Kwa bei za mtaani 1sqm ni tsh 15,000. Hizo ni pc 50 kwa maana kila pc 1 ni 300 achana na hao wa 600Wenye uzoefu tujuzane.
Kutengeneza mwenyewe paving Blocks au Kununua kipi nafuu? Kuna mafundi wameniambia mfuko mmoja wanachaji 6,000/- na unatoa vitafali 100-120.
Kupanga napo ni makubaliano mengine kwa sqm
Kila mtu na jinsi anavyothamini mjengo wake. Mbona watu wanWeka tiles za 80k square metre wakati zipo za 30k.Hivi mafundi wengine akili zenu zikoje? Unamwambiaje mtu anatengeza pave za nyumbani kwake ambako hatutegemei kuwepo na vitu vizito vinavyopita, atumie grade hiyo?
Unapatikana wapi??Nipe tenda hiyo nije na mashine hapo site nikufyatulie vya uhakika
Tuwasiliane tafadhali
DarUnapatikana wapi??
Kama paver moja unatengeneza kwa 600, na mfuko mmoja tuseme unatoa paver 100 so mfuko mmoja unachaji 600x100=60,000/= ina maana mfuko mmoja wewe unachaji afu 60? Hii ni akili ya wapi?Kivipi kaka? Paver moja tunakutenvenezea kwa tsh 600. Hiyo 8mpa ni kipimo cha pressure ambayo hiyo paver inaweza stabimili. Kwa lugha rahisi ni kwamba hiyo paver ata upitishe lorry lenye tani 30 halimeguki
Sijakupata mkuuKama paver moja unatengeneza kwa 600, na mfuko mmoja tuseme unatoa paver 100 so mfuko mmoja unachaji 600x100=60,000/= ina maana mfuko mmoja wewe unachaji afu 60? Hii ni akili ya wapi?
Kumbe wee kandarasi afu hatuambiani mkuu[emoji4]Nitafutie tenda mzeya hadi matofali skze tofauti machine zipo
Mkandarasi wa mbususu 🤣🤣🤣🤣Kumbe wee kandarasi afu hatuambiani mkuu[emoji4]