Ili ufungie vitumbua inabidi ulinunue,kwa nini usinunue Uhuru kusaidia chama chenuhaya ww kubenea tumekusikia, nenda kaiandike kwnye gazeti lako la mwanahalisi si ndo zako. lkn kaa ukijua hilo gazeti lako huku kitaa hatulisomi tena ila 2nalitumia kufungia vitumbua na kababu
Bora ungezaliwa kipofu ijulikane moja kuliko kupewa macho na kuyatumia kisiasa.Una ushahidi gani kuonyesha kama pikipiki ilikuwa kwenye mwendo?
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga-Faizafoxy wa Jamiiforums.
Le Mutuz naye anasubiri uteuziLe Mutuz, njoo pambana huku, Mboni yako ya jicho imeguswa!