimbali kulingana na namna alivyopangiwa na madaktari wake.

Hatua hii na ahadi hii imekuwa ni kama nuru katikati ya Giza, Tumaini katikati ya kukata Tamaa na faraja katikati ya huzuni. Mh Paul Makonda ambaye ni mpambanaji na jasiri aliyepindukia na asiye ogopa kuwapigania wanyonge amewataka wale wote waliotoa ahadi zao wahakikishe kuwa wanatimiza ahadi hizo.

Wakati haya yakifanywa na Mheshimiwa Makonda pamoja na CCM na Serikali yake kwa ujumla hali imekuwa ya kusikitishaa ,kuumiza ,kutia hasira ,kuleta maswali kwa chama cha prof Jay yaani CHADEMA chama ambacho amekuwa mbunge wake kwa miaka mitano mfululizo.watu wanashangaa na kusikitika kwa namna chama kilivyo mtelekeza mwanachama wake na mbunge wake wa zamani .hakina msaada kwake wala kumpa faraja wala nguvu wala kumtia moyo walau hata kuweka hata harambee ya siku moja kwa ajili ya kumchangia katika taasisi yake, zaidi ya kutoa ahadi ambazo mpaka leo hii wahusika walishajikausha kama majani yaliyopigwa na jua.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA itakujali na kukupenda kinafiki pale itakapoona unaiingizia Ruzuku na kuipa michango kutunisha mfuko kwa ajili ya viongozi wake kuzitafuna. Jiulize prof Jay ambaye alikuwa anakipa chama Ruzuku kupitia ubunge wake,kukatwa pesa kila mwezi kwa ajili ya CHADEMA lakini leo huoni mchango wala msaada wa aina yoyote ile kutoka kwa chama. Leo prof Jay ameachwa na chama chake ili ajipambanie mwenyewe na Mungu wake. Hivi prof Jay Ndio wakufanyiwa haya na CHADEMA kweli? Ndio wakutelekezwa na chama kweli?

Kama wameutendea hivi mti mbichi vipi kwa mti mkavu? Vipi kwa wale wasio na majina? Hivi mliopo huko CHADEMA mnasubiri nini huko? Hamuoni chama hakina habari na nyie mkipatwa na matatizo? Hamuoni kinawatelekeza? Humuoni thamani yenu inakoma pale mnapoacha kukipa chama Ruzuku na michango?

Sasa leo msaada wa prof Jay unatoka na kupewa na CCM na Wana CCM na Serikali yake kwa ujumla wake.leo CCM Ndio yenye uchungu mkubwa na prof Jay na kumpatia faraja na tabasamu.leo CCM na Serikali yake ndio inayomshika mkono na kuwa karibu naye na inayoendelea kupambana kwa hali na mali na kwa uweza wa Mwenyezi Mungu ili prof Jay Aendelea kuimarika kiafya kila uchwao kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Huku wao CHADEMA wakiwa Bize kutafuta michango ili wapige na kutafuna kama walivyofanya kwenye pesa za join the chain ambazo mpaka leo hii ni kiza kinene juu ya pesa hizo.

Namuomba Mungu aendelee kumsaidia Prof Jay katika yote apitiayo,Amjalie nguvu na moyo wa kuendelea kugusa maisha ya watanzania wengine wenye uhitaji wa matibabu ya Figo kupitia taasisi yake hiyo.

Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa moyo wako wa jua wa kuwapa watu matumaini, furaha, faraja na tabasamu katika nyuso zao.ndio maana Mungu amekuwa akikuinua katika namna ya kipekee kabisa.watu wakikutangazia mwisho lakini wanashangaa Mungu wako anautangaza mwanzo wako kwa kishindo .wakikutangazia kushindwa Mungu wako anakuweka katika kilele cha ushindi.

wewe ni mshindi kwa kuwa Mungu amekuwa upande wako muda wote. Mungu anasema ukiwasaidia maskini na wenye shida unakuwa unamkopesha Mungu mwenyewe na atakulipa kwa mema makubwa .Mungu Anaendelea kukulipa mema mengi kwa kuwa umegusa mioyo ya wengi na kuipa tabasamu.umesaidia wenye matatizo ya moyo wakapata tumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo yao.

ndio maana Mungu hakuachi uwapo vitani. Hakuachi maadui wakuzingilapo na wakushambuliapo .ndio maana amekuwa akikupatia ushindi wakati wote na kuwaduwaza maadui zako ambao wanakuwa wanahisi wamekumaliza na huwezi kuinuka tena.lakini wanashangaa ukiibukia mbele yao kishujaa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Cha msingi wasiishie kwa wamitulinga tu wapo wengi wenye changamoto kama nao pia wamulikwe!
 
Kujifunza kuchukua pesa za serikali kumpatia mtu? Ninaona kula lawama kwa Chadema, au kwa kuwa hawatangazi wanachofanya kwa Jay?? Ni kweli unataka Chadema ichangie taasisi binafsi ya Jay? Vipi na taasisi nyingine za watu wengine? Nazo pia wachangie? Watafute nyumba upanga halafu walipoe pango kwa mbunge wa zamani, je wabunge wote wa zamani wanafanyiwa hivo? Au kwa kuwa CCM inaweza kuwapa wabunge waliopita ukuu wa wilaya, mkoa, DAS na RAS?? Je CCM inawapangishia nyumba wabunge wa zamani?

Tuna vijana wengi wa hovyo wasio na hata mambo ya maana zaidi ya fitna! Kujipendekeza na kuwaza mambo rahisi rahisi wakitaka yaonekane hadharani. Ninadhani una la kujifunza zaidi ya Chadema. And you are hearing this from an apolitical person!!
tengeni mfuko wa majanga wacheni porojo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa leo ametimiza ahadi yake ya kumpatia prof Jay million 20 kwa ajili ya Taasisi yake ya prof Jay Foundation,Ambayo imeamua kutafuta na kukusanya pesa kwa kuwashirikisha na kuwaomba watanzania kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya Figo.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda ametoa ahadi nzito iliyo Gusa moyo wa prof Jay na kumpa tabasamu na furaha katika moyo wake ,baada ya mheshimiwa Makonda kumwambia kuwa atamtafutia nyumba maeneo ya upanga ili iwe rahisi na kumpunguzia safari au umbali mrefu prof Jay wa kufika hospitalini kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu mbalimbali kulingana na namna alivyopangiwa na madaktari wake.

Hatua hii na ahadi hii imekuwa ni kama nuru katikati ya Giza, Tumaini katikati ya kukata Tamaa na faraja katikati ya huzuni. Mh Paul Makonda ambaye ni mpambanaji na jasiri aliyepindukia na asiye ogopa kuwapigania wanyonge amewataka wale wote waliotoa ahadi zao wahakikishe kuwa wanatimiza ahadi hizo.

Wakati haya yakifanywa na Mheshimiwa Makonda pamoja na CCM na Serikali yake kwa ujumla hali imekuwa ya kusikitishaa ,kuumiza ,kutia hasira ,kuleta maswali kwa chama cha prof Jay yaani CHADEMA chama ambacho amekuwa mbunge wake kwa miaka mitano mfululizo.watu wanashangaa na kusikitika kwa namna chama kilivyo mtelekeza mwanachama wake na mbunge wake wa zamani .hakina msaada kwake wala kumpa faraja wala nguvu wala kumtia moyo walau hata kuweka hata harambee ya siku moja kwa ajili ya kumchangia katika taasisi yake, zaidi ya kutoa ahadi ambazo mpaka leo hii wahusika walishajikausha kama majani yaliyopigwa na jua.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA itakujali na kukupenda kinafiki pale itakapoona unaiingizia Ruzuku na kuipa michango kutunisha mfuko kwa ajili ya viongozi wake kuzitafuna. Jiulize prof Jay ambaye alikuwa anakipa chama Ruzuku kupitia ubunge wake,kukatwa pesa kila mwezi kwa ajili ya CHADEMA lakini leo huoni mchango wala msaada wa aina yoyote ile kutoka kwa chama. Leo prof Jay ameachwa na chama chake ili ajipambanie mwenyewe na Mungu wake. Hivi prof Jay Ndio wakufanyiwa haya na CHADEMA kweli? Ndio wakutelekezwa na chama kweli?

Kama wameutendea hivi mti mbichi vipi kwa mti mkavu? Vipi kwa wale wasio na majina? Hivi mliopo huko CHADEMA mnasubiri nini huko? Hamuoni chama hakina habari na nyie mkipatwa na matatizo? Hamuoni kinawatelekeza? Humuoni thamani yenu inakoma pale mnapoacha kukipa chama Ruzuku na michango?

Sasa leo msaada wa prof Jay unatoka na kupewa na CCM na Wana CCM na Serikali yake kwa ujumla wake.leo CCM Ndio yenye uchungu mkubwa na prof Jay na kumpatia faraja na tabasamu.leo CCM na Serikali yake ndio inayomshika mkono na kuwa karibu naye na inayoendelea kupambana kwa hali na mali na kwa uweza wa Mwenyezi Mungu ili prof Jay Aendelea kuimarika kiafya kila uchwao kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Huku wao CHADEMA wakiwa Bize kutafuta michango ili wapige na kutafuna kama walivyofanya kwenye pesa za join the chain ambazo mpaka leo hii ni kiza kinene juu ya pesa hizo.

Namuomba Mungu aendelee kumsaidia Prof Jay katika yote apitiayo,Amjalie nguvu na moyo wa kuendelea kugusa maisha ya watanzania wengine wenye uhitaji wa matibabu ya Figo kupitia taasisi yake hiyo.

Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa moyo wako wa jua wa kuwapa watu matumaini, furaha, faraja na tabasamu katika nyuso zao.ndio maana Mungu amekuwa akikuinua katika namna ya kipekee kabisa.watu wakikutangazia mwisho lakini wanashangaa Mungu wako anautangaza mwanzo wako kwa kishindo .wakikutangazia kushindwa Mungu wako anakuweka katika kilele cha ushindi.

wewe ni mshindi kwa kuwa Mungu amekuwa upande wako muda wote. Mungu anasema ukiwasaidia maskini na wenye shida unakuwa unamkopesha Mungu mwenyewe na atakulipa kwa mema makubwa .Mungu Anaendelea kukulipa mema mengi kwa kuwa umegusa mioyo ya wengi na kuipa tabasamu.umesaidia wenye matatizo ya moyo wakapata tumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo yao.

ndio maana Mungu hakuachi uwapo vitani. Hakuachi maadui wakuzingilapo na wakushambuliapo .ndio maana amekuwa akikupatia ushindi wakati wote na kuwaduwaza maadui zako ambao wanakuwa wanahisi wamekumaliza na huwezi kuinuka tena.lakini wanashangaa ukiibukia mbele yao kishujaa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Hii imenikumbusha kisa kimoja cha ndugu aliyemlisha mwenzake sumu kisiri lakini akawa mstari wa mbele kuchangia matibabu yake mbele ya umma.
Ilionekana mbele za watu kuwa mchangiaji aliyekuwa mstari wa mbele ndiye mwenye huruma kuliko mwingine kumbe uhalisia na ukweli chanzo cha ugonjwa na hata kifo cha muathirika ni Yeye.
Tusijidanganye Mungu hadhihakiwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii imenikumbusha kisa kimoja cha ndugu aliyemlisha mwenzake sumu kisiri lakini akawa mstari wa mbele kuchangia matibabu yake mbele ya umma.
Ilionekana mbele za watu kuwa mchangiaji aliyekuwa mstari wa mbele ndiye mwenye huruma kuliko mwingine kumbe uhalisia na ukweli chanzo cha ugonjwa na hata kifo cha muathirika ni Yeye.
Tusijidanganye Mungu hadhihakiwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe ni wale wale hata ufanyiwe nini huwezi kulidhika! Wakiacha kutoa utasema, wakitoa utasema mnafiki ni mtu mbaya sana!
Na kwa sehemu kubwa ni nyinyi vijana wenye chuki kubwa na Makonda na mnaonesha chuki zenu wazi pasipo kificho! Na cha kushangaza zaidi mnajipa Umungu mtu wa kutoa hukumu kwa wenzenu huku mkijihesabia haki kana kwamba Mungu ni wa kweu tu!
Badala ya kutambua ya kuwa kila mtu kapungukiwa na utukufu wa Mungu ndo maana kila leo tunaomba Mungu atusamehe makosa yetu!
 
Wewe chawa hii foundation ya Prof. Jay haifungamani na Chama chochote ni nyinyi wanasiasa ndio mnataka kuitumia kama mtaji; kumbuka kuwa Prof. Jay ni mwanachama wa Chadema na sio ccm na alikuwa mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chadema!
Kuwa CHADEMA sio hati miliki ndo maana Prof Jay analiliwa na kuungwa mkono na kila mtu! Sema nyinyi kwenu siasa ni uadui hasa kwa Makonda! Maana kila mnapomuona Makonda mnawashwa washwa kama malaya!
Tuulieni hakuna anayetumia platform ya matatiozo ya Prof Jay kwa sababu taasisi yake ya kusaidia watu wenye matatioz ya figo aliamua yeye mwenyewe kuiunda hakushawishiwa na Makonda ili aje kujitwalia sifa yeye mwenyewe!
Nawaombeni sana CHADEMA msipo badilika na kuwa wauungwana msitegemee kuwa na matokeo ya tofauti kwa kuwa mnakoelekea sasa ni kuwa adui wa kila mu anayefaya jambo jema kwa manufaa ya uma hasa napokuwa sio mwanachama wenu!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Taifa leo ametimiza ahadi yake ya kumpatia prof Jay million 20 kwa ajili ya Taasisi yake ya prof Jay Foundation,Ambayo imeamua kutafuta na kukusanya pesa kwa kuwashirikisha na kuwaomba watanzania kwa ajili ya kuwasaidia watu wenye matatizo ya Figo.

Lakini pia Mheshimiwa Makonda ametoa ahadi nzito iliyo Gusa moyo wa prof Jay na kumpa tabasamu na furaha katika moyo wake ,baada ya mheshimiwa Makonda kumwambia kuwa atamtafutia nyumba maeneo ya upanga ili iwe rahisi na kumpunguzia safari au umbali mrefu prof Jay wa kufika hospitalini kwa ajili ya uchunguzi zaidi na matibabu mbalimbali kulingana na namna alivyopangiwa na madaktari wake.

Hatua hii na ahadi hii imekuwa ni kama nuru katikati ya Giza, Tumaini katikati ya kukata Tamaa na faraja katikati ya huzuni. Mh Paul Makonda ambaye ni mpambanaji na jasiri aliyepindukia na asiye ogopa kuwapigania wanyonge amewataka wale wote waliotoa ahadi zao wahakikishe kuwa wanatimiza ahadi hizo.

Wakati haya yakifanywa na Mheshimiwa Makonda pamoja na CCM na Serikali yake kwa ujumla hali imekuwa ya kusikitishaa ,kuumiza ,kutia hasira ,kuleta maswali kwa chama cha prof Jay yaani CHADEMA chama ambacho amekuwa mbunge wake kwa miaka mitano mfululizo.watu wanashangaa na kusikitika kwa namna chama kilivyo mtelekeza mwanachama wake na mbunge wake wa zamani .hakina msaada kwake wala kumpa faraja wala nguvu wala kumtia moyo walau hata kuweka hata harambee ya siku moja kwa ajili ya kumchangia katika taasisi yake, zaidi ya kutoa ahadi ambazo mpaka leo hii wahusika walishajikausha kama majani yaliyopigwa na jua.

Hii ni kutokana na ukweli kuwa CHADEMA itakujali na kukupenda kinafiki pale itakapoona unaiingizia Ruzuku na kuipa michango kutunisha mfuko kwa ajili ya viongozi wake kuzitafuna. Jiulize prof Jay ambaye alikuwa anakipa chama Ruzuku kupitia ubunge wake,kukatwa pesa kila mwezi kwa ajili ya CHADEMA lakini leo huoni mchango wala msaada wa aina yoyote ile kutoka kwa chama. Leo prof Jay ameachwa na chama chake ili ajipambanie mwenyewe na Mungu wake. Hivi prof Jay Ndio wakufanyiwa haya na CHADEMA kweli? Ndio wakutelekezwa na chama kweli?

Kama wameutendea hivi mti mbichi vipi kwa mti mkavu? Vipi kwa wale wasio na majina? Hivi mliopo huko CHADEMA mnasubiri nini huko? Hamuoni chama hakina habari na nyie mkipatwa na matatizo? Hamuoni kinawatelekeza? Humuoni thamani yenu inakoma pale mnapoacha kukipa chama Ruzuku na michango?

Sasa leo msaada wa prof Jay unatoka na kupewa na CCM na Wana CCM na Serikali yake kwa ujumla wake.leo CCM Ndio yenye uchungu mkubwa na prof Jay na kumpatia faraja na tabasamu.leo CCM na Serikali yake ndio inayomshika mkono na kuwa karibu naye na inayoendelea kupambana kwa hali na mali na kwa uweza wa Mwenyezi Mungu ili prof Jay Aendelea kuimarika kiafya kila uchwao kwa msaada wa Mwenyezi Mungu. Huku wao CHADEMA wakiwa Bize kutafuta michango ili wapige na kutafuna kama walivyofanya kwenye pesa za join the chain ambazo mpaka leo hii ni kiza kinene juu ya pesa hizo.

Namuomba Mungu aendelee kumsaidia Prof Jay katika yote apitiayo,Amjalie nguvu na moyo wa kuendelea kugusa maisha ya watanzania wengine wenye uhitaji wa matibabu ya Figo kupitia taasisi yake hiyo.

Hongera sana Mheshimiwa Makonda kwa moyo wako wa jua wa kuwapa watu matumaini, furaha, faraja na tabasamu katika nyuso zao.ndio maana Mungu amekuwa akikuinua katika namna ya kipekee kabisa.watu wakikutangazia mwisho lakini wanashangaa Mungu wako anautangaza mwanzo wako kwa kishindo .wakikutangazia kushindwa Mungu wako anakuweka katika kilele cha ushindi.

wewe ni mshindi kwa kuwa Mungu amekuwa upande wako muda wote. Mungu anasema ukiwasaidia maskini na wenye shida unakuwa unamkopesha Mungu mwenyewe na atakulipa kwa mema makubwa .Mungu Anaendelea kukulipa mema mengi kwa kuwa umegusa mioyo ya wengi na kuipa tabasamu.umesaidia wenye matatizo ya moyo wakapata tumaini na tabasamu katika nyuso na mioyo yao.

ndio maana Mungu hakuachi uwapo vitani. Hakuachi maadui wakuzingilapo na wakushambuliapo .ndio maana amekuwa akikupatia ushindi wakati wote na kuwaduwaza maadui zako ambao wanakuwa wanahisi wamekumaliza na huwezi kuinuka tena.lakini wanashangaa ukiibukia mbele yao kishujaa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Seen.
 
Nimeona maburungutu,nauliza tu fedha mbona hazipitii bank kama mheshimiwa waziri wa fedha alivyoagiza kuwa bank zitumike kuhifadhi pesa?
 
Tunasubiri mwenyekiti wa chama awekwe mahabusu ndo watuwekee account za kuchangia tuchange million 400 za wakili akitoka akamalizie ghorofa nyingine machame

Sasa na wewe hiyo namba hapo mwisho umeweka ya kazi gani? Au ndo unatuma maombi ya kazi
 
Narudia tena wana wa JF,Shahawa zetu nyingine ni heri kuzimwaga nje au kwenye Condom kuliko kumwaga ndani kisha wakazaliwa watoto kama huyu LUCAS MWASHAMBWA,ni hasara kwa Taifa
 
Back
Top Bottom