Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Finally, Daddy is no moreHaya tunasubiri labda Dady atafanya maajabu 9Dec kama sheria ikipindishwa,maana sidhani kama kesi za mauaji zina msamaha.
Unamlaumu Bashite unadhani ni mzima yule?Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
Ni saa saba kasoro nini?Unamlaumu Bashite unadhani ni mzima yule?
unamaanisha nini?Ni saa saba kasoro nini?
Wako wapi sasa hatimaye kauli yako imetikini awamu yao acha waserebuke na ngoma wazitakazo wao kipindi chao kitapita na tutawasahau
Maisha yanaenda kasi sanaWako wapi sasa hatimaye kauli yako imetiki
Kabisa, it's new turn nowNyakati zinakimbia sana
Dady ali go?Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076