Paul Makonda: Ukitaka kujua kwanini Tanzania ni maskini pitia mkataba wa Yanga wanaosaini Leo


Acha mawazo ya kipumbavu kwani lazima waanzishe hata kununua au kukodisha poa ilimradi watu wamekubaliana
 
Mimi najuwa kinachokodishwa ni MAJAMVI....SUFURIA....nk lakini timu haikodishwi.
 
Huyu nae punga kweli,,mikataba ya gesi mbona wanaficha
 
Muambieni "the boss is back"
Pyepyeewww..!! Maandamano fc wajipange haswa ,la sivyo ubingwa utakuwa rufaa ya pili FIFA.
 
Nilishangaa jana mmoja wa maaskofu waliokuwepo uwanja wa Karume katika sala zake kwa mungu wake, jina makonda Paul liliombewa.

Maana yake nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…