Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Kigamboni na Waziri mtarajiwa ameunguruma huko Arusha kama Simba Mbugani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
=========
Makonda amesema:
"Huu mji wetu sisi tunawaza hela tu yani hatuna mawazo mengine, tumekubaliana hata viongozi wa siasa, hata siasa yenyewe wanayoifanya waifanye ya pesa tu, kwa sababu wakifanya siasa ya maneno maneno ambayo haileti pesa kwetu sisi haina tija"
Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo la Kigamboni na Waziri mtarajiwa ameunguruma huko Arusha kama Simba Mbugani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
=========
Makonda amesema:
"Huu mji wetu sisi tunawaza hela tu yani hatuna mawazo mengine, tumekubaliana hata viongozi wa siasa, hata siasa yenyewe wanayoifanya waifanye ya pesa tu, kwa sababu wakifanya siasa ya maneno maneno ambayo haileti pesa kwetu sisi haina tija"