pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Sasa kwa nini ameacha?
Arudi tuu huko kubwia asitusumbue kichwa!
Arudi tuu huko kubwia asitusumbue kichwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huja hujaumbika haya ni maisha na usijione uko perfect 💯 binadamu tuna mapungufu hakuna mkamilifu... 90% of our problems chanzo ni sisi wenyewe! Hilo neno ulilotumia ni kujaribu kutafuta wa kumtupia mzigo lakini kiukweli chanzo kikuu cha matatizo yetu ni sisi wenyewe! Alipoanza kutumia madawa ya kulevya kwa mara ya kwanza alishikiwa bastola?