P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Nov 16, 2021 #61 Sasa kwa nini ameacha? Arudi tuu huko kubwia asitusumbue kichwa!
witnessj JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 28,704 Reaction score 47,260 Nov 16, 2021 #62 Kawa poa asee
ujoka JF-Expert Member Joined Nov 27, 2014 Posts 4,792 Reaction score 11,295 Nov 16, 2021 #63 Cocaine is the helluva drugs
Artifact Collector JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 6,617 Reaction score 10,205 May 17, 2022 #64 dudus said: ... 90% of our problems chanzo ni sisi wenyewe! Hilo neno ulilotumia ni kujaribu kutafuta wa kumtupia mzigo lakini kiukweli chanzo kikuu cha matatizo yetu ni sisi wenyewe! Alipoanza kutumia madawa ya kulevya kwa mara ya kwanza alishikiwa bastola? Click to expand... Huja hujaumbika haya ni maisha na usijione uko perfect 💯 binadamu tuna mapungufu hakuna mkamilifu
dudus said: ... 90% of our problems chanzo ni sisi wenyewe! Hilo neno ulilotumia ni kujaribu kutafuta wa kumtupia mzigo lakini kiukweli chanzo kikuu cha matatizo yetu ni sisi wenyewe! Alipoanza kutumia madawa ya kulevya kwa mara ya kwanza alishikiwa bastola? Click to expand... Huja hujaumbika haya ni maisha na usijione uko perfect 💯 binadamu tuna mapungufu hakuna mkamilifu