Hivi kumbe bado aling'ang'ania ?Imetosha sasa, umeharibu ndoto za vijana wetu kwa ahadi zako na tabia yako iliyo wachanganya wapenzi wa mpira kwa kulazimisha kuiingiza siasa chafu kwenye michezo.
Ondoka bwana, tuachie timu yetu uliyoitia gundu kwenye nafasi hii adhimu iliyo jitokeza baada ya kipindi cha miaka 39.
.....Tatizo ni kwamba Bashite anawaza the opposite na anadhani yuko sahihi, Waswahili walishasema sikio la kufa halisikii dawa 💉
Mjaa laana huyoImetosha sasa, umeharibu ndoto za vijana wetu kwa ahadi zako na tabia yako iliyo wachanganya wapenzi wa mpira kwa kulazimisha kuiingiza siasa chafu kwenye michezo.
Ondoka bwana, tuachie timu yetu uliyoitia gundu kwenye nafasi hii adhimu iliyo jitokeza baada ya kipindi cha miaka 39.
Hiyo ndio imetoka watakuja kurudi Tanzania imeshikwa na wapinzani na ccm kimeshakufa wakati huo ndio timu ya Watanzania itang'ara kwa kuwachochea hao Waarabu mabao mpaka basi.Ccm ashanyooshwa sahv wanajianda kupaki mabegi
Ova
Na yuko uwanjani, tatizo media za kule hazimjui kumng'arisha kwenye kioo
Ndio maana hata Jana akashindwa kabisa kuchezaAnamchosha yule kijana kule