Mimi nakushauri nunua mkuu na kabla ya kununua unajiridhisha ubora kwa ku test kama utawezaUmeniacha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nakushauri nunua mkuu na kabla ya kununua unajiridhisha ubora kwa ku test kama utawezaUmeniacha!
Sababu unahitaji 100 sqm ni gharama zaidi kutengeneza kuliko kununua kama utahitaji zenye ubora mzuriInasemekana vya kutengeneza mwenyewe ni imara
Mkuu ndani ya nyumba ya mtu lini zitapita lorry ton 30 mbona wataalam mnataka kufanya maisha yazidi kuwa magumu?Kivipi kaka? Paver moja tunakutenvenezea kwa tsh 600. Hiyo 8mpa ni kipimo cha pressure ambayo hiyo paver inaweza stabimili. Kwa lugha rahisi ni kwamba hiyo paver ata upitishe lorry lenye tani 30 halimeguki
Bei zipi ndio mwakeMkuu weka za bei yetu..hizo za tani 30 achana nazo, sasa mimi ndani kwangu gari ya tani 30 inafata nn
Nadhani ungemuuliza ana class gani nyingine ambazo pengine ungemudu bei, surely huhitaji kupitisha 30 ton lorry kwako na obviously hiyo class anayosema ni ya kiwango cha juu sana.Okay...hizo kama za Strabag siziwezi wacha nibanane na fundi Maiko na wenzie.
Duuh umenikumbusha mkandari mmoja alipewa tenda ya kujenga madarasa,Sasa mkuu wa shule na kamati yake wakaenda kucheki ujenzi unaendeleaje.Ile wamefika tu mkuu wa shule akawa anabeba tofali 1 baada ya kingine analidondosha chini halafu anasema ona huyu jamaa anajengea matofali au biskuti?Mimi nakushauri nunua mkuu na kabla ya kununua unajiridhisha ubora kwa ku test kama utaweza
Weka bei za living house classes , hizo paver za level hiyo ni zile za barabarani au viwandani.Bei zipi ndio mwake
Hesabu zako zina make a lot of sense.Mkuu hizo sq mt ni chache kwa kufyatua gharama haipungui plus muda
Angalia hapa
Mahitaji ya kufyatua
Cement mifuko 60x15000=900, 000
Ufundi tsh 6000×60=360, 000
Mchanga lorry kubwa tsh250, 000
Rangi kg 25 tsh 180, 000 original
Maji lt 3000 kufyatua na kumwagilia
Jumla 1, 690, 000
Bado gharama za maji hapo na mtu wa kumwagilia
Kununua
Square mita 1 tsh 15, 000×100=1, 500, 000/=
Utagharamia usafiri tu hapo ambao gharama zake zinategemea na umbali
Ukihitaji ni pm tufanye biashara
600 x120 = 72,000/= kwa mfuko mmoja wa cement. Bora ungekaa kimyaTengeneza kutu quality...yaani hizi mzee unapakia kwenye tipa tunazimwaga...zikivunjika nakupa million 10 papo hapo.
Kufyatua anayoa pavement 100 kwa mfuko za kununua wanayoa 180 hadi 200 kwa mfuko.Mkuu hizo sq mt ni chache kwa kufyatua gharama haipungui plus muda
Angalia hapa
Mahitaji ya kufyatua
Cement mifuko 60x15000=900, 000
Ufundi tsh 6000×60=360, 000
Mchanga lorry kubwa tsh250, 000
Rangi kg 25 tsh 180, 000 original
Maji lt 3000 kufyatua na kumwagilia
Jumla 1, 690, 000
Bado gharama za maji hapo na mtu wa kumwagilia
Kununua
Square mita 1 tsh 15, 000×100=1, 500, 000/=
Utagharamia usafiri tu hapo ambao gharama zake zinategemea na umbali
Ukihitaji ni pm tufanye biashara
Mkuu naona upo fair,Mkuu hizo sq mt ni chache kwa kufyatua gharama haipungui plus muda
Angalia hapa
Mahitaji ya kufyatua
Cement mifuko 60x15000=900, 000
Ufundi tsh 6000×60=360, 000
Mchanga lorry kubwa tsh250, 000
Rangi kg 25 tsh 180, 000 original
Maji lt 3000 kufyatua na kumwagilia
Jumla 1, 690, 000
Bado gharama za maji hapo na mtu wa kumwagilia
Kununua
Square mita 1 tsh 15, 000×100=1, 500, 000/=
Utagharamia usafiri tu hapo ambao gharama zake zinategemea na umbali
Ukihitaji ni pm tufanye biashara
Mkuu hizo sq mt ni chache kwa kufyatua gharama haipungui plus muda
Angalia hapa
Mahitaji ya kufyatua
Cement mifuko 60x15000=900, 000
Ufundi tsh 6000×60=360, 000
Mchanga lorry kubwa tsh250, 000
Rangi kg 25 tsh 180, 000 original
Maji lt 3000 kufyatua na kumwagilia
Jumla 1, 690, 000
Bado gharama za maji hapo na mtu wa kumwagilia
Kununua
Square mita 1 tsh 15, 000×100=1, 500, 000/=
Utagharamia usafiri tu hapo ambao gharama zake zinategemea na umbali
Ukihitaji ni pm tufanye biashara
Hiyo Bei hata mtaani kwa mafundi maiko haipo ha ha ha, siku hizi fundi analipwa kwa tofali, was plaster na rangi ni kwa square meterOkay...hizo kama za Strabag siziwezi wacha nibanane na fundi Maiko na wenzie.
Hivi mafundi wengine akili zenu zikoje? Unamwambiaje mtu anatengeza pave za nyumbani kwake ambako hatutegemei kuwepo na vitu vizito vinavyopita, atumie grade hiyo?Kivipi kaka? Paver moja tunakutenvenezea kwa tsh 600. Hiyo 8mpa ni kipimo cha pressure ambayo hiyo paver inaweza stabimili. Kwa lugha rahisi ni kwamba hiyo paver ata upitishe lorry lenye tani 30 halimeguki