Paul Makonda, watanzania wanyonge wanahitaji ziara zako. Maana zinampatia Rais Samia picha kamili ya matatizo yanayowasibu.

Paul Makonda, watanzania wanyonge wanahitaji ziara zako. Maana zinampatia Rais Samia picha kamili ya matatizo yanayowasibu.

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
 
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
we bwege unajua kazi ya katibu mwenezi wa CCM? We ndio wale washamba mazezeta siyo?
 
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
kwanza ujue hakuna mtu mpumbvu km wewe.
 
Siga okwamba mwana wa mai nikale ku kitebhe nitegelesye amasango ku chalo kunu!
 
Ashapigwa stop
Lopo lopo huyo Bashite
Anaweza kumharibia zaidi mheshimiwa
 
Upepo wake umekata nilisema hapa
KIllian ameongea leo na kusema wapinzani wanafanya kazi yake isiwe na maana maana wako kimya hakuna mikikimikiki. Sasa ngoma kucheza mwenyewe inagoma. Amesema kwakuwa wanapokea ruzuku basi wazitumie.
Na zaidi amewasihi wanaojipitisha majimboni wawaache wabunge na madiwani wafanye kazi yao. Kaona wabunge ni ngumu kujisemea kaona awasemee kuwa waachwe wafanye kazi.
 
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
Mimi napinga na siyo mjinga na siyo mpumbavu. Kudhani Rais hajui matatizo ya watu wenye shida siyo kweli. Ana ziara za kutembelea sehemu mbalimbali na kupitia hizo ziara ana muda wa kujua hali za watu nchini. Hahitaji ziara za ziada kwa sababu hataweza kumaliza matatizo yote. Kinachotakiwa ni kuweka mifumo ya kupunguza umaskini maana matatizo yanazaliwa kila siku. Hata huko anakotembelea akitoka tu matatizo mengine yanaanza. Kupita mtaani na kwapa watu fedha siyo kutatua matatizo yao kwa sababu hataweza kuwapa wote wenye matatizo fedha na hata inawezekana ambao wamebaki nyumbani ndio wenye matatizo zaidi. Kutaka kuonekana unatatua matatizo ya watu siyo sifa ya uongozi. Nyerere anasifiwa kwa kuwa kiongozi bora lakini sijasikia kama alimpa mtu fedha. Ingawa alikuwa na mbinu nyingi za kujua matatizo ya watu. Mfano, nilipokuwa mdogo nilisikia kulikuwa na uhaba wa sukari nchini na yeye akavaa kama raia wa kawaida na kwenda kupanga foleni ya kupata sukari au wakati mwingine nilikuwa nasikia alikua akitumia magari ya kawaida kwenda sehemu mbalimbali bila watu kujua ni yeye.
 
Hizi lugha za kuita wengine WANYONGE hutumiwa sana na Madikteta ktk kupata support ya watu wavivu!
Hivi unaitaje watu wanyonge? Kwanini ni wanyonge? Tambua kama ni wanyonge ni kwasababu ya sera mbovu za watawala (CCM)

Wananci waogopeni sana watu wanaowaita wanyonge, hawa ndio maadui wetu!
 
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
Dhalimu alipora uchaguzi wa 2020 na kujaza wanaccm kote, hao wote hawawezi kumpatia picha halisi rais ya matatizo ya wananchi, Bali kupitia siasa za kiki ndio rais ajue matatizo ya wananchi! Matapeli mnakwama wapi?
 
Mjinga na mpumbavu ndio atapinga hili.

Wananchi wanatoa kero zao na hapo mkuu wa nchi anapata picha kamili kuwa kumbe kuna matatizo.

Kwa nini haya matatizo yasitatuliwe?

Chama kilichoshika hatamu lazima kisikilize kero za wananchi na kutatua hizo kero.

Wananchi wanahitaji ziara zako. Iwe jua iwe mvua. Mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wazembe lazima wajambishwe.
Kwa hiyo nchi nzima inamtegemea makonda afanye ziara ndipo kero zijulikane. Kufikia hapo basi serikali ishafail. Kama waliotajwa kwenye ripoti ya CAG mpaka leo wapo na wengine wamepandishwa vyeo na kuhamishwa hata azunguke nchi nzima hakuna kitakachobadilika maana aliyeshika usukani ni yule yule
 
Back
Top Bottom