Paulo Dybala, Mchawi wa soka asiyezungumziwa na wazandiki wa soka

Namuelewa pia

Ila vizuri zaidi ungetuwekea takwimu zake hapa

Amecheza mech ngap
Udadi ya goals alizofunga

Assist na vitu vinginevyo

Hapo ndio tujue anaingia katka iyo level unayoisema

But kwa sasa Juve ni HIGUAN tu
Mkuu Paul Dybala ni fundi kuliko hata huyo Higuan
 
Zile penati zake huwa najiuliza anazipigaje!!
 
Katika madogo wanaokuja juu
Paulo Dybala
Gabriel Jesus
Ousmane Dembele
Moussa Dembele
Kylian Mbappe
Julian Weigl(huyu mtamu sana anavyopiga simple pass kama Sergio Busquets)

Kuna dogo pia yupo Arsenal, Donyell Malen(baada ya msimu huu naye namtabiria makubwa sana)
Yote tisa, kumi namuelewa sana Marco Verratti
 
Kuhusu kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa dunia akiwa Italy itakua ngumu kidogo, kwa miaka kadhaa ijayo washindi wa hiyo tuzo wataendelea kutoka La liga na labda kidoooogo EPL. Ni maono na maoni yangu
 
[emoji93][emoji93][emoji293][emoji293]✡✡ ndio tatizo
 
Rashford
 
Daaaa kweli nimekuamini jmaaa anauwezo wa kukusanya kijiji
 
Kuna mtoto mmoja anaitwa da Silva anacheza Monaco laia wa ureno kama kweli umepewa nafasi ya kumuangalia huyo Dogo utafulahi Mwenye clips take naomba aweke na Nina uhakika hata cheza tena next season pale Monaco
 
Kuna mtoto mmoja anaitwa da Silva anacheza Monaco laia wa ureno kama kweli umepewa nafasi ya kumuangalia huyo Dogo utafulahi Mwenye clips take naomba aweke na Nina uhakika hata cheza tena next season pale Monaco

Benardo Silva,anavaa jezi no. 10, yule fundi
 
Namuelewa pia

Ila vizuri zaidi ungetuwekea takwimu zake hapa

Amecheza mech ngap
Udadi ya goals alizofunga

Assist na vitu vinginevyo

Hapo ndio tujue anaingia katka iyo level unayoisema

But kwa sasa Juve ni HIGUAN tu
Mkuuu serious????higuian??mm n mshabk damu wa arsenal but nmeamua kushabkia juve ili tukzngua arsenal juve anipe raha.nadhan n mech mbl tatu tuu za juve msimu wa 2016/2017 ambazo sijazchek.amini huguian ni mtamu,ila dybala utamu umezidiii.huo ni moto wa kuotea mbali kaka.waulze ac milan juz kat hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…