Huyu bashite hana pakukimbilia anajua dhahiri ni swala la muda tu ataitwa kujibu tuhuma.Kuna kila dalili kuwa Idugunde ni Makonda mwenyewe au mtu mwenye ukaribu sana na Makonda na Mwendazake.
Post nyingi sana anawatetea sana. Makonda hawezi kukwepa mkono wa sheria, labda afe mapema kama Mwendazake
FactsSisi nado tunaamini Cheo ni Hisani ya Mtawala na viongozi wapo wengi.
Wewe tuendelee kupiga jalamba tu hamna namna.
Nchi hii yetu sote kila mtu ana haki ya kuwa kiongozi ila hisani ya mtawala itamwangukia nani?
Hilo ndio zoezi
Hana lolote huyo MWIZI MUUAJI kama MWENDAZAKEKila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Bashite siku zako zinahesabika, unatikiwa uwe Jela au unyongwe,Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Clouds walimponza sabaya. Naona wewe unamsagia kunguni bashinengaKila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Kumbuka jembe haliwezi kufanya kazi bila kuingizwa mpiniKila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Kila mtu atakubali kuwa huyu jamaa aliionyoosha Dar. Maana vibaka, wazembe wa kila aina, wauza unga na matapeli walikiona cha moto.
Mbali ya hayo ni Makonda aliyempigia chapuo mama Samia awe makamu wa rais mwaka 2014 wakati bunge la katiba likiendelea mkoani Dodoma.
Cha ajabu amesahaulika kabisa kana kwamba sio jembe linalofaaa.
Usinilazimishe nikudharauStupid.
Sio kwamba filimbi inatokea Msoga....Bado hajajipendekeza kwa mama vizuri
Mkuu kabsaaa huyu Ni Bashite mwenyewe...huyu anatakiwa Lupango kujibu shutuma sio tuhuma. Huyu kwenye nchi zilizo na utawala bora alitakiwa kunyea kwenye debe mda huu!!Kuna kila dalili kuwa Idugunde ni Makonda mwenyewe au mtu mwenye ukaribu sana na Makonda na Mwendazake.
Post nyingi sana anawatetea sana. Makonda hawezi kukwepa mkono wa sheria, labda afe mapema kama Mwendazake